N:B.. Mwenzenu nipo bedrest na daktari kanishauri kutumia hizi makitu hapa chini.... not azawaiz!!!!!!!
haya maziwa huwa ndo ugonjwa wangu, ngoja nijimiminie angalau nijiburudishe kidogo
kichwa habari ni tata,mi nilijua kujichangulia wa kutoka naye, any way mi sipendi hayo napendaga yale
Sijui nami niumwe ili nipate mavitus kama hayo.
Hata mie nimefanyiwa kitu mbaya. .....heading imekuwa misused !
tatizo wabongo huwa mnawaza kuleeeeee pekeyake, wengine hapa sio wapenzi wa kuleeee... sisi tuna mapenzi na hizi makitu tu!!!!!!
Unaweza kurudia tena?
Mkiyamaliza mnaenda kiwanja kipi?
sio kuumwa tu... lazima uwe na mtoto kwa tumbo ndo utapata mahanjumati ya hivooooo... chezeiya mtoto wewe afu tena awe dume na festbon!!!!!! mbona hata gari utanunuliwaaaaaa!!!!
Kipipi shost angu nimewawekea mwishoni hujaona??? km vp liunge kwenye juice zangu hapo!!!
Attention guys, anyone who want to nimimba me and spoil me with matundas and majuices like those, l am all games! Sijui niende love connect? LOL
Umenitamanisha