BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,709
- 6,505
Miji na Majiji ya Tanzania huwezi tofautisha Jumatatu au jumapili, Miji iko busy siku 7 za juma. Dar inajamu haijalishi ni lini.
Majiji na Miji mingi weekend ni siku raia unakuta wametulia majumbani mwao pembeni mwa mji, wengine utakuta wameenda mashambani kwao au vijijni kupumzika. Tanzania ni tofauti kabisa.
Nairobi weekend hasa Jumapili unaweza usipate huduma, Jiji linakuwa tupu kabisa raia wako majumbani wamepunzika.
Bongo weekend ndio siku ya raia kumiminika mjini, yaani ni kawaida kukuta sehemu za starehe za katikati ya mji ndio zimejaaa raia kuliko pembezoni, Weekend kawaida kukutana na jam za kutosha weekend.
Jiji kama Windhoek Nambia aisee weekend jiji ni tupu kabisa, kama ndio umefika siku ya kwanza unaweza dhania watu wamehama jiji. Bongo labda kidogo sana Moshi ambayo Wachaga weekend hasa Jumapili wanakuwa migombani huko wanapata Mbege.
Moshi ndio mji uliopangika kwa kuwa na mji na umezungukwa na mashamba au vijiji, vijiji vya maana. na pia Wachaga ni watu wanapenda sana kukaa vijijini au kuishi vijijini na sio mijini.
Majiji na Miji mingi weekend ni siku raia unakuta wametulia majumbani mwao pembeni mwa mji, wengine utakuta wameenda mashambani kwao au vijijni kupumzika. Tanzania ni tofauti kabisa.
Nairobi weekend hasa Jumapili unaweza usipate huduma, Jiji linakuwa tupu kabisa raia wako majumbani wamepunzika.
Bongo weekend ndio siku ya raia kumiminika mjini, yaani ni kawaida kukuta sehemu za starehe za katikati ya mji ndio zimejaaa raia kuliko pembezoni, Weekend kawaida kukutana na jam za kutosha weekend.
Jiji kama Windhoek Nambia aisee weekend jiji ni tupu kabisa, kama ndio umefika siku ya kwanza unaweza dhania watu wamehama jiji. Bongo labda kidogo sana Moshi ambayo Wachaga weekend hasa Jumapili wanakuwa migombani huko wanapata Mbege.
Moshi ndio mji uliopangika kwa kuwa na mji na umezungukwa na mashamba au vijiji, vijiji vya maana. na pia Wachaga ni watu wanapenda sana kukaa vijijini au kuishi vijijini na sio mijini.