CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais

Hongera jk kwa kutekeleza ilani ya chadema kuanzia katiba mpya,kuifumua bodi ya mikopo ya elimu ya juu(kwa wale wasiojua hili liko kwenye ilani ya chadema,nadhani ndiyo maana walihujumu wanachuo kupiga kura kwa sababu walijua kura zitaenda wapi,kwa faida ya wana jamvi hata sera ya kuanzisha chuo kikuu dodoma ipo kwenye ilani ya chadema ya 2005 na mh. Alielezea wakati anagombea urais).kibaya zaidi ni kwamba watanzania wanapenda kukimbilia mambo yasiyo ya msingi ambayo hayapunguzi ukali wa maisha wala kuongeza ukali wa maisha badala ya kuwapima wagombea na vyama vyao kwa sera,falsafa,matendo,vipaombele na mpango kazi,tunakimbilia kujua dini zao,makabila yao,wake zao,vitu ambavyo havina tija kwa watanzania,yani watanzania tunapanda kunde alafu tunataka tuvune maharage kitu ambacho labda kwa miujiza,kingine kinachosikitisha zaidi ni uyayayayaa,mnataka siasa za kilegelege sana matokeo yake ndo hayo tunapata serikali legelege ambayo siku si nyingi tunakwenda kulipa dowans bila kusahau waliojiuzia mgodi wa kiwira kwa mil 70 wakati samani halisi ni bil4 serikali bila aibu inathubutu kusema inaurudisha serikalini alafu aliejiuzia anadunda mitaani,haitoshi hao wanaodawi wanataka watuongoze walikimbiwa kuhojiwa na watu wanaotaka kuwaongoza yani unataka kazi ila interiew no,na bado tukawachagua hayo ni machache tu yapo mengi sana ila naomba niishie hapo maana haya mambo yanaumiza kupita kiasi unaweza hata ukampiga mtu risasi kama hata hawa watuhumiwa ni wenyekiti wa kamati nyeti za bunge(ra,el-nje,ulinzi na usalama),ndugu watanzania tumepanda kunde basi ni vema tutarajie kunde na sio maharage,taarifa za kiintejelisia zinanionesha mgao wa umeme ni siku tano na sio siku tatu,na usalama wa taifa wamefanya press confrnc wanasema meremeta,epa,deepgreen na dowans ni wapinzani ndio wanaomiliki,mwandishi wa habari alipotaka kujua kama wanataarifa za karamagi kusaini mkataba nje ya nchi tena usiku,hotelini wakasema hawajui,mhh,i wish that the message sent to all my fellow tanzania,mungu wabariki watanzania na uwajalie hekima na busara viongozi wake......
 
Hongera jk kwa kutekeleza ilani ya chadema kuanzia katiba mpya,kuifumua bodi ya mikopo ya elimu ya juu(kwa wale wasiojua hili liko kwenye ilani ya chadema,nadhani ndiyo maana walihujumu wanachuo kupiga kura kwa sababu walijua kura zitaenda wapi,kwa faida ya wana jamvi hata sera ya kuanzisha chuo kikuu dodoma ipo kwenye ilani ya chadema ya 2005 na mh. Alielezea wakati anagombea urais).kibaya zaidi ni kwamba watanzania wanapenda kukimbilia mambo yasiyo ya msingi ambayo hayapunguzi ukali wa maisha wala kuongeza ukali wa maisha badala ya kuwapima wagombea na vyama vyao kwa sera,falsafa,matendo,vipaombele na mpango kazi,tunakimbilia kujua dini zao,makabila yao,wake zao,vitu ambavyo havina tija kwa watanzania,yani watanzania tunapanda kunde alafu tunataka tuvune maharage kitu ambacho labda kwa miujiza,kingine kinachosikitisha zaidi ni uyayayayaa,mnataka siasa za kilegelege sana matokeo yake ndo hayo tunapata serikali legelege ambayo siku si nyingi tunakwenda kulipa dowans bila kusahau waliojiuzia mgodi wa kiwira kwa mil 70 wakati samani halisi ni bil4 serikali bila aibu inathubutu kusema inaurudisha serikalini alafu aliejiuzia anadunda mitaani,haitoshi hao wanaodawi wanataka watuongoze walikimbiwa kuhojiwa na watu wanaotaka kuwaongoza yani unataka kazi ila interiew no,na bado tukawachagua hayo ni machache tu yapo mengi sana ila naomba niishie hapo maana haya mambo yanaumiza kupita kiasi unaweza hata ukampiga mtu risasi kama hata hawa watuhumiwa ni wenyekiti wa kamati nyeti za bunge(ra,el-nje,ulinzi na usalama),ndugu watanzania tumepanda kunde basi ni vema tutarajie kunde na sio maharage,taarifa za kiintejelisia zinanionesha mgao wa umeme ni siku tano na sio siku tatu,na usalama wa taifa wamefanya press confrnc wanasema meremeta,epa,deepgreen na dowans ni wapinzani ndio wanaomiliki,mwandishi wa habari alipotaka kujua kama wanataarifa za karamagi kusaini mkataba nje ya nchi tena usiku,hotelini wakasema hawajui,mhh,i wish that the message sent to all my fellow tanzania,mungu wabariki watanzania na uwajalie hekima na busara viongozi wake......


Twende taratibu mkuu, kwanza tuambie chanzo cha sera za CDM nn? au sera za CDM zinajibu/zinatatua matatizo ya watu gani? na unajua kitu kinaitwa muelekeo wa sera katika CCM.
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!

Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.

Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!

Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!

Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.

Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!

Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!

Asante sana Freeman Mbowe!.

Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.

mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!

Pasco.

attachment.php

Mbowe amemshukuru Rais kwa kutumia busara na kukubali katiba mpya kwa kutumia sera liyokuwa kwenye ilani ya uchaguzi ya chadema ... na kuiomba serikali kutokusita kuomba ushauri kwa CDM kwani sera za CHADEMA hazina intellectual property right

<br />
Muongo mkubwa,alichosema Mbowe ni kuwa anampongeza Rais kwa kukubali kuanza mchakato wa katiba mpya japokuwa haikuwa katika ilani ya CCM.Mh.Mbowe amewataka serikali kuitumia ilani ya Chadema na wabunge wa CCM na wa vyama vingine wasiwe na hofu na wabunge wa CHADEMA na wawaelewe na kushirikiana nao.

Nadhani taarifa yako si sahihi, alichompongeza JK ni kukubali suala la katiba mpya, na amesema wazi kabisa kuwa suala la katiba halikuwa kwenye ilani ya ccm wala kwenye hotuba ya rais lakni kutokana na preasure amekubali. Huo ni uungwana kwani katiba ndiyo itakayoleta mustakabali wa nchi. Nina imani mpaka kesho Mh Mbowe akiulizwa kama JK ni rais halali atasema hapana, isipokuwa ni rais kwa mujibu wa katiba na sheria tunazozilalamikia.

Mode: Samahani nilihamanika nikakosea.
Naomba nirekebishie heading ya thread hii isomeke
ile news alert iondoke ibaki breaking news!. Chadema yakubali yaishe, Wanamtambua JK!, Wampongeza!.

Hakuna kitu kama hicho..
Pasco karudie kusikiliza..
Amesema anamshukuru Rais kwa kuwa msikivu, na kwamba amechukua hoja ya Chadema ya Katiba na kuiweka hadharani.
Lakini hakumaanisha kuwa ni rais aliyeshinda kwa kishindo...
Kuwa makini mkuu, hii ni ishu kubwa sana usii-amplify in a wrong way...

Pasco wewe ni MWONGO umeidanganya Jamii Forums na Great thinkers wote

Jamani jitahidini kusikiliza kwa masikio yenu wenyewe...
CDM hawajasema kuwa kuanzia leo wanamtambua rais...
Pasco ameghafilika!

Labda useme amefanya kwa makusudi. Mwandishi wa habari akaghafilike kwenye kitu kama hicho?

Sasa walichokubali kiishe hapo ni kipi? mbona sababu za kutoka nje ya bunge zilielezewa vizuri na cdm au mlikua mmelala?

cdm walitoka nje kuonyesha msimamo wao juu ya mamlaka iliyomweka JK madarakani na wala hawakuvunja sheeria yeyote kwani ni haki yao kisheria, hii thread sijajua lengo lake ni nini?
Pasco,
Please rekebisha post yako for sake of your reputation.
Just an advice
 
Pasco,
Please rekebisha post yako for sake of your reputation.
Just an advice



quote_icon.png
Originally Posted by Regia Mtema
Mkuu Pasco.Heshima mbele.

Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge. Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.

Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema. Kuongeza ni suala la kawaida sana. Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali. Hansard ikitoka nitaweka hapa.

Naomba uiondoe thread yako. Ili usipotoshe na wengine pia.

Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.



Kisha Regia akasema..........................
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!


Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.

Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!

Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!

Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.

Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!

Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!

Asante sana Freeman Mbowe!.

Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.

mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!

Pasco.

attachment.php


Pasco, nimesoma ktk thread ya dada Mtema kuwa huu wote ni upotoshaji. I've long consigned you to the category of self-egotist nut. Thnks
 
Pasco acha uongo usitufanye wote wajinga hajasema kitu kama hicho nimefuatilia kipindi chote alichosema ni kuwa anampongeza Kikwete kwa kukubali kuandikwa kwa katiba mpya, hajasema neno kumtambua Kikwete sehemu yeyote ile ulichoandika ni tafsiri yako ili ujiridhishe hukatazwi na mtu.

sasa kama hamtambui anampongeza kama nani, balozi wa nyumba kumi? Tuache unafiki! 1st of all hakuwa na haja ya kumpongeza, anampongeza kwa lipi? Katiba mpya ipi, au mchakato upi? If it's just for the sake of a political will, bado haiingii akilini kwa mbowe kumpongeza jk! Jana lema katabainisha wazi pinda ni muongo, na jk alivyosema haijui dowans wala wamiliki wake ni wazi katudanganya watz mchana kweupe! Sasa iweje mbowe ampongeze jk aliye kinara wa ufisadi? Kama mbowe naye kaanza kuvutika, maybe kutokana na frustrations za deni la nssf abwage manyanga ampe dr.slaa ucheiman. Naongea kama mzalendo halisi bila kujali itikadi za kisiasa!
 
Pasco hana sababu za kufuta thread yake kasema kweli na ukweli utasimama ingawa hamtaki kama hamtaki kukubali shauri yenu.
 
Ingawaje kuchukulia hizo pongezi kuwa ni sawa na kujisalimisha kwa JK ni uchakachuaji wa mambo, hata hivyo pongezi alizotoa Mbowe kwa JK zilikuwa hazistahili, kwani kuridhia kwa JK kwa kuanzishwa mchakato wa katiba, kulitokana zaidi na malengo ya kisiasa kuliko maslahi ya taifa. Hivyo mh. Mbowe ameonyesha kutokuwa mkomavu wa siasa kwa kushindwa kulitambua hilo.:clap2::A S 20:
 
Nakumbuka CDM walishasema kuwa JK is 'legally' the president of URT(ndiye aliyetangazwa na kuapa kwa mujibu wa sheria/katiba) but he is not the 'legitimate' president of URT (hakupata kura za kutosha kutangazwa mshindi - at least kwa mujibu wa CDM). Nakumbuka hayo maneno ya kiingereza (legal, legitimate) yalileta shida kidogo kwenye tafsiri.

Hivyo sidhani kama ishu ya kumtambua ni mpya.
 
Dr. Slaa amejidhalilisha sana kwa kutoa kauli ya kinaga ubaga ya kutokumtambua Rais.
Hivi sasa ni lazima atakuwa anajutia zaidi kauli hiyo kuliko jinsi anavyojutia kukubali kugombea urais.
Lakini haonekani kuwa amejifunza, bado anatoa kauli zitakazomdharaulisha zaidi huko mbeleni kama "Tanzania haitatawalika" n.k. Labda hizi ndio frustrations zenyewe!
 
Pasco,

..hizi taarifa umezipata toka kikao gani cha Chadema?

..huwezi kusema Chadema wamemtambua Raisi kwa kutumia mbinu za kuvizia-vizia, na kuweka maneno kwenye midomo ya watu, kama ulivyofanya hapa.
 
Binafsi nadhani badala ya kumuandama Pasco aombe radhi basi tuwaandame CHADEMA waache kutoa kauli zenye utata.
Kama mmeamua kwamba hamumkubali rais na mkautangazia UMMA hivyo, basi jambo lolote linalofanywa na "Rais" huyo hamtakiwi mlitambue hata kama linaendana na maslahi yenu, unless huyo "Rais" awe amelifanya hilo jambo si kwa kutumia kofia ya "Urais". Kitendo cha JK kutangaza kama "Rais" juu ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya ni mtego ambao aidha waliuweka kwa maksudi au bila kukusudia na umewanasa CHADEMA,,, leo Mwenyekiti wa Chama anampongeza mtu ambaye msimamo wa chama ni kuwa hawamtambui kama
"Rais"...

Kama JK angekuwa ametangaza kwenye vikao vya CCM kuhusu Serikali ya Chama chake kufanya mchakato wa katiba mpya basi nisingeshangaa Mwenyekiti wa CHADEMA kumpongeza mwenyekiti wa CCM kwa kutambua umuhimu wa kuunda katiba mpya.

Lakini kwa hili la Mwenyekiti wa Chama ambacho hakimtambui JK kama "Rais" kumpongeza kwa kutumia neno "Mheshimiwa Rais" na si "Mwenyekiti wa CCM" nasimama kusema kuwa ni kumtambua "Rais" kinyemela (indirectly)

Nadhani CHADEMA ndiyo mtumie Busara kuomba radhi kwa Bwana Pasco kutokana na mkanganyiko mliomsababishia pamoja na kuuomba radhi Umma pia.
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!

Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.

Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!

Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!

Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.

Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!

Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!

Asante sana Freeman Mbowe!.

Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.

mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!

Pasco.

attachment.php
Nafanya rejea tuu ya baadhi ya makosa ambayo Chadema waliyafanya kisha baadaye kuja kujirudi!, hili la kutomtambua rais lilikuwa kosa, Chadema walijirudi na hadi chai ikulu waliifuata!. Hivi baada ya lile tamko la kutoyatambua matokeo na kutomtambua rais, kwani waliwahi kurekebisha?, si tuliona tuu matendo!. Vivyo hivyo kwa hili la Zitto, Chadema wamefanya kosa!, sio lazima wamuombe rasmi msamaha, wanaweza tuu kutafuta suluhu na yakaisha kwa amani!.
Pasco.
 
Hata wasipo mkubali bado wako chini ya himaya yake na anaweza kuwafanya vyovyote atakavyo.shukuruni rais wetu ni mwingi wa rehema hana makuu mzee wa watu.
 
Ndo siasa hyo leo hamtambui kesho, wanakunywa chai wote huku wanacheka kama vile maalim seif alivyokua hamtambui mtoto wa kalume mwishoni baada yakuambiwa na wewe utakula basi akamtambua rais muda huo huo dah politics jaman
 
Hata wasipo mkubali bado wako chini ya himaya yake na anaweza kuwafanya vyovyote atakavyo.shukuruni rais wetu ni mwingi wa rehema hana makuu mzee wa watu.

Yani amekua mwingi wa rehema kama mungu acha bana umefika mbali bro mungu peke ndo anaetupa rehema na yeye ndo mwenye rehema
 
Back
Top Bottom