CHADEMA wazungumze na Zitto na ACT

CHADEMA wazungumze na Zitto na ACT

Kwani fungu alilopokea la kuimaliza chadema limeshaisha?
Chadema wako kwenye siasa na yeye (furushi zzk) yupo kwenye ajira ya utumwa
 
Unachokishauri sasa ni sawa na kukunja ngumi wakati ugomvi umeisha. CHADEMA ilishafanya majaribio kadhaa ya kuzungumza na huyo jamaa, badobjamaa akawa haaambiliki , ikafikia hatua wakaatumia busara zaidi kwa kuliondoa suala lake kujadiliwa ndani ya vikao na kumkabidhi kwa Prof. Baregu na mama wa huyo jamaa, busara hii nayo ikashindwa.
Sasa unaposhauri sijui CHADEMA ifanye , sijui utakua unaongelea suluhu ipi mkuu!? Siju kipi kingine ambacho haijafanya!!
 
Soma vizuri sijasema atamuweka mtu ashinde
nimesema kura za upinzani zinaweza kupungua jimbo likapotea
kurudi CCM.....

Nimeisoma thread yako vizuri na kufuatilia majibu yako kwa wachangiaji, ila nimegundua utetezi ile ile, kujaribu kuonyesha kana kwamba tha guy is such powerful zaidi ya taasisi.

Anyway, ninacho amini, Zitto hana nafasi ya kunegotiate na CDM tena. Kama ilishindikana enzi zile anaonywa na wazee wa chama, haiwezekani kwa sasa.

Let the guy continue with his fledgling party, na CDM waendelee na business zao, tukutane kwa debe come octobet!
 
Hapo ndo utajua kuwa ACT iliratibiwa na CCM, maana
Wanajitahidi kutumia vijana wao kuanzisha mijadara. Kama Hii
Ili kupima upepo Kabla hawajaanza kumtuma Tena Yuda.

Nasema hivi, siku hata kama nikisikia tu tetesi
Ya Ukawa kutaka majadiriano na Yuda nachoma
Moto card yangu ya chama
 
kama act ipo kwa ajili ya vyama pinzani na si chama tawala hii maana yake nn sasa? act wajipange
 
Naam ni makosa makubwa sana kumpa nafasi ya pili msaliti ambaye alikuwa na nafasi chungu nzima ya kutubu makosa yake na kuahidi kujirekebisha kwa faida yake yeye mwenyewe kama mwanachama na kiongozi wa CHADEMA, lakini hakufanya hivyo. Alikuwa radhi kuja hapa December, 2012 kuanzisha uzi wa kuomba radhi kwa wanachama wa CHADEMA kwa matendo yake ndani ya chama ambayo hakuyaweka wazi ni matendo gani aliyokuwa anayaombea radhi lakini akashindwa kukaa na viongozi wenzie wa juu ndani ya CHADEMA kuwaomba radhi ili kufungua ukurasa mpya na kurudisha mshimakano ambao ulikuwa umelega lega. Itakuwa makosa makubwa kwa CHADEMA/UKAWA kumkaribisha huyu jamaa ndani ya muungano huu ambao alishtamka hadharani na kuandika pia mtandaoni kwamba ni genge la wasaka tonge.

Hapo ndo utajua kuwa ACT iliratibiwa na CCM, maana
Wanajitahidi kutumia vijana wao kuanzisha mijadara. Kama Hii
Ili kupima upepo Kabla hawajaanza kumtuma Tena Yuda.

Nasema hivi, siku hata kama nikisikia tu tetesi
Ya Ukawa kutaka majadiriano na Yuda nachoma
Moto card yangu ya chama
 
Hapo ndo utajua kuwa ACT iliratibiwa na CCM, maana
Wanajitahidi kutumia vijana wao kuanzisha mijadara. Kama Hii
Ili kupima upepo Kabla hawajaanza kumtuma Tena Yuda.

Nasema hivi, siku hata kama nikisikia tu tetesi
Ya Ukawa kutaka majadiriano na Yuda nachoma
Moto card yangu ya chama
 
Mimi nadhani tuwaachie watanzania ndiyo watakaoamua siyo baadae tuanze lawama kuwa ACT - Wazalendo wamegawa kura.
 
Kwa kukumbusha tu...
6 Januari said:
Waziri Steven Wassira amewaacha hoi Waandishi wa Habari baada ya kusisitiza tena kuwa CHADEMA itakufa Baada ya Pasaka! Mhe. Steven Wassira ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bunda huko Mara amesema hivyo leo asubuhi majira ya saa mbili asubuhi alipokuwa akihojiwa juu masuala kadha wa kadha ya Kitaifa. Pamoja na mambo mengine, Waziri Wassira ametetea kauli yake aliyoitoa mwaka jana kuhusu kifo cha CHADEMA kabla ya January 2014 mwaka jana na kudai kuna makosa yalijitokeza lakini akatamka "Safari hii Chadema haitafika Pasaka, subirini mtaona...".
Kufa kufaana? Kisa cha fisi na mkono wa binadamu...!
 
Mkuu angalau wewe umeona kitu ambacho watu wa CHADEMA hawataki kuona
kama Zitto anawahitaji UKAWA now kuliko wao wanavyomuhitaji basi ndio wakati wa kuzungumza nae
kumpa masharti ya kushirikiana....wasisubiri ifike siku wao UKAWA wakawa wanamuhitaji Zitto

kilichopo hapa ni 'assumptions' tu kwamba Zitto atamalizika kisiasa....
what if hii assumptions ni very wrong?
what if akiweza kupata viti viwili vitatu na CHADEMA wakapoteza watu muhimu kama Lissu?
kutazama future kwa mahaba na vyama sio sahihi....

Mkuu
Unatumia nguvu nyingi sana kumuombea Zitto nafasi UKAWA.
Sijajua kama umetumwa au ni kutoka moyoni mwako.
 
Mkuu kuna vitu unapaswa kuviweka maanani pia
Zitto kama binadamu ana makosa yake....na ni binadamu mwenye emotions pia
anaamini sana kuwa ana mchango mkubwa kwa 'kukua kwa CHADEMA'
na yeye anaamini CHADEMA 'wamemsaliti' kwa hiyo kuwa na hasira nao kibinaadamu ni very obvious
kuhusu kuungwa mkono na CCM.....Zitto anaweza kuamini kuwa 'anawatumia' CCM to his advantages
ndo maana nasema in politics hakuna 'black or white' kuna so many colors

Zitto anakulipa kiasi gani The Boss ?
 
Last edited by a moderator:
Mafisi kwa akili yao finyu wanadhani mkono wa fisi utaanguka wakati wowote ili wafanye karamu ya kuushambulia kama mlo wao, ila hawajui kwamba mkono wa binadamu hautaanguka hivyo wataendelea kusubiri sana.

Kwa kukumbusha tu...

Kufa kufaana? Kisa cha fisi na mkono wa binadamu...!
 
MOTOCHINI &@The Boss mkae mkijua MaCCM wameninginiza kaloti ZZK na ACT yake ili UKAWA waimeze kujimaliza!!
Walijaribu tokea ndani ZZK akatemwa, wametegeshea kwa nje
UKAWA msijaribu sumu inauwa, Zito ni sumu kazi kwisha!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu utaona sijasema akaribishwe moja kwa moja UKAWA
nimesema tu CHADEMA waanze kuzungumza nae...labda anataka majimbo mawili tu au matatu
aachiwe na UKAWA au jimbo lake tu moja....na wao wana UKAWA in return wanaweza kumpa masharti
labda ACT wasisimamishe mgombea kwa Lissu na Mdee....na hapo labda ukawa 'mwanzo mpya'

Wanasema in Politics there are no permanent enemies nor permanent friends....

Hivi ACT ni threat kwa LIssu na Mdee kwa akili yako ?
Unaposema labda anataka majimbo mawili au matatu una maana kuwa Zitto ni Mroho wa Madaraka na hivho ndio anataka kupitia UKAWA.
I told you.one day The Boss, your problem is that you Speculate everything,wewe kila kitu kwako ni kudhani kudhan kudhani.
Kama hii ndio think tank ya Zitto basi kazi ipo
 
Last edited by a moderator:
ACT-Wazalendo imeundwa kwa misingi ya kuwa anti-Chadema. Sasa utawashirikishaje kwenye UKAWA ambapo Chadema ndicho chama kikuu? Kajipange upya.
Umetumwa na zzk?kamwambie kuwa hatakiwi hata kuonekana kabisa msaliti huyo
.
 
Wanaojua historia ya OAU na Morocco na mgogoro wa Sahara Magharibi watakumbuka alichowaambia Nyerere viongozi wenzie wa OAU wakati ule.

Nchi ya Morocco ilikuwa inakataa kila maazimio ya OAU ikisisitiza Sahara Magharibi ni ardhi yake Viongozi wengi wakasema dawa ni kuifukuza Morocco OAU.

Nyerere alipinga na hoja kubwa ilikuwa ukishaifukuza Morocco then what? utawezaje kuidhibiti wakati
sio member wako tena?si unaipa uhuru wa kufanya lolote? nguvu ya kidhibiti Morocco ni only kama Morocco ni member wa OAU...otherwise akishakuwa sio member hatalazimika tena kuisikiliza OAU.Viongozi hawakusikia the rest is history..mgogoro haujaisha hadi leo..

Ni kama ile hadithi ya mtoto anaekojoa sebuleni halafu unamfukuza anaenda kusimama nje anakojoa mkojo akitokea nje kupitia dirishani unaingia sebuleni tena...hujafanya kitu labda uongee na huyo mtoto ujue analilia nini labda kuna pipi tu karibu akipewa its done...

Kuelekea Uchaguzi 2015 CHADEMA now ndio chama cha upinzani chenye nguvu kuna UKAWA ambapo CHADEMA ndio wenye nguvu zaidi na sauti zaidi...Sasa ingawa CHADEMA wanashikilia msimamo wao ambao ni very 'radical' wa kutoongea na Zitto na kuwaita
ACT 'wasaliti' ukweli ni kwamba njia rahisi ya kuidhibiti ACT ni kuongea nao na kujua hasa 'wanataka nini' na kuwapa masharti ya kujiunga na UKAWA na vinginevyo ACT wanaweza kabisa 'kukojoa kutokea dirishani' na the rest ikawa historia.

ACT ikiwa ndani ya UKAWA ..CHADEMA watakuwa na uhakika wa baadhi ya viti vya ubunge watu kama Tundu Lissu,Mbowe na Halima Mdee watapata 'nafuu' ya kupambana na CCM only kuikataa ACT ni kuwaruhusu ACT waweke wagombea wao wa ubunge kwa Lissu,Mdee,Mbowe na wote wengine

sio lazima hao wagombea washinde..lakini wanaweza kugawa kura...the rest will be history.

Najua wapo watu ndani ya CHADEMA wana obsession ya kummaliza Zitto....tatizo ni kwamba 'no one knows the future' .....watu wenye akili hukubali ku negotiate when they have power and are strong watu wajinga huenda ku negotiate wakiwa wameshashindwa au kujeruhiwa.

CHADEMA now they have power....wasisubiri kujeruhiwa.

Umetumwa na zzk?
 
Ni kama unasema hadi Zitto apate nguvu ya kuijeruhi na kuiumiza CHADEMA ndo wakae nae kujadili
kama CHADEMA wanaamini Zitto is out to destroy CHADEMA that is a more reason to negotiate with him..
Zitto sio stupid anauwezo wa ku reason....ACT haiwezi moja kwa moja kuwa as big as CHADEMA overnight
it will take time...now kwa sasa watafute 'suluhu' ili wapeane space badala ya kutumia nguvu kubwa kujeruhiana...

Zzk hana nafasi kwa cdm kwani maneno machafu anayoiongelea cdm yanatosha kuwa ni ukuta wa kumzuia hasikanyage tena cdm
 
......hate him but he is no fool....akiamua kuijeruhi CHADEMA anaweza...
mkuu The Boss unataka zitto aijerui cdm mara ngapi ndio ulizike..
kumewema karibu tena ni kutaka aiue kabisa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom