Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,052
- 18,012
Weka taarifa ya ukweli ili tuwaumbue hawa chadema waongoMajizi Chadema na nyuzi za kujifurahisha
Weka taarifa ya ukweli ili tuwaumbue hawa chadema waongoMajizi Chadema na nyuzi za kujifurahisha
kwani aina hii ya matokeo ina tofauti yoyote na kilichotokea October 2015?Wao wanafikiri ukali wa Magufuli na kutumbua majipu ndio kutawabeba!wasilolijua ni kuwa,utawala wa awamu hii unagusa kila mwananchi awe fisadi,asiwe fisadi,awe mwema,asiwe mwema,n.k na matokeo yake wote wanaungana kuikataa CCM.
Too much of everything is harmful.
Na huu ni mwanzo tu.
nashukuru kwa habari hii,maana imeusuuza moyo na kuituliza roho yangu!Wao wanafikiri ukali wa Magufuli na kutumbua majipu ndio kutawabeba!wasilolijua ni kuwa,utawala wa awamu hii unagusa kila mwananchi awe fisadi,asiwe fisadi,awe mwema,asiwe mwema,n.k na matokeo yake wote wanaungana kuikataa CCM.
Too much of everything is harmful.
Na huu ni mwanzo tu.
Yaani tatizo la Magu anadhani wananchi wataipigia CCM kura kutokana na kauli zake za kibabe na za kutozingatia sheria za nchi, kama ile aliyoitoa jana kwenye mkutano Mkuu wa CCM, aliposema kuwa kama angelikuwa yeye ndiye Mwenyekiti kipindi kile cha uchaguzi mwaka jana wakati wajumbe wa NEC walipokuwa wakiimba tuna imani na Lowassa, yeye 'angewapoteza' zaidi ya nusu ya wale wajumbe!CHADEMA YANG'ARA MOROGORO:
Yaichapa ccm kwenye uchaguzi Mdogo wa kijiji cha Doma.
MATOKEO YA UCHAGUZI HUO YALIKUWA KAMA IFUATAVYOA;
DOMA STOO....CDM 86 CCM 24
MTAKE NINI...CDM 23 CCM 35
NGWAMBE ....CDM 76 CCM 20
SHULE DOMA CDM 141 CCM 37
DOMA KILOSA CDM 154 CCM 40
DOMA STENDI CDM 146 CCM 135
JUMLA CDM 515 CCM 312
CHADEMA IMESHINDA TAYARI....
MATOKEO HAYO YANATOA TASWIRA YA LONGIDO KWANI KOTE CHADEMA ILISHINDA CCM WAKAFUNGUA KESI NA UCHAGUZI KURUDIWA, IMEPIGWATENA.
Wataalamu wa hallucinationWao wanafikiri ukali wa Magufuli na kutumbua majipu ndio kutawabeba!wasilolijua ni kuwa,utawala wa awamu hii unagusa kila mwananchi awe fisadi,asiwe fisadi,awe mwema,asiwe mwema,n.k na matokeo yake wote wanaungana kuikataa CCM.
Too much of everything is harmful.
Na huu ni mwanzo tu.
CHADEMA YANG'ARA MOROGORO:
Yaichapa ccm kwenye uchaguzi Mdogo wa kijiji cha Doma.
MATOKEO YA UCHAGUZI HUO YALIKUWA KAMA IFUATAVYOA;
DOMA STOO....CDM 86 CCM 24
MTAKE NINI...CDM 23 CCM 35
NGWAMBE ....CDM 76 CCM 20
SHULE DOMA CDM 141 CCM 37
DOMA KILOSA CDM 154 CCM 40
DOMA STENDI CDM 146 CCM 135
JUMLA CDM 515 CCM 312
CHADEMA IMESHINDA TAYARI....
MATOKEO HAYO YANATOA TASWIRA YA LONGIDO KWANI KOTE CHADEMA ILISHINDA CCM WAKAFUNGUA KESI NA UCHAGUZI KURUDIWA, IMEPIGWATENA.