CHADEMA yang'ara Morogoro

CHADEMA yang'ara Morogoro

Wao wanafikiri ukali wa Magufuli na kutumbua majipu ndio kutawabeba!wasilolijua ni kuwa,utawala wa awamu hii unagusa kila mwananchi awe fisadi,asiwe fisadi,awe mwema,asiwe mwema,n.k na matokeo yake wote wanaungana kuikataa CCM.

Too much of everything is harmful.

Na huu ni mwanzo tu.
kwani aina hii ya matokeo ina tofauti yoyote na kilichotokea October 2015?

CCM haikushinda uchaguzi mkuu uliopita. FACT.
 
Wao wanafikiri ukali wa Magufuli na kutumbua majipu ndio kutawabeba!wasilolijua ni kuwa,utawala wa awamu hii unagusa kila mwananchi awe fisadi,asiwe fisadi,awe mwema,asiwe mwema,n.k na matokeo yake wote wanaungana kuikataa CCM.

Too much of everything is harmful.

Na huu ni mwanzo tu.
nashukuru kwa habari hii,maana imeusuuza moyo na kuituliza roho yangu!
Asante kamanda!
 
CHADEMA YANG'ARA MOROGORO:

Yaichapa ccm kwenye uchaguzi Mdogo wa kijiji cha Doma.

MATOKEO YA UCHAGUZI HUO YALIKUWA KAMA IFUATAVYOA;

DOMA STOO....CDM 86 CCM 24
MTAKE NINI...CDM 23 CCM 35
NGWAMBE ....CDM 76 CCM 20
SHULE DOMA CDM 141 CCM 37
DOMA KILOSA CDM 154 CCM 40
DOMA STENDI CDM 146 CCM 135
JUMLA CDM 515 CCM 312

CHADEMA IMESHINDA TAYARI....

MATOKEO HAYO YANATOA TASWIRA YA LONGIDO KWANI KOTE CHADEMA ILISHINDA CCM WAKAFUNGUA KESI NA UCHAGUZI KURUDIWA, IMEPIGWATENA.
Yaani tatizo la Magu anadhani wananchi wataipigia CCM kura kutokana na kauli zake za kibabe na za kutozingatia sheria za nchi, kama ile aliyoitoa jana kwenye mkutano Mkuu wa CCM, aliposema kuwa kama angelikuwa yeye ndiye Mwenyekiti kipindi kile cha uchaguzi mwaka jana wakati wajumbe wa NEC walipokuwa wakiimba tuna imani na Lowassa, yeye 'angewapoteza' zaidi ya nusu ya wale wajumbe!

Kwa namna JPM anavyoendeleza vitisho na ubabe kwenye utawala wake ndivyo wananchi wanavyozidi kuwa na chuki na utawala wake kuelekea kwenye chaguzi zijazo kwa kuwa nchi haipaswi kuendeshwa kwa 'mikwara' bali inaendeshwa kwa kufuata Katiba ya nchi.
 
Wao wanafikiri ukali wa Magufuli na kutumbua majipu ndio kutawabeba!wasilolijua ni kuwa,utawala wa awamu hii unagusa kila mwananchi awe fisadi,asiwe fisadi,awe mwema,asiwe mwema,n.k na matokeo yake wote wanaungana kuikataa CCM.

Too much of everything is harmful.

Na huu ni mwanzo tu.
Wataalamu wa hallucination
Naona mnaendelea na kupuliza puli kama kawaida yenu iwape stimu za kujitekenya...

Anyway.. One thing inachowasaidia ni kuwajaza matumaini hata yasiyowezekana..
 
Jana nilisema ccm ata wafanyaje kampeni pekee yao kama jana tv zote awawezi shinda ukweli umeanza kuonekana DOMA wananchi wameamua wameonyesha ukweli
 
ninacho shukuru ni kiasi gani hao wananchi wameweza kuionyesha heshima chadema kwamba bado wanawaamini pamoja na changamoto nyingi wanazo pitia.
 
CHADEMA YANG'ARA MOROGORO:

Yaichapa ccm kwenye uchaguzi Mdogo wa kijiji cha Doma.

MATOKEO YA UCHAGUZI HUO YALIKUWA KAMA IFUATAVYOA;

DOMA STOO....CDM 86 CCM 24
MTAKE NINI...CDM 23 CCM 35
NGWAMBE ....CDM 76 CCM 20
SHULE DOMA CDM 141 CCM 37
DOMA KILOSA CDM 154 CCM 40
DOMA STENDI CDM 146 CCM 135
JUMLA CDM 515 CCM 312

CHADEMA IMESHINDA TAYARI....

MATOKEO HAYO YANATOA TASWIRA YA LONGIDO KWANI KOTE CHADEMA ILISHINDA CCM WAKAFUNGUA KESI NA UCHAGUZI KURUDIWA, IMEPIGWATENA.

nadhani huu ni ujumbe kuwa anachokifanya magufuli hakiisaidii ccm kwa lolote hasa ukizingatia kwa mujibu wa lubuva morogoro ni ngome ya ccm
 
Back
Top Bottom