Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,880
- 12,320
Nilitaka niandike kitu fulan, lkn kwa heshima ya dada yang Erythrocyte acha tu niendelee kusoma comment. Dada mstarabu sana huyu kwa kweli.Akizungumza na Waandishi wa Habari wa Mataifa mbalimbali , wakiwemo na waandishi wa Habari wa Tanzania Kwenye ofisi za chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam , huko Kinondoni , Katibu Mkuu wa chama hicho Mh John Mnyika , alitangaza rasmi kwamba tarehe 5/8/2021 kuwa siku ya Watanzania wote wapenda haki kupinga mashitaka ya uongo dhidi ya Freeman Mbowe , ikumbukwe kwamba hii ndiyo siku iliyopangwa kutajwa tena kesi hiyo ya ugaidi wa uongo na wa kupikwa dhidi ya Mbowe .
Bali Mnyika hakufafanua kwamba ni kitu gani wanachama wa Chadema wanatakiwa kukifanya katika siku hiyo TEULE , ambayo huenda HISTORIA MPYA ya Tanzania ikaandikwa .
View attachment 1876521
Usikalie habari kwa kumuogopa mtu mmoja tuNilitaka niandike kitu fulan, lkn kwa heshima ya dada yang Erythrocyte acha tu niendelee kusoma comment. Dada mstarabu sana huyu kwa kweli.
Hahahaha.. haya nimekuelewa best anguUsikalie habari kwa kumuogopa mtu mmoja tu
Mbowe hajawahi kuwa gaidikwahiyo hawa wanataka kutuaminisha kwamba mwenyekiti wao hana hatia hata kidogo(malaika)?
Mkuu umemtosa Membe now?Nyika na vome hadi kieleweke.
basi kumbe hata mwendazake hajawahi kua mtesiMbowe hajawahi kuwa gaidi
Sasa hiyo picha unahusiana vipi na kesi ya Mbowe?Akizungumza na Waandishi wa Habari wa Mataifa mbalimbali , wakiwemo na waandishi wa Habari wa Tanzania Kwenye ofisi za chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam , huko Kinondoni , Katibu Mkuu wa chama hicho Mh John Mnyika , alitangaza rasmi kwamba tarehe 5/8/2021 kuwa siku ya Watanzania wote wapenda haki kupinga mashitaka ya uongo dhidi ya Freeman Mbowe , ikumbukwe kwamba hii ndiyo siku iliyopangwa kutajwa tena kesi hiyo ya ugaidi wa uongo na wa kupikwa dhidi ya Mbowe .
Bali Mnyika hakufafanua kwamba ni kitu gani wanachama wa Chadema wanatakiwa kukifanya katika siku hiyo TEULE , ambayo huenda HISTORIA MPYA ya Tanzania ikaandikwa .
View attachment 1876521
Makamanda tutajazana kwenye mabarabara ya Twitter, Instagram, Facebook, JF kufanya maandamano 🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️Bali Mnyika hakufafanua kwamba ni kitu gani wanachama wa Chadema wanatakiwa kukifanya katika siku hiyo TEULE , ambayo huenda HISTORIA MPYA ya Tanzania ikaandikwa .
HainaSasa hiyo picha unahusiana vipi na kesi ya Mbowe?
Mbona hao unaodai wanasema corona ipo ndo wamekuwa wakikusanya watu kila kukicha, au unajifanya hujui?Halafu hawa wanasiasa wasichekewe.Ni kama kinyonga.
Wakati wa Magufuli anasema Corona haipo Tanzania,wao walikuwa mstari wa mbele kusema ipo na nchi iwekwe 'lockdown'.
Sasa hivi Rais anasema Corona ipo.Wao wanataka mikusanyiko iruhusiwe.
Why!??
Mzee wa dakika 90 😁Mkuu umemtosa Membe now?
yapi yaliyotimia ?Yametimia
keyboarding experience
Leo ndiyo tarehe 5 watanzania wamewapuuza magaidiyapi yaliyotimia ?
pata taarifa sahihi nje ya hicho chungu cheusi ulichofunikwaLeo ndiyo tarehe 5 watanzania wamewapuuza magaidi
Unabadilika badilika kama kinyonga.Tunapopambania haki hatuangalii nani anasema nini
Wamemuingiza Kingi Yule jamaa aliyebeba bango, wenyewe wameandamana huku kwenye keyboard.Yametimia
keyboarding experience