muulize mama yako anajua umwamba wakemwamba wa majizi mauza ngada tapeeli kakinyonya Chama kimenyonyoka
muulize mama yako anajua umwamba wakemwamba wa majizi mauza ngada tapeeli kakinyonya Chama kimenyonyoka
Mbowe kashindwa kuipeleka chadema ikulu kwa miaka 30 sasa!Namwamini sana Mwamba Mbowe
Frustration na stress zako za kifo cha Meko usizilete hapa Ndugu.mwamba wa majizi mauza ngada tapeeli kakinyonya Chama kimenyonyoka
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , leo kimeanza kupanga mipango mipya ya kukisogeza karibu zaidi na Wananchi , ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameanza kwa kufungua kikao cha Kamati ya Utendaji Mjini Arusha
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, tarehe 27 Mei 2021 siku ya Alhamisi, anatarajiwa kuzindua ‘Operesheni Haki,‘ ambayo itafanyika nchi nzima.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 25 Mei 2021 na Chadema, kupitia ukurasa wake wa Twitter, kampeni hiyo itazinduliwa jijini Arusha.
Taarifa ya Chadema imesema kuwa, lengo la operesheni hiyo ni kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, pamoja na uimarishwaji misingi ya haki nchini.
Sambamba na hilo, taarifa ya Chadema imesema, Mbowe ameendesha kikao cha Kamati Tendaji ya chama hicho, katika Kanda ya Kaskazini, kilichofanyika leo jijini Arusha.
“Leo Mei 25, 2021, Mwenyekiti wa chama Taifa, Freeman Mbowe, ameendesha Kikao cha Kamati Tendaji ya Kanda ya Kaskazini, jijini Arusha,” imesema taarifa ya Chadema.
Ccm wameshindwa kuondoa umasikini nchini zaidi ya miaka 60 sasa.Mbowe kashindwa kuipeleka chadema ikulu kwa miaka 30 sasa!
Tukazanie katiba mpya.hahahaaabado ana nia ya kwenda ikulu? asahau ataendelea kuwa chama cha upinzani milele
Lumumba kubwa kaka. Unayoisema weye umefika ukawauliza au ukawaona hali yao sio shwari. Au ndo mambo ya kushiba dona na kipande cha ngulu halafu unang'ata njiti.Lumumba hali si swali, hadi muda huu tunaingia mitamboni walikuwa bado wanafuatilia nini mwamba kakisema !!
expand...huyo tapeli na jizi la haaayi lilitakiwa kuwa jela kabisa wala si kutapeli tena watanzania nyambaf kbsUngeacha wenye akili wachamgie mambo ya maana.
expand...huyo tapeli na jizi la haaayi lilitakiwa kuwa jela kabisa wala si kutapeli tena watanzania nyambaf kbsMungu na waungwana, shetani na wahuni! Ni fahari kuwapigania waungwana, ni aibu na fedheha kuwapigania ccm.
Mungu ibariki Chadema, tusaidie kuwachukua ccm wote waliobaki kama ulivyomchukua yule dikteta muuaji
...huyo tapeli na jizi la haaayi lilitakiwa kuwa jela kabisa wala si kutapeli tena watanzania nyambaf kbsTatizo Mbowe kakiweka chama mfukoni, ninaona mfuko wake hautoshi, ampe mtu mwenye mfuko mkubwa .
Sasa unaonaje Mbowe akakaa pembeni ili aje mwingine wa kuitoa ccm madarakaniCcm wameshindwa kuondoa umasikini nchini zaidi ya miaka 60 sasa.
piganieni chama chenu ndo maana hamuaminianiicho ni kikundi, sasa uchaguzi hamshirki
Unataka Mwenyekiti wa Chadema awe Nyalandu ?Sasa unaonaje Mbowe akakaa pembeni ili aje mwingine wa kuitoa ccm madarakani