CHADEMA yasogeza mbele Mkutano wa Jangwani

CHADEMA yasogeza mbele Mkutano wa Jangwani

Safi sana makamanda, tunashukuru kwa kushughulikia kibali cha kuwatembelea wenzetu wana wa Mtwara, kwani ukombozi wa taifa hili ni kwa nchi nzima, na sio maeneo fulani tu, fungukeni wana wa Mtwara, nafasi yenu hiyo.
 
Pasco hukumbuki El kutajwa katika list of shame leo waje wampitishe mgombea chadema,wewe na chadema mtakuwa mmevurugwa
Mkuu Marire, kwani kutajwa kwenye list of shame ndio nini?!, kwa taarifa yako ile injection ya Nimrod Mkono na Rostam Aziz inaweza kuja kukutikana nayo ni "bonafide genuine!", kama dhambi kubwa ya EL ni Richmond tuu, hilo ni zigo la wenyewe, yeye alijitolea kulibeba tuu na ugombea wa CCM ndio asante yake itarajiwayo, kinyeme cha hapo, atawabwagia zogo lao puu chini!, linakwenda na CCM yake!, jamaa ana cross to Chadema, then huyooo mpaka Ikulu! and this is the only way kwa Chadema kuingia Ikulu.
Chini ya hapo, Chadema haina mtu yoyote wa kuwaingiza ikulu!.
Pasco.
 
Sijapata kuwa na wasiwasi na uwelewa wako kaka Pasco! Kikubwa ambacho watu wengi wanashindwa kugundua kwako ni kwamba wewe ni mkweli na husukumwi na ushabiki.

Chadema kuacha kufanya mkutano wao Jangwani siku ya jumapili na badala yake wamepngia siku nyingine,sio kuwa ni wajinga!

Ni ukweli usiopingika kwamba mh Lowassa ndio wa kuiokoa au kuizika Ccm! Hata Chadema wanajua hilo na ndio maana hawataki kumvurugia Lowassa mipango yake ya kesho.
Lowassa sio tishio kwa Chadema,isipokua ni tishio kwa Ccm na viongozi wake. Km mtu haamini basi asubiri hadi mwishoni mwa mwaka huu!

Pasco mimi naungana na mtazamo wako.
Mkuu James, Ole Laiza, sio wengi humu wanaojua politics its a game of hide and seek, na ni wachache sana wanaofahamu political chess board, mwaka huh 2014 ndio game inaanza, ukiwaona watu wake very serious huku mahelicopter yakipasua anga na kupishana hewani, kumbe its all the same game!, he who pays the piper, may call the tune!.
Pasco.
 
Mkuu Makene, asante sana kwa taarifa hii, this is very good and reasonable justified excuses!. Hizi zinaitwa politics of accommodatives to avoid any confrontation and the clash of titanics, siku zote ni heri nusu shari kuliko shari kuliko shari kamili haswa kwa kuzingatia kwenye politics there is no permanent friends or enemies only a common interest !.

Huyu jamaa lazima awe accommodated na Chadema for whatever reasons because you never know 2015!. He could be the one!. And he is the one and only anayeweza kuuingiza Chadema ikulu ya Magogoni !. No one else!. Kinyume cha hapo, I'm very sorry to say that, 2015 ni CCM tena!.

PascoI

Very interesting......

Wakati mwingine huwa nakuonea huruma.I wish you knew.....Anyways,nilikaribia kuandika yasiyotakiwa kuandikwa hadharani.

Naipongeza JF kwa kutuletea burudani.
Vipaji vya burudani kama hivi havipatikani kwenye forums nyingine kiurahisi rahisi.We'll guarantee a massive support
 
Mkuu Marire, kwani kutajwa kwenye list of shame ndio nini?!, kwa taarifa yako ile injection ya Nimrod Mkono na Rostam Aziz inaweza kuja kukutikana nayo ni "bonafide genuine!", kama dhambi kubwa ya EL ni Richmond tuu, hilo ni zigo la wenyewe, yeye alijitolea kulibeba tuu na ugombea wa CCM ndio asante yake itarajiwayo, kinyeme cha hapo, atawabwagia zogo lao puu chini!, linakwenda na CCM yake!, jamaa ana cross to Chadema, then huyooo mpaka Ikulu! and this is the only way kwa Chadema kuingia Ikulu.
Chini ya hapo, Chadema haina mtu yoyote wa kuwaingiza ikulu!.
Pasco.
I am sure you are testing water! Or is it the chess you are trying to play?
 
Very interesting......

Wakati mwingine huwa nakuonea huruma.I wish you knew.....Anyways,nilikaribia kuandika yasiyotakiwa kuandikwa hadharani.

Naipongeza JF kwa kutuletea burudani.
Vipaji vya burudani kama hivi havipatikani kwenye forums nyingine kiurahisi rahisi.We'll guarantee a massive support
Thanks!, tutazidi kukumbushana zaidi siku zikikaribia!.
Pasco.
 
I am sure you are testing water! Or is it the chess you are trying to play?
Sisi ni watazamaji tuu, wachezaji ndio hao wako ulingoni wakishambulia kote kote, ardhini, angani na majini, ukiona mashambulizi, unaweza kudhania ni vita vya ukombozi kweli!, kumbe ni gemu tuu, mwisho wa siku, huwa wanavuta na kuuza mechi, its all the game of politics, politiking that way!.
Pasco.
 
He. Nilishakata Ticket ya Boat yakhe kuja Jangwani....Haya nakuja kuusubiria huko huko hata mwezi ntakaa walah
 
Mwanamme huyu Lowasa Jembe."waliko huko moyo do do do!!!"kumtetema kudadadaki!!!!!!!

cdm wajanja,wamempa uwanja wa kuendelea kubomoa ccm,go lowassa go..na mgeja leo anatoa tamko kali.
 
Tunashukuru kwa taarifa,japo haifanani na hadhi ya kurugenzi.anyway CDM saccos imejaza viraza tuu
 
Vipi hujanielewa, au huamini huo ndio mpango wenyewe mzima!. We subiria subiria siku zikikaribia labda utanielewa!, kuanzia sasa anza kufafuatilia viongozi wako ujue wanasema nini kuhusu mtu huyu ndipo sasa utanielewa nilikuwa na maana gani!.
Pasco

Nendeni kwenye semina elekezi ya FITINA lumumba itaamsha sana uwezo wa timu zenu kupanga na kupitia mafanikio ya fitina. Maana tija yake mmmh
 
Chama langu hilo linatisha hatare sana peopleeeees poweeeer
 
CHADEMA watakuwa wameyaonea huruma ma CCM maana birthday yao ingedoda.

Dogo unachekesha birthday ya CCM ipo kila mwaka na hata wewe kama ulikuwepo kabla ya 1992...ulibahatika kula holiday....hii ni janja ya Mbowe na Slaa kwani wanaiheshimu Birthday ya CCM hivyo wanapumzika......Pia wasingeambulia chochote kwani wananchi wamejipanga kufuatilia ripoti ya utekelezaji wa ilani ya CCM kutoka kwa mwenyekiti na Raisi wa Jamhuri ya Muungano Mh.JK...........alafu wewe dogo haujui hata CDM birthday yake lini?
 
Back
Top Bottom