salum mwalimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Salum Mwalimu: Tumeipokea, tumeikubali Ripoti ya Jaji Chande, Tume imekiri yanayotusumbua kama Taifa

    Akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema anaikubali Ripoti ya Tume ya Jaji Chande kwa jinsi ilivyoweka wazi mambo mazito ambayo yamekuwa yakipigiwa kelele na wananchi, huku akisisitiza kuwa hakuna...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Hatutaki Ajenda ya Katiba Mpya na Utekaji iwe ya kudumu. Tunataka ziishe

    Katibu Mkuu wa CHAUMMA Salum Mwalimu akizungumza Mei 7, 2026 amesema kuwa Msimamo wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) hakitaki masuala ya Katiba Mpya na Utekaji yaendelee kuwa ajenda za kudumu za kisiasa nchini Tanzania. "Pengine huo ndio mtihani ambao tumekuwa tukiupitia vyama vya...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu wa CHAUMMA: Kuhusu utekaji Tume ya Chande ingekwenda mbali zaidi. Kwani utekaji ni mapenzi tu?

    Katibu Mkuu wa CHAUMMA Salum Mwalimu akizungumza leo amesema kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapaswa kutoa ufafanuzi zaidi kuhusu sababu zinazochangia vitendo hivyo vya utekaji ikiwa ni pamoja na sababu za kisiasa. Alibainisha kuwa hadi sasa, sababu zilizotajwa ni mapenzi, biashara, na...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Siwezi kupingana na uhalisia ikitokea CHADEMA ikawa namba 2 CCM ikiongoza

    Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026,
  5. R

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Uchaguzi ulikuwa na matatizo, tusingeshiriki huo uchaguzi usingejadiliwa leo

    Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026, amesema uchaguzi mkuu wa 2025 ulikuwa na matatizo
  6. R

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Tuna madeni takriban milioni 100 yanayotokana na uchaguzi yakiwemo ya bendera na T-shirt

    Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026, amesema chama hicho kinna madeni takribani ya Milioni 100 yaliyotokana na kampeni za uchaguzi mkuu 2025. "Kuna mtu mpaka leo anatudaidai...
  7. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Salum Mwalimu: Jaji Chande ametuonyesha viwango vya Kimataifa, Wote kwa pamoja tuseme 'Ever again kwa yaliyotokea Oktoba

    Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akizungumza Aprili 23, 2026 baada ya tukio ya Tume ya Kuchunguza Matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 kuwasilisha na kukabidhi Ripoti yake kwa Rais Samia
  8. R

    JamiiForums Tanzania Samahani JF, Askofu Bagonza hapa ana maana gani? Nini kimetokea kwa Salum Mwalimu?

    Picha inaeleza swali langu. === WAJALUO MMESHINDIKANA Wajaluo hawajui Kwaresima wala Ramadhani. Wanasema, “Rafiki yako anayekusindikiza kwenda kwa mchepuko wako, usimweke karibu na mkeo”. Siendelei, tuna msiba. Askofu Bagonza (Facebook) - Februari 20
  9. Inside10

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu amuoa, Moza Ally aliyekuwa mgombea ubunge CHAUMMA Kinondoni

    Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalim amefunga ndoa na kada wa chama hicho Moza Ally. Taarifa kutoka chanzo kinachoaminika kimetueleza kuwa Salum na Moza walifunga ndoa Ijumaa ya Februari 13, 2026 japokuwa picha zimeachiwa leo mtandaoni. Kupitia ukurasa wake wa...
  10. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Naiona hatari ya kazi ya bodaboda kuzidiwa na itakuwa si msaada tena

    Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema kuwa licha ya pikipiki za biashara maarufu kama bodaboda kuwa mkombozi wa ajira kwa vijana wengi nchini, ipo hatari kubwa sekta hiyo kupoteza maana kama suluhisho la ajira endapo serikali haitatafuta mbadala wa kudumu...
  11. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Sitataka wabunge machawa wa kunisifia

    Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema akiingia Ikulu atarejesha hadhi ya Bunge madhubuti lenye hoja, usimamizi na uwajibishaji wa serikali, badala ya kuwa la kusifia. Amesema hataki kuona bunge la “machawa” wanaomsifia rais muda wote badala ya kuikosoa...
  12. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalim atoa ahadi ya kukataza kupiga marufuku magulio akishinda Urais

    Mgombea Urais wa Chama Cha Ukombozi wa Umma, Salum Mwalim amesema akipewa ridhaa ya kuongoza Tanzania ataboresha miundombinu ya masoko ya vyakula Dar es Salaam na kujenga masoko ya kisasa ili kusaidia wafanyabiashara kukuza mitaji yao Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Vijana wanashindwa kwenda kupiga kura kwa sababu ya ugumu wa maisha

    Salum Mwalimu: Vijana wanashindwa kwenda kupiga kura kwa sababu ya ugumu wa maisha, huu ni mwaka wetu tujitokeze kupiga kura ya ukombozi." Ameyasema hayo akiwa kwenye mwendelezo wa kampeni za kuomba ridhaa ya kuaminiwa kuwa rais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu mwezi huu. Pia Soma: Salum...
  14. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu alivyowasili Mbagala kunadi sera, alijiona kama kashakuwa rais wa Tanzania

    Nimeitazama hii video ya Mgombe urais kupitia CHAUMMA Salum Mwalimu nikabaki kucheka fulani hivi Maana jamaa amejiona tayari ameshakuwa Rais, yani ulinzi mwingi bwebwe kibao, Kweli madaraka matamu na hivi wanatembelea gari za bure basi balaa tupu!
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vijana Mlimba wasukuma gari la mgombea urais wa CHAUMMA, Salum Mwalim

    Vijana wa Jimbo la Mlimba, mkoani Morogoro, wameonyesha mshikamano mkubwa kwa kumsukuma gari la Mgombea Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, mara baada ya kumaliza kunadi sera za chama hicho. Akizungumza na vijana hao akiwa njiani kuelekea Ifakara kuendelea na...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwalimu: Morogoro ni mkoa wa kimkakati kwa ajili ya viwanda kwa sababu uko katikati ya Bandari ya Dar na Tanga

    Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewataka wananchi wa Mkoa wa Morogoro kujiandaa kunufaika na neema ya sera ya viwanda, kikiahidi kurejesha hadhi ya mkoa huo kuwa kitovu cha viwanda kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu Julius Nyerere. “Morogoro ni mkoa wa kimkakati kwa ajili ya viwanda kwa...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gari la mgombea urais CHAUMMA Salum Mwalimu lapigwa jiwe Mafinga

    Gari analotumia Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha CHAUMMA Salum Mwalim, limepigwa jiwe kwenye kioo cha nyuma na Mtu asiyejulikana muda mfupi baada ya kumshusha Mgombea huyo Hotelini Mafinga, Mkoani Iringa. Mkuu wa msafara huo, John Mrema amesema tukio hilo...
  18. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Nikishinda barabara ya Uyole tutaijenga

    Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi endapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi wa Oktoba 29, atafanya uboreshaji mkubwa wa Uyole, mkoani Mbeya, kwa kujenga kituo cha kimataifa kitakachokuwa lango la biashara kwa nchi za Kanda ya Kusini mwa...
  19. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Nikipewa nchi, napiga marufuku kampuni zote zinazoleta kausha damu kwa wananchi

    Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema iwapo atachaguliwa kuingia madarakani atapiga marufuku kampuni zote zinazowaingiza wananchi kwenye mikopo ya kinyonyaji maarufu kama kausha damu. Mwalimu amesema haiwezekani taifa kuendelea kuendesha uchumi wake...
  20. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwalimu: Tukapige kura tuchague viongozi wa upinzani ambao watakuwa watetezi wetu

    "Tusifanye makosa hayo, kwa sababu tukifanya hivyo tutakuwa tumewaambia CCM watambe lakini pia ukiachilia nafasi ya urais, tutaacha bunge la wapiga makofi bungeni na hakutokuwa mtu wa kuwatetea wananchi," amesema Mwalimu. "Tusifanye hayo makosa, tukapige kura tuchague viongozi wa upinzani ambao...
Back
Top Bottom