Uchawi mkubwa uliokua unawavuta watu hapo ni shepu la huyo mama mdigo na wanawe. Wabongo hujawajua saikolojia yao Mshana, wewe fungua biashara kama ya Restaurant, Bar, duka la vyakula au nguo halafu weka wadada wenye shepu kama za huyo mama Mdigo tena wawe wachangamfu na wanaopenda utani uone wateja hasa wanaume watavokua wanajazana hapo kwenye biashara yako. Yupo jamaa yangu muhasibu kwenye wizara flani anapenda sana wadada wenye msambwanda alijikuta ananunua fenicha za million mbili bila kua na mpangilio au budget nazo(Ilikua enzi ya Mkwere lakini). Kisa kwenye hilo duka la Pugu Road yupo dada Mashaallah kwa umbo na sauti, halafu anakupokea anakuzuungusha kwenye bidhaa mpo wawili tu!