Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.
mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!
Pasco.
Nadhani taarifa yako si sahihi, alichompongeza JK ni kukubali suala la katiba mpya, na amesema wazi kabisa kuwa suala la katiba halikuwa kwenye ilani ya ccm wala kwenye hotuba ya rais lakni kutokana na preasure amekubali. Huo ni uungwana kwani katiba ndiyo itakayoleta mustakabali wa nchi. Nina imani mpaka kesho Mh Mbowe akiulizwa kama JK ni rais halali atasema hapana, isipokuwa ni rais kwa mujibu wa katiba na sheria tunazozilalamikia.
Pasco omba radhi tafadhali
Regia has explained it beter
Hivi unaweza kupongeza kitu kabla ya kukitambua?
Hakuna kitu kama hicho..
Pasco karudie kusikiliza..
Amesema anamshukuru Rais kwa kuwa msikivu, na kwamba amechukua hoja ya Chadema ya Katiba na kuiweka hadharani.
Lakini hakumaanisha kuwa ni rais aliyeshinda kwa kishindo...
Kuwa makini mkuu, hii ni ishu kubwa sana usii-amplify in a wrong way...
Gaijin,Aombe radhi kwa sababu ya ufahamu wake? If he believes Mbowe amemtambua Rais, ataendelea kuamini hivyo. What's the point ya kuomba radhi kwa ajili ya kuridhisha watu tu.
Au ndo tunataka watu waaanze kuficha kueleza mawazo yao kwa kuwa hayaendi sambamba na kile wengi wanachokiamini?
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.
mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!
Pasco.
Gaijin,
Uelewa wa Pasco hapa majamvini, hasa kwa masuala ya siasa unajulikana, na ametokea kuheshimika SANA KWA KUwa rational sana katika masuala yenye utata!
Ni ajabu leo anakuwa mgumu kukubali kuwa ameenda extreme na kuonyesha biaseness yake, ambayo kwa kipindi kirefu amekuwa akijitahidi isijulikane!
Think about that!
Sasa ile kutoka bungeni siku ya kwanza ilikuwa ni nini?
Kweli chama hichi kiko consistent!
Paskali
1)Kwanza picha uliyoweka haihusiani kabisa na tukio la leo bungeni...ni upotoshaji mkubwa....hii picha ni ya siku ya sheria iliyofanyika last week...wewe unataka kuonyesha watu kuwa ndio kajisalimisha rasmi kwa JK...VERY WRONG
2)Soma thread ya Mama Regia Mtema kuhusu nini hasa Mbowe amesema kule bungeni....amemsimu JK kwa kukubali kuleta mabadiliko ya katiba ambao ni uungwana mkubwa sana...na si kuwa amekubali uhalali wa Urais wake....na wengi ndio upotofu walikuwa nao....kuna tofauti ya kumkataa Rais(haliwezekani: Iddi Amini alikuwa Rais kwa miaka saba na hakuupata kihalali lakini hata Mwalimu alikubali kuwa ni Rais wa wakati huo) na kukataa Rais amekuwaje Rais (kwa kuiba kura)
Utashi na maslahi yetu kisiasa kamwe yasitumike kuhadaa ukweli
Nasisitiza!
Gaijin,
Uelewa wa Pasco hapa majamvini, hasa kwa masuala ya siasa unajulikana, na ametokea kuheshimika SANA KWA KUwa rational sana katika masuala yenye utata!
Ni ajabu leo anakuwa mgumu kukubali kuwa ameenda extreme na kuonyesha biaseness yake, ambayo kwa kipindi kirefu amekuwa akijitahidi isijulikane!
Think about that!