Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,149
- 27,165
Karibu mkuu kawaingiza Chaka, poleni sanaNgoja tusubiri na majibu kutoka kwa Mwigulu Nchemba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuu kawaingiza Chaka, poleni sanaNgoja tusubiri na majibu kutoka kwa Mwigulu Nchemba.
Leo umepata jibu kuwa mnyika kawaingiza Chaka?Mbona una-quote vifungu visivyohusiana na hali ya sasa? Tunajadili Makamu wa Rais ambaye anakuwa Rais baada ya kifo cha Rais aliye tangulia. Rais mpya!
Leo jibu umelipata?Hao wote wana kiapo cha utii kwa Marehemu JPM, kiapo huwa hakirisishwi hata kidogo
CDM mpo sahihi 100%
Mkuu viapo vinavyozungumziwa hapa NI vya kikatiba mf Waziri mkuu, Mawaziri na manaibu Waziri. Hao mabalozi, makatibu wakuu nk viapo vyao NI vya kikanuni.
SinaHaya Mama keshamaliza,una la kusema tena.
Kwa hiyo ulikurupuka?Sina
Katibu mnyika kawaingiza chakaNgoja tusubiri na majibu kutoka kwa Mwigulu Nchemba.
Sawa mheshimiwa doto jamesKatibu mnyika kawaingiza chaka
Katibu aombe radhiSawa mheshimiwa doto james
Panic, sijui kuteseka, and other bullshit like that viko kwenye imaginations zenu tu.Mh. Nyani, I will repeat myself! Ukipanic ndo utaonekana unateseka, au nimekosea ndugu yangu?! You just need to relax! He is gone, but life goes on!