CHADEMA yang'ara Morogoro

CHADEMA yang'ara Morogoro

Lizaboni unaona huku wenzio wanavyoshughulikiwa,hii ni indiketa mbaya sana kwa mwenyekiti wako wa msimu
 
Dah... Mie shida Yangu ilikuwa kwa mwenyekiti tu wa taifa ili kupunguza figisu ili tuchape kazi
 
nawapongeza wananchi na wapiga kura kwakuwa wamechagua kitu sahihi
 
kwa hiyo wewe huoni kwamba CCM kushindwa huu uchaguzi mdogo ni dalili mbaya? kati ya wewe na ntoa mada nani anawajaza watu matumaini?

Sio kuwapa matumaini, watu wana hofu na utawala huu mpya vitisho ni vingi mno na matamko kiasi kwamba kila MTU anauliza hivi leo hamna tamko?

Hili linazaa kizazi kisichokuwa na matumaini na kujiamini, nini matokeo, chama hakipo tena ndani ya mawazo ya watu kinasahaulika na tukiruka na mwendo huo tujiandae kuumbuka vibaya, unapozuia mikutano ya chama tutafunguaje matawi mapya ya CCM na huku kuna tamko LA kuzuia mikutano ya hadhara?

He tutafungua matawi ndani ya nyua za watu?

Ujue ni katazo LA vyama vyote. Tulikuwa tufungue tawi tumechemka hadi lini hatujui,,. KWA mwendo huu upinzani utakua vizuri tuu amino usiamini.
 
Hii ni habari njema sana! Hakuna kitu itafanya ccm kitanifanya nirudishe upendo wangu ccm!
Nilishatupa kila kitu na ubabewa mwenyekitiwao mpya ndo anaongezea kichefuchefu kabisa!

Kwa mabaya walitufanyia siwezi kupigia kura ccm mini na nyumba yangu!
 
tunawasubili mwaza tuwaonyeshe kazi....... ccm hawana uhalali wa kututawala.....
 
Si unajua hawa hawana kitu vichwani mwao,wakifika Lumumba asubuhi kila mtu anaanza kukaririshwa maneno yake ya kuongea so huyu ndio kapewa hayo maneno ayatoe kila thread.
Kama wale wabunge wa kijani wanavyokaririshwa asubuhi
 
Sijui atawapoteza nusu yao walioipiga chini ccm? Huu mchezo hautaki hasira
 
Jamani natangaza kupotelewa na vijana wa Lb7 hapa ndani.

Yeyete atakayewaona tuwasiliane haraka sana kwa namba iliyoko hapo ndani Inbox yangu, Au atoe taarifa kwa uongozi wa Jf chini ya mbeba nyundo Invisible...!!!!

Aaaah, yaani kata washapoteza tayari? Nilisikia ile Kesi ya kunyang'anywa ubunge wa Arusha Cdm waligoma kukata Rufaa, sasa itakuwaje?

Nadhani kinachofuata mzee wa "Kuishiwa Uvumilivu" atafuta uchaguzi mpaka 2020,tusubiri

BACK TANGANYIKA
 
Kwani hilo jimbo Lowasa alipata kura ngapi na CCM walipata kura ngapi?
Mimi huwa sishangazwa na hayo matokeo ya chadema kushinda kwenye baadhi ya vijiji na wala si jambo la ajabu.

Msema ukweli huwa ni uchaguzi pekee.. Hata kabla ya 2015 chadema walikuwa wana shinda shinda vijiji lakini mlijionea wenyewe kwenye uchaguzi mkuu..

Pigeni kelele lakini uchaguzi mkuu 2020 ikifika mtajionea wenyewe....
Kwa taarifa yako pamoja na kujitoa kwako ufahamu, CCM ilikuwa ikiwekeza sana katika vijiji kutokana na ujinga na njaa za masikini wa sehemu hizo za vjijini, sasa kwa kuwa hadi watu wa vijijini wameshtuka jua hamna chenu, ni za uso tu hasa za puani.
 
Ushindi wa uchaguzi upi sasa mjumbe wa nyumba kumi au balozi??
 
Kwani hilo jimbo Lowasa alipata kura ngapi na CCM walipata kura ngapi?
Mimi huwa sishangazwa na hayo matokeo ya chadema kushinda kwenye baadhi ya vijiji na wala si jambo la ajabu.

Msema ukweli huwa ni uchaguzi pekee.. Hata kabla ya 2015 chadema walikuwa wana shinda shinda vijiji lakini mlijionea wenyewe kwenye uchaguzi mkuu..

Pigeni kelele lakini uchaguzi mkuu 2020 ikifika mtajionea wenyewe....
Ama umeongea kwa upole hivi niwewe ruta kweli
 
Back
Top Bottom