Yerusalem
Member
- Oct 5, 2011
- 71
- 77
Kushonwa bila Bila ganzi aisee sipati picha maumivu yake, Umenikumbusha Bosch siku hizi kwisha habari yake,Hivi gazeti la jitambue ndio liliondoka na muasisi wake Munga, nakumbuka ofisi yake ilikuwa maeneo ya Bosch kwenye bondeni pale, Nimepamiss Kona, Rombo, Kibo, msewe baruti


hapana bado wana msaada mkubwa sana... Ila makinika