CHADEMA yashauri Katiba ifuatwe kuunda Serikali, Waziri Mkuu na Mawaziri waliopo hawakuapa mbele ya Rais wa sasa

Hili swali limeulizwa sana humu ila naona hawana nia ya kulijibu.

Simple Logic kwamba tukio la kufiwa na rais akiwa madarakani ni geni na ndio limetokea kwa mara ya kwanza hivyo hatuna precedent lakini kwa simple logic tu kwamba wateule wa rais nao automatic wanakua disqualified baada ya rais aliyewateua na kuapa kwake kufariki.
 
Mwigulu ana hesabiwa siku za uwaziri.
Mara hii hata waganga wake hawata fanikiwa. Mama anae Mungu
NI kwamba waganga wake wamemwambia wazi kuwa mama NI mcha MUNGU hivyo hawezi penyeza ushirikina wao pale. Ni nadra sana mganga kukwambia ukweli
 
Kwana rais ni mtu au ni Tasisi. Tatizo la CDM mnajua mwenyekiti ni Mbowe tu.
Mnayajua Leo kwamba Rais NI taasisi. Si mlisema hakuna anayeweza kuwa Rais zaidi ya mwendazake. Sasa mama ndo kawaambia yeye ndo Rais naona kheri James kaanza kujutia kwa kudhani urais NI mali ya mwendazake kumbe siyo.
 
Simple Logic kwamba tukio la kufiwa na rais akiwa madarakani ni geni na ndio limetokea kwa mara ya kwanza hivyo hatuna precedent lakini kwa simple logic tu kwamba wateule wa rais nao automatic wanakua disqualified baada ya rais aliyewateua na kuapa kwake kufariki.
Kwahiyo inakuwa tunaanza upya,haya ngoja tusubiri wataalamu wa sheria.
 
Hiki chama hovyo kabisa hivi hata Akili kidogo wanakosa? Hivi hawajui Rais Aliyekuwepo Hakufanya uteuzi bila kushauriana na Msaidizi wake?

Hiki chama cha chadema sijui kama kina watu weledi wa kuchuja mambo kabla ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kujianika ujinga wao.

Pia chadema nilazima ijue Mama samia hayupo madarakani kwa tiketi ya chadema Bali ya chama cha Mapinduzi na Anatekeleza Ilani ya CCM na siyo ya chadema.

Hii tabia ya kutaka Serikali ifuate Mawazo yao ni Ujinga wa kupindukia ndio maana walikua wana Susa Susa bungeni heti Serikali imekataa kufuta wanayoyataka.

Tuache ujinga wa kisiasa tena siasa uchwara kama hizi za kitoto kabisa hakuna Serikali inayofanya mambo kwa kushinikizwa na watu au kikundi cha watu hiyo haitakuwa Serikali.
 
Hiki chama hovyo kabisa hivi hata Akili kidogo wanakosa? Hivi hawajui Rais Aliyekuwepo Hakufanya uteuzi bila kushauriana na Msaidizi wake?

Hiki chama cha chadema sijui kama kina watu weledi wa kuchuja mambo kabla ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kujianika ujinga wao.

Pia chadema nilazima ijue Mama samia hayupo madarakani kwa tiketi ya chadema Bali ya chama cha Mapinduzi na Anatekeleza Ilani ya CCM na siyo ya chadema.

Hii tabia ya kutaka Serikali ifuate Mawazo yao ni Ujinga wa kupindukia ndio maana walikua wana Susa Susa bungeni heti Serikali imekataa kufuta wanayoyataka.

Tuache ujinga wa kisiasa tena siasa uchwara kama hizi za kitoto kabisa hakuna Serikali inayofanya mambo kwa kushinikizwa na watu au kikundi cha watu hiyo haitakuwa Serikali.
Basi kwa mantiki yako Mh Samia asingeapa kuwa Rais maana alikuwa anafanya kazi na aliyekuwa Rais JPM.
 
Kuna mtu ameweka kifungu kinasema Rais atakayeshika madaraka baada ya Rais Kufariki hawezi kutengua uteuzi.
Je Ina maana hata mtu akivuruga wizarani hataweza kutenguliwa nafasi yake?

Mimi Nimeelewa kuwa Endapo Rais wa Kuchaguliwa hayupo kwenye Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania hivyo Makamu, Spika au Jaji kushika nafasi yake, haea wanaoshika haya mamlaka ndio hawawezi kuvunja baraza la mawaziri, kuvunja bunge, kutumbua.

Lakini kama Rais wa Kuchaguliwa kafatiki, basi anayeapishwa kuwa Rais atapaswa kuanza Upya na ndio maana anateua Makamu Wa Rais na Kuendelea.

Mungu Mtunze Rais Samia Suluhu na Makamu wake Philip Mpango.
 
Kuna mtu ameweka kifungu kinasema Rais atakayeshika madaraka baada ya Rais Kufariki hawezi kutengua uteuzi.
Je Ina maana hata mtu akivuruga wizarani hataweza kutenguliwa nafasi yake?

Mimi Nimeelewa kuwa Endapo Rais wa Kuchaguliwa hayupo kwenye Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania hivyo Makamu, Spika au Jaji kushika nafasi yake, haea wanaoshika haya mamlaka ndio hawawezi kuvunja baraza la mawaziri, kuvunja bunge, kutumbua.

Lakini kama Rais wa Kuchaguliwa kafatiki, basi anayeapishwa kuwa Rais atapaswa kuanza Upya na ndio maana anateua Makamu Wa Rais na Kuendelea.

Mungu Mtunze Rais Samia Suluhu na Makamu wake Philip Mpango.
Sahihi kabisa mkuu huzikwa na viapo vyake. Na haiwezekani Rais kuridhi viapo vya mtangulizi wake. Hata mmoja wa wanandoa anapofariki na aliyebeki akaoa hawezi kutumia kiapo Cha marehemu Bali huapa upya.
 
Kuna mtu ameweka kifungu kinasema Rais atakayeshika madaraka baada ya Rais Kufariki hawezi kutengua uteuzi.
Je Ina maana hata mtu akivuruga wizarani hataweza kutenguliwa nafasi yake?

Mimi Nimeelewa kuwa Endapo Rais wa Kuchaguliwa hayupo kwenye Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania hivyo Makamu, Spika au Jaji kushika nafasi yake, haea wanaoshika haya mamlaka ndio hawawezi kuvunja baraza la mawaziri, kuvunja bunge, kutumbua.

Lakini kama Rais wa Kuchaguliwa kafatiki, basi anayeapishwa kuwa Rais atapaswa kuanza Upya na ndio maana anateua Makamu Wa Rais na Kuendelea.

Mungu Mtunze Rais Samia Suluhu na Makamu wake Philip Mpango.
Ndiyo ilivyo, mbona mama ameshaanza kuteua kama kawa!
 
ushauri wenu hakuzingatia katiba ya JMT 1977 (2005) na unashindwa kutofautisha kati ya rais mteule anayetokana na uchaguzi na kaimu rais anayetikana na sababu zingine isipokuwa uchaguzi.
Mh. Samia baada tu ya kifo aliluwa kaimu rais. alitakiwa aape kuwa rais. mpaka anaapa baraza na wateule wote wa rais walikuwa hahali kikatiba. Baada ya kuapishwa sasa SSH kama rais aweza kufanya lolote kwa mjibu wa katiba ikwemo kuvunja baraza na hata kuitisha uchaguzi mkuu kama anaona inafaa.
 
Sahihi kabisa mkuu huzikwa na viapo vyake. Na haiwezekani Rais kuridhi viapo vya mtangulizi wake. Hata mmoja wa wanandoa anapofariki na aliyebeki akaoa hawezi kutumia kiapo Cha marehemu Bali huapa upya.

Kwa hiyo Mabalozi wote watakuja kuapa upya? Mbona wako Mabalozi wengi tu ambao waliapa kwa awamu ya nne na waliendelea na kazi zao awamu ya tano bila kuapa.
 
Kuna mtu ameweka kifungu kinasema Rais atakayeshika madaraka baada ya Rais Kufariki hawezi kutengua uteuzi.
Je Ina maana hata mtu akivuruga wizarani hataweza kutenguliwa nafasi yake?

Mimi Nimeelewa kuwa Endapo Rais wa Kuchaguliwa hayupo kwenye Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania hivyo Makamu, Spika au Jaji kushika nafasi yake, haea wanaoshika haya mamlaka ndio hawawezi kuvunja baraza la mawaziri, kuvunja bunge, kutumbua.

Lakini kama Rais wa Kuchaguliwa kafatiki, basi anayeapishwa kuwa Rais atapaswa kuanza Upya na ndio maana anateua Makamu Wa Rais na Kuendelea.

Mungu Mtunze Rais Samia Suluhu na Makamu wake Philip Mpango.

Mkuu,Rais aliyepo ANAWEZA kuvunja Baraza na kuliunda upya KAMA ATAPENDA,lkn pia HALAZIMIKI kulivunja endapo ataona ni sawa kuendelea na lile lile. Tatizo naona CDM kwa waraka wao huu ambao ni copy and paste ya ule wa TLS wanataka kulazimisha. Tafuta ule Uzi wa huu huu waraka ulipotolewa na TLS uone Wanasheria walivyo uchallenge huu waraka.
 
Utawala wa UJANJA UJANJA huu, dalili zimeonekana tangu awali. Hakutakuwa na tofauti yeyote na yule MHALIFU Mwendazake.
Inasemekana Mama ametishwa na sukuma gang Kama atawatema watampigia kura ya kutokuwa na imani naye bungeni kanywea , for sure hakuna chochote kitakachobadilika .
 
Kwa hiyo Mabalozi wote watakuja kuapa upya? Mbona wako Mabalozi wengi tu ambao waliapa kwa awamu ya nne na waliendelea na kazi zao awamu ya tano bila kuapa.
Mkuu viapo vinavyozungumziwa hapa NI vya kikatiba mf Waziri mkuu, Mawaziri na manaibu Waziri. Hao mabalozi, makatibu wakuu nk viapo vyao NI vya kikanuni.
 
Back
Top Bottom