muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 1,002
Great....!!
Hahahaaa pamoja na kusajili ng'ombe wenye mikia mifupi bado wamepigwa? daah ...mayoooooKatika kuthibitisha ule usemi wa kwamba hata akija malaika kugombea CCM atakuwa mwizi ama jambazi, na takataliwa na wananchi tu
Leo hii imethibika katika kata ya Doma wilaya ya Kilosa baada ya uchaguzi mdogo kufanyika kufuatia kufariki kwa diwani wa kata hiyo alietokea CCM kufariki dunia, na hatimaye mgombea kutoka UKAWA/CHADEMA Kuibuka mshindi kwa kupata kura 515 dhidi ya mgombea wa CCM alieangikia pua kwa kupata kura 312.
CCM wanaanza kuisoma namba wenyewe.
cc ; Mwenyekiti wa CCM - Taifa.

Hali ni mbaya sana mkuuHahahaaa pamoja na kusajili ng'ombe wenye mikia mifupi bado wamepigwa? daah ...mayooooo![]()
2019 ndo watashikishwa Ukuta balaa![]()
![]()
![]()
![]()
Bila polisccm wao ,2015 ndo ilikuwa mwisho wao kwa huku bara , lkn tokea 1995 walishapigwa zanzibarccm inaishi kwa kutegemea vitisho vya mapolisi kwa wapinzani.
Yanga anapanga safu ya ushindi ya Simba.Mwenyekiti angekuwa Pro Safari
Makamu Prof Mukandara
Katibu Mkuu Mnyika
Naibu Katibu Heche
Then Zitto Kabwe tungemuandaa kugombea 2020
Kwa madudu haya ya Magufuli basi 2020 tungeenda Ikulu hata kama wasimamizi wangekuwa wana CCM tungewanyuka tu hawa CCM!Lkn kwa utawala huu wa Mbowe na mwenzake Dr Mashinji hata TUME HURU hatuisumbui CCM 2020
Mm ni CHADEMA ASILIYanga anapanga safu ya ushindi ya Simba.