Mbowe aelezea alivyonusurika kuuwawa June 2013 Soweto Arusha

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,975
141,986
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4

Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda

Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo

Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa

Credit: Twaha Mwaipaya X

Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4

Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda

Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo

Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa

Credit: Twaha Mwaipaya X

Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Na hakuna sehemu tulisema JK hakuua wakati wa utawala wake,tunakumbuka ya Mwangosi,Dr. Ulimboka,Dr. Sengondo Mvungi na wengineo.
 
Shujaa gani
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4

Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda

Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo

Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa

Credit: Twaha Mwaipaya X

Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Yule kafia mzena kama kuku
 
Back
Top Bottom