Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,623
- 112,694
Hata awe Mwenyekiti milelekwamba mtapata mwenyekiti mwingine? ama ndo atakua waziri mkuu ndan ya miaka 14 ijayo na masaaa 24
Hata awe Mwenyekiti milelekwamba mtapata mwenyekiti mwingine? ama ndo atakua waziri mkuu ndan ya miaka 14 ijayo na masaaa 24
Ikiwa hakishiriki chaguzi ni saccoss na sio chama cha siasaKwa hiyo ni chama cha nini.
Umeanza tabia zakoMwambieni Lema aache kulelewa na wanaume wenzake ,arudi kupambana.
Ndugu yangu,Mwambieni Lema aache kulelewa na wanaume wenzake ,arudi kupambana.
huyo tapeli na jizi la haaayi lilitakiwa kuwa jela kabisa wala si kutapeli tena watanzania nyambaf kbsChama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , leo kimeanza kupanga mipango mipya ya kukisogeza karibu zaidi na Wananchi , ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameanza kwa kufungua kikao cha Kamati ya Utendaji Mjini Arusha
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
======================================
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, tarehe 27 Mei 2021 siku ya Alhamisi, anatarajiwa kuzindua ‘Operesheni Haki,‘ ambayo itafanyika nchi nzima.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 25 Mei 2021 na Chadema, kupitia ukurasa wake wa Twitter, kampeni hiyo itazinduliwa jijini Arusha.
Taarifa ya Chadema imesema kuwa, lengo la operesheni hiyo ni kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, pamoja na uimarishwaji misingi ya haki nchini.
Sambamba na hilo, taarifa ya Chadema imesema, Mbowe ameendesha kikao cha Kamati Tendaji ya chama hicho, katika Kanda ya Kaskazini, kilichofanyika leo jijini Arusha.
“Leo Mei 25, 2021, Mwenyekiti wa chama Taifa, Freeman Mbowe, ameendesha Kikao cha Kamati Tendaji ya Kanda ya Kaskazini, jijini Arusha,” imesema taarifa ya Chadema.
Basi ni kikundi chenye manufaa, jiunge na wewe.icho ni kikundi, sasa uchaguzi hamshirki
Nyie ni miongoni mwa masalia ya wakwamia awamu yenu pendwa iliyokuwa haipendi haki na kweli.Ikiwa hakishiriki chaguzi ni saccoss na sio chama cha siasa
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Tuanze na kuwasikia kijani kwanza .vipi lowasaaa fisadi au sio fisadi. CDM wakinijibu hili itakuwa vzr sana. CDM wapo kimaslahi zaidi
Mlipoti wampige ban please, tena.life banJf inapaswa kupima akili za wanachama wake ili kujiridhisha kama ni wazima
mnajidanganya dira ya taifa lipi labda nikuulize yaaninchiiendeshwe na mtu kama mbowe ? hiyo itakuwa nchi au kituko tu?Mara zote Tamko lake linakuwa dira ya Taifa
chadema ipi iliyounga juhudi kwa mama Samia yoite
majinga mnoo hayawezi kukujibu hivi mtu kama amefeli mitihani darasani ameshindwa kusimamia mali za familia tu mpaka anatapeli ametapeli hela za chama hafu ety leo linakuja na ujinga ujinga nyoka wa makengeza weeee mlewa konyagi I can't breathemnajidanganya dira ya taifa lipi labda nikuulize yaaninchiiendeshwe na mtu kama mbowe ? hiyo itakuwa nchi au kituko tu?
Mkuu..Freeman ni Mwamba haswaaNamwamini sana Mwamba Mbowe
mwamba wa majizi mauza ngada tapeeli kakinyonya Chama kimenyonyokaMkuu..Freeman ni Mwamba haswaa
Ungeacha wenye akili wachangie mambo ya maana.mwamba wa majizi mauza ngada tapeeli kakinyonya Chama kimenyonyoka
Basi ni kikundi chenye manufaa, jiunge na wewe.
Hata awe Mwenyekiti milele
Mungu na waungwana, shetani na wahuni! Ni fahari kuwapigania waungwana, ni aibu na fedheha kuwapigania ccm.Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , leo kimeanza kupanga mipango mipya ya kukisogeza karibu zaidi na Wananchi , ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameanza kwa kufungua kikao cha Kamati ya Utendaji Mjini Arusha
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, tarehe 27 Mei 2021 siku ya Alhamisi, anatarajiwa kuzindua ‘Operesheni Haki,‘ ambayo itafanyika nchi nzima.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 25 Mei 2021 na Chadema, kupitia ukurasa wake wa Twitter, kampeni hiyo itazinduliwa jijini Arusha.
Taarifa ya Chadema imesema kuwa, lengo la operesheni hiyo ni kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, pamoja na uimarishwaji misingi ya haki nchini.
Sambamba na hilo, taarifa ya Chadema imesema, Mbowe ameendesha kikao cha Kamati Tendaji ya chama hicho, katika Kanda ya Kaskazini, kilichofanyika leo jijini Arusha.
“Leo Mei 25, 2021, Mwenyekiti wa chama Taifa, Freeman Mbowe, ameendesha Kikao cha Kamati Tendaji ya Kanda ya Kaskazini, jijini Arusha,” imesema taarifa ya Chadema.