Mbavu sinaKumbe ndo maana chai zingine unakunywa unashangaa tu unadindisha
Mbavu sinaKumbe ndo maana chai zingine unakunywa unashangaa tu unadindisha
Nikija Royal/loya takuchekiKuna bibi mmoja anaitwa bibi bonge pale mbele ya manjunju (luku) aisee anauza dagaa.
Kuna msururu kama wa nmb.
Mimi siku hio niliwanunua sikuwapenda na sijarudi tena ila watu wanatoka mbali sana kujazana kwa yule bibi.
Na kuna wasambaa pale royo wanauza supu kunajaa balaa kila asubuhi.
Wachunguze aisee.
Mimi siendi tena kwa wale wasambaa manake kila siku lazima niende pale.
Nina uhakika kuna kitu
Wananisingizia tu CocoNilijua stori yako itaishia kwenye hayo.. eeeeh
Ila huku nasubiria kuanza kuyasoma nilikuwa najiuliza ikiwa ni enzi zako vipi haukumgundua? Au alisingiziwa? Ulikuwa hujafundishwa yale?
Mimi kwa habari za kusikia kwa watu nilikutana nao huko nje ya nchi.. na haya niliyasikia sana wao wanajua kushtuka ukiwa unajua yapo. Tupe habari ya wafanya pati kila mara au mialiko ya kula kula nao mmmmh.. kama ulishaiandika.. hiyo tena na JPM kubana ikoje siku hizi nchini?
mshana jr
... Ishu ya party za mara kwa mara ni ibada za siri kuna mada yake unajua....

Wananisingizia tu Coco![]()
... Ishu ya party za mara kwa mara ni ibada za siri kuna mada yake unajua....
Kuhusu mzee baba kubana... No comment![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Teh teh teh.....
Kwa kweli nitambana mpaka anigawie maujanja yakeNenda buana upate nondo toka kwa mmoja wa malkia wa nguvu...
Uchawi nilianza kujifunza rasmi mwaka 1996.. Miaka 2 baadae baada ya kisa cha mama MdigoItakuwa kipindi hicho Bado haujaanza Uganga /Uchawi, na ndio kilichokufanya uanze mana sio kwakulishwa mavi ya Mbuzi. Pia umenikumbusha story ya Mama Beleju muuza mgahawa kule Kisaki Morogoro.
The flashbacks na bonyokwa kwa Tina bonge na China wauza gongo never miss.. Lazima kabla ya glass upate halo halo na cheni bloku (vichwa vya kuku na utumbo)Kibo kwa wauza mikate maarufu kina Mama Juli, Kina sherode, Manka 🙂,Mshana umenikumbusha kuna Mama hapo hapo kibo alikuwa maarufu kwa kuuza maandazi, yaani akifika tu kwenye kijiwe chao wengine wote watasubiri mpaka amalize yaani watu wapo radhi wamsubiri kama hajafika wanunue kwake, na yule mama aliyekuwa anauza pombe ambaye aliteketeza familia sababu ya tamaa, Aisee kibo ilikuwa noma kipindi kile
Kweli muda unaenda sasa hivi imebaki historia,ila kibo jamani umekumbuka yule bibi aliyevunjiwa nyumba kipindi cha upanuzi wa barabara wakatoka paka wa kutoshaThe flashbacks na bonyokwa kwa Tina bonge na China wauza gongo never miss.. Lazima kabla ya glass upate halo halo na cheni bloku (vichwa vya kuku na utumbo)
Ha ha ha Mshana unapafahamu Ngosha Bar pale mitaa ya kona?Dah yeah umenikumbusha mbali.. Ilikuwa habari kubwa sana
Nasubiri kwa Hamu zimeshafika mbili sasa ile ya Bondeni Dispensary maarufu kwa Dr Mgaya na hii ya Ngosha Bar, nitakuwa nakukumbusha .Mshana nitakuja PM maana utakuwa na mengi kuhusu Mtaa wetu pendwa wa Kibo😉😀Kuna siku nitasimulia kisa cha pale![]()
![]()
![]()
Nianze na kwa Dr Mgaya... Nilikuwa na jamaa yangu anaitwa Chacha alikuwa anafanya kazi chuo kikuu cha DSM.. Basi ikawa tulikuwa tukipata pesa kidogo tunaenda bonyokwa kunywa gongo kwa Tina bonge na China .. Jamaa alikuwa na mguu mredi mfupi halafu kibonge na usafiri wetu ilikuwa pikipiki Honda 110 ya ofisini kwao... Tumeshasalimika sana kuanguka kwenye ule mlima wa bonyokwa wakati tukirudi toka ueviniNasubiri kwa Hamu zimeshafika mbili sasa ile ya Bondeni Dispensary maarufu kwa Dr Mgaya na hii ya Ngosha Bar, nitakuwa nakukumbusha .Mshana nitakuja PM maana utakuwa na mengi kuhusu Mtaa wetu pendwa wa Kibo😉😀