Siku nitakuja unipeleke huko...Akimaliza kuuza yeye jioni anakuja mama Raha(laa)
Mzigua balaa yule
Wameshazeeka hao hawauzi tena.Siku nitakuja unipeleke huko...
Khaa mwanamke unatafuta hela weyeWameshazeeka hao hawauzi tena.
Njoo nikuuzie mie nadeliver mjini kwa order.
Pilau
Wali
Ndizi
Makande
Makange ya kuku
Vitoweo
Nyama ya kuku,mbuzi,ng'ombe zote roast
Kabichi,kachumbari,mchicha na kisamvu.
Nitafanyaje na ya dunia nayapenda...Khaa mwanamke unatafuta hela weye

Halafu mbona haukuja tena?Khaa mwanamke unatafuta hela weye
Nitafanyaje na ya dunia nayapenda...![]()
![]()
nitakuja unifundishe na mimi walahNitakuja mama nikuulize maswali maana kuna vitu sivielewi vizuriHalafu mbona haukuja tena?
Ujuzi unaliwa na mchwa
Haya mie nipo kuwa huru,Nitakuja mama nikuulize maswali maana kuna vitu sivielewi vizuri
Sawa mamaaHaya mie nipo kuwa huru,
Ninavyocoment humu ukinikuta huko hata siongei kwanza nina kigugumizi.
Mshana hebu tupe maada inayohusiana na hayo maji ya maiti tujifunze jambo!!![]()
![]()
loading.... Yale maji ni dili hasa na yana matumizi mengi sana
Naomba nifundishe matumizi manake sielewi muelekeo wa hii biashara yangu![]()
![]()
loading.... Yale maji ni dili hasa na yana matumizi mengi sana
Mshana jr:Sijaongeza chochote sijatunga ni simulizi ya kweli
Duh !!! Halafu wewe jamaa weweHuwa Najiuliza sana je hata hizo chai za vibandani tunafanyiwa haya? View attachment 693279imagine ndio kaambiwa na mganga wake afanye hivi.. Je atakataa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
. Msosi wangu wote lunch na dinner, nawategea kulingana na shughuli zangu Nijigogoe ?
