CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais

Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!

Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.

Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!

Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!

Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.

Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!

Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!

Asante sana Freeman Mbowe!.

Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.

mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!

Pasco.

attachment.php

Mimi simtambui, simpongezi huyo JK.
 
Kila mtu na ufahamu wake

Yeye kwa mujibu wa sequence za matokeo na maneno ya Mheshimiwa Mbowe ameona ni sawa na kumtambua tu.
 
Nadhani taarifa yako si sahihi, alichompongeza JK ni kukubali suala la katiba mpya, na amesema wazi kabisa kuwa suala la katiba halikuwa kwenye ilani ya ccm wala kwenye hotuba ya rais lakni kutokana na preasure amekubali. Huo ni uungwana kwani katiba ndiyo itakayoleta mustakabali wa nchi. Nina imani mpaka kesho Mh Mbowe akiulizwa kama JK ni rais halali atasema hapana, isipokuwa ni rais kwa mujibu wa katiba na sheria tunazozilalamikia.

Posco ni kilaza?
 
Aombe radhi kwa sababu ya ufahamu wake? If he believes Mbowe amemtambua Rais, ataendelea kuamini hivyo. What's the point ya kuomba radhi kwa ajili ya kuridhisha watu tu.

Au ndo tunataka watu waaanze kuficha kueleza mawazo yao kwa kuwa hayaendi sambamba na kile wengi wanachokiamini?

Pasco omba radhi tafadhali

Regia has explained it beter
 
Hakuna kitu kama hicho..
Pasco karudie kusikiliza..
Amesema anamshukuru Rais kwa kuwa msikivu, na kwamba amechukua hoja ya Chadema ya Katiba na kuiweka hadharani.
Lakini hakumaanisha kuwa ni rais aliyeshinda kwa kishindo...
Kuwa makini mkuu, hii ni ishu kubwa sana usii-amplify in a wrong way...


akaombe kituo cha tv kimuwekee sloo mosheni.
 
Aombe radhi kwa sababu ya ufahamu wake? If he believes Mbowe amemtambua Rais, ataendelea kuamini hivyo. What's the point ya kuomba radhi kwa ajili ya kuridhisha watu tu.

Au ndo tunataka watu waaanze kuficha kueleza mawazo yao kwa kuwa hayaendi sambamba na kile wengi wanachokiamini?
Gaijin,
Uelewa wa Pasco hapa majamvini, hasa kwa masuala ya siasa unajulikana, na ametokea kuheshimika SANA KWA KUwa rational sana katika masuala yenye utata!
Ni ajabu leo anakuwa mgumu kukubali kuwa ameenda extreme na kuonyesha biaseness yake, ambayo kwa kipindi kirefu amekuwa akijitahidi isijulikane!
Think about that!
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!

Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.

Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!

Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!

Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.

Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!

Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!

Asante sana Freeman Mbowe!.

Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.

mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!

Pasco.

attachment.php

yeah,hapo nami ntawakubali bgup
 
Mkuu umemquote Vibaya Mbowe.........nadhani kuna maneno mengi sana ya kwako umeongezea!! Wote tumemskiliza nadhani una tatizo katika ku ripoti mambo......ushauri wa bure tu jaribu kufanyia kazi hilo tatizo kinyume na hapo......utakuwa mpotoshaji mkubwa sana katika hili Jamvi letu la JF.....and people will stop trusting your threads!!! SAWAAAAA????
 
PJ
Ujue pengine na yeye anafikiri exactly kama ufikirivyo wewe.
Kuwa yeye yuko rational kama kawaida, lakini wapenzi wa chama ndio hamutaki kumuelewa.
Yeye alipoona lile extra-big smile la Mbowe kwenye picha na maelezo ya leo, anaamini kuwa weshamtambua.

Tunafikiri kuna wangapi waliofikia conclusion kama ya Pasco kwa hotuba ya Mbowe leo? Tunataka kugeuka mbuni kuwa bora tusiyasikie na tujidanganye kuwa mawazo kama hayo hayapo?

Tunachoweza kufanya ni kujadili ni kwa vipi hizo sequence hazimaanishi kama alivyofahamu Pasco na sio kuja na maneno aina ya 'muongo', 'umetumwa' kama wanavyofanya wengi.


Gaijin,
Uelewa wa Pasco hapa majamvini, hasa kwa masuala ya siasa unajulikana, na ametokea kuheshimika SANA KWA KUwa rational sana katika masuala yenye utata!
Ni ajabu leo anakuwa mgumu kukubali kuwa ameenda extreme na kuonyesha biaseness yake, ambayo kwa kipindi kirefu amekuwa akijitahidi isijulikane!
Think about that!
 
Paskali

1)Kwanza picha uliyoweka haihusiani kabisa na tukio la leo bungeni...ni upotoshaji mkubwa....hii picha ni ya siku ya sheria iliyofanyika last week...wewe unataka kuonyesha watu kuwa ndio kajisalimisha rasmi kwa JK...VERY WRONG
2)Soma thread ya Mama Regia Mtema kuhusu nini hasa Mbowe amesema kule bungeni....amemsimu JK kwa kukubali kuleta mabadiliko ya katiba ambao ni uungwana mkubwa sana...na si kuwa amekubali uhalali wa Urais wake....na wengi ndio upotofu walikuwa nao....kuna tofauti ya kumkataa Rais(haliwezekani: Iddi Amini alikuwa Rais kwa miaka saba na hakuupata kihalali lakini hata Mwalimu alikubali kuwa ni Rais wa wakati huo) na kukataa Rais amekuwaje Rais (kwa kuiba kura)

Utashi na maslahi yetu kisiasa kamwe yasitumike kuhadaa ukweli

Nasisitiza!
 
Sasa ile kutoka bungeni siku ya kwanza ilikuwa ni nini?

Kweli chama hichi kiko consistent!

Sio hivyo tu, hakijui kinachofanya na sio makini.

Paskali

1)Kwanza picha uliyoweka haihusiani kabisa na tukio la leo bungeni...ni upotoshaji mkubwa....hii picha ni ya siku ya sheria iliyofanyika last week...wewe unataka kuonyesha watu kuwa ndio kajisalimisha rasmi kwa JK...VERY WRONG
2)Soma thread ya Mama Regia Mtema kuhusu nini hasa Mbowe amesema kule bungeni....amemsimu JK kwa kukubali kuleta mabadiliko ya katiba ambao ni uungwana mkubwa sana...na si kuwa amekubali uhalali wa Urais wake....na wengi ndio upotofu walikuwa nao....kuna tofauti ya kumkataa Rais(haliwezekani: Iddi Amini alikuwa Rais kwa miaka saba na hakuupata kihalali lakini hata Mwalimu alikubali kuwa ni Rais wa wakati huo) na kukataa Rais amekuwaje Rais (kwa kuiba kura)

Utashi na maslahi yetu kisiasa kamwe yasitumike kuhadaa ukweli

Nasisitiza!



Huwezi kusema eti unamsifu rais ambaye humtambui. Kumsifu tu, chia mbali kupeana nae mkono unakumbali kwa dhati kabisa kwamba unamkubali na kumtambua Rais na Urais.

CHADEMA sio makini.
 
Uelewa wa Pasco hapa majamvini, hasa kwa masuala ya siasa unajulikana, na ametokea kuheshimika SANA KWA KUwa rational sana katika masuala yenye utata!
Ni ajabu leo anakuwa mgumu kukubali kuwa ameenda extreme na kuonyesha biaseness yake, ambayo kwa kipindi kirefu amekuwa akijitahidi isijulikane!
Think about that!



Unajua huko ambako si uraiani inawezekana wana behave kulingana na kikile wanachokusudia kuachived, sasa kwa nini wengine hili linawapa tabu? Wakati mlikuwa mnamuona rational ndicho alichotakiwa kufanya na sasa amefanya alichotakiwa ambacho kwa wengine si, na wengine ni, rational. Ingawa angekua uraiani na yeye si......... mtamalizia.
 
mzee pasco mbona unatupotosha? au una lako jambo? tunangojea kuombwa radhi sisi wana JF hasa washabiki wa jukwaa hili - Dada Regia katufafanulia kwa upana zaidi.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom