CHADEMA yasogeza mbele Mkutano wa Jangwani

CHADEMA yasogeza mbele Mkutano wa Jangwani

Tumaini Makene

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2012
Posts
2,650
Reaction score
6,088
Baada ya 'kuruhusiwa' kufanyika kwa mikutano ya hadhara katika maeneo ya mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) kwa ajili ya kampeni za uchaguzi, chama kimesogeza mbele ratiba ya M4C- Operesheni Pamoja Daima, ili kuziwezesha timu za OPD kwenda kwenye kata za uchaguzi katika mikoa hiyo.

Kwa hiyo badala ya kuhitimisha M4C- OPD Dar es Salaam, Uwanja wa Jangwani keshokutwa Jumapili, Februari 2, sasa itahitimishwa baada ya chama kufanya mikutano huko Kusini.

Taarifa rasmi ya uhitimishaji huo wa M4C-OPD, kwa maana ya tarehe, mahali n.k, zitatolewa baadae.

Asanteni

Makene
 
CHADEMA watakuwa wameyaonea huruma ma CCM maana birthday yao ingedoda.
 
kumbe hata cdm wanaiogopa nguvu ya lowasa! Yaani pale wasingepata kijana hata mmoja kwa lowasa
 
CDM wajanja, wanampa Lowasa nafasi ya kuchochea kuni............!!!!!

Kama hana akili huyo FISADI afanye huo mkutono,maana haiwezekani wenzake wafanye BIRTHDAY YA MTOTO NJITI huku Mbeya na yeye aendeshe upuuzi wake huko.
 
Tuko pamoja vijana wangu,


hata kama ni usiku wa manane mbiu ya chadema ikilia tutaamka na 'maboxer' yetu ili tupokee maneno ya ukombozi kupitia chama chenye mpango wa mungu, chadema!
 
kwanini? Hapa anaingiaje?

jumapili ni siku ambayo lowasa ameitisha harambee kubwa ya kuvhangia madereva bodaboda kumiliki pikipiki zao....chadema wamesoma upepo wakaona hawana chao watu wote wataenda kwa lowasa...chadema mikutano yao imekosa mvuto toka zto awatose kzmbani
 
Uloi nga mâché68;8564522 said:
Kweli anatisha kwa ufisadi huyo jamaa.

kila siku ufipa hela zinatokomea kusikojulikana uns habari?
 
Mwanamme huyu Lowasa Jembe."waliko huko moyo do do do!!!"kumtetema kudadadaki!!!!!!!
 
tehe tehe tehe
utamuua babu kwa presha coz mama junior kashaanza kushona mabazee ati anajiandaa kuwa first lady

Dr Slaa kwenda ikulu hakuna wa kumzuia. Kama watamweka Fisadi Papa Lowasa ndo mchezo uneisha zaidi ya nusu ya kura za CCM pamoja na uchache wake zitahamia CDM
 
Mkuu Makene, asante sana kwa taarifa hii, this is very good and reasonable justified excuses!. Hizi zinaitwa politics of accommodatives to avoid any confrontation and the clash of titanics, siku zote ni heri nusu shari kuliko shari kuliko shari kamili haswa kwa kuzingatia kwenye politics there is no permanent friends or enemies only a common interest !.

Huyu jamaa lazima awe accommodated na Chadema for whatever reasons because you never know 2015!. He could be the one!. And he is the one and only anayeweza kuuingiza Chadema ikulu ya Magogoni !. No one else!. Kinyume cha hapo, I'm very sorry to say that, 2015 ni CCM tena!.

PascoI
 
Back
Top Bottom