BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
mi naona kama umechomekea maneno yako.
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wampongeza Kwa Kukubali Kuandika Katiba Upya!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Siasa ni hasa. Wamkubali na Meya wa Arusha.
Mode: Samahani nilihamanika nikakosea.
Naomba nirekebishie heading ya thread hii isomeke
ile news alert iondoke ibaki breaking news!. Chadema yakubali yaishe, Wanamtambua JK!, Wampongeza!.
Mkuu, nimemsikiliza lakini nadhani labda masikio yangu mabovu kwa sababu sikumsikia akiongea hayo uliyoandika kuhusu JK
mKUU,Wengine tuko maofisini bana hatuwezi kufuatilia bunge sasa hivi? nyie ndo mnaorudisha nyuma maendeleo ya Taifa hili badala ya kuchapa kazi unafatlia bunge sas hivi. Uko halmashauri gani mkubwa?
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Mimi hata sielewi, nashangaa waliosikiliza hotuba hiyo wanabishana wenyewe kwa wenyewe hadi sisi tunaopewa taarifa hapa hatuelewi ni nini hasa kilichoongelewa.Pasco hili tusifanye kosa la misqoutations labda ungeweka qoute word by word..., kama unavyojua issue za lost in translation.
Au alisema Sisi Chadema tunakubali yaishe, tunamtambua na kumpongeza Raisi.., je alisema hivyo?
Sasa ile kutoka bungeni siku ya kwanza ilikuwa ni nini?
Kweli chama hichi kiko consistent!
Toka lini Pasco kawa mwandishi wa habari hata kama akiwa mwandishi wa habari ndiyo kila kitu umeze bila kutafuna, kuna siku Mwalimu Nyrerere aliwaambia wandishi wa habari wa Kenya hivi 'wakisikia yeye anatembea na mama yao wataandika kuwa yeye ni baba yao'. Pasco amedanganya kwa interests zake na wwe kwa vile uko tunned ukaingia kichwa kichwa bila kufuatilia.Labda useme amefanya kwa makusudi. Mwandishi wa habari akaghafilike kwenye kitu kama hicho?