MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,088
- 35,430
Zitto kama chuki na Mbowe ni shauri lake, lakini CHADEMA sio Mbowe wakati ACT ni Zitto. Ina maana bila Zitto ACT hamna lolote kwa sasa hivi, ila bila Mbowe CHADEMA ipo na itaendelea kuwepo. CDM sio chama cha msimu kama ACT. Usaliti wa Zitto hauna ubishi.[/QUOTE yero hayo maneno yako umeyaongea upo sawa! mbowe ndie kilakitu chadema yeye ndie mungu mtu wa cdm, naujue kelele zenu zote kwa ztt ni kupitia mbowe, mbowe ndie chanzo cha yote jua ACT haina mwaka lakin leo kila mkutano wa cdm lazima waizungumzie ACT
Last edited by a moderator: