Ubungo Kibo umeishi miaka ipi mkuu?Nikweli huyo Mama alikuepo. Nimeishi Sana ubungo kibo ndipo nilipozaliwa na kukulia hapo
inasemekana alikua anachanganya mihogo na makamasiMiaka ya 2003 Arusha alikuwepo mama mmoja maarufu kama Mama bajaa maeneo ya kanisa la st Teresa karibu na hoteli ya Barcelona, alikuwa anapika mihogo siyo ya sayari hii watu wanafurika balaa inasemekana alikua anachanganya mihogo na makamasi.....mixer ile kachumbari ya maji ya mto naura
Kuna ushirikina mkubwa sana kwenye biashara ya chakula. Nina shuhuda zenye ithibati za kutosha sanaHizi mambo wakati mwingine ni saikolojia tu, kiasili sisi waafrika tunaamini uchawi kuliko sayansi au fact. Ukweli kuna watu wamejaaliwa kipaji cha mapishi .
Unaweza kuta hata huyo mama anaepika vzr na anapika vizuri kweli, hajiamini mpk aweke manjonjo ya kwenda kwa "mtaalamu". Nachojua wapishi wazuri wapo na nachoelewa watu wengi hupenda kula vizuri sana, kuna wanawake wanaolewa sababu ya mapishi tu. Nawajua ndugu na jamaa wanaojua kupika vzr mno akipika lazima ujing'ate ulimi. Sasa wewe mtu anakupikia maharagwe anaweka mafuta kidogo na maji kibao, kisha uende sehemu mama anakupikia haragwe nazi shatashata na chapati za kurasa unachokokaje?
Watu wengi wa pwani hususani Tanga na Dar (wazaramo) wamebarikiwa kujua kupika vizuri, ukizoea kula vyakula vinavyopikwa vzr ukila vingine utaona tu kama wala makarasi, na hili lipo hata katika migahawa mikubwa, wanakwambia ukiwa na plan ya kufungua mgahawa cha kwanza kukifanyia kazi ni chef, kwa maana chef ndy mgahawa wenyewe.
HahahhaKuna bibi pale karibu na St benard lumumba,alikuwa anatuuzia futari aisee taamu. Ana tukana huyo lakini tuuupo tuuu, miye ule mchuzi na chapati na magimbi hoi. Uji buree teena wa unga wa muhogo. Sijui km tulikuwa salama aiseee.
Potelea mbali uchawi hauwendi kwa mental teh teh teh.Hahahha