SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,613
- 7,902
Mkuu with due respect! Lakini haya unayoyasema yangekuwa ni kweli, sifikirii CDM ingalikuwa ilipo sasa hivi. Na kwa kweli maoni yako yanafanana sana na washabiki wengi wa ZZK na hata ZZK mwenyewe......kujiona yeye ni zaidi ya chama(rejea ushauri alioutoa The Boss kwa ZZK na Jerry Muro).Mkuu The Boss, ili kuweza kufanya kitu kinachomake sense, kwanza, ni hao wahusika wawe na uwezo 'ability' to see that sense!, ndipo then wafanye maamuzi yanayomake that sense!, hao wenye uwezo wa kuona hiyo sense huko Chadema wapo?!. I don't think!.
Pasco.
Huwezi kujenga taasisi(institution) ukiwa na watu wa sampuli hiyo. Na kwa hili I can bet my last coin, ACT haitakaa kuwa taasisi chini ya ZZK (na genge lake). CDM inaweza kuendelea vizuri maana kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kujipanga katika muelekeo wa kitaasisi (bila ya shaka nao bado wana kazi kubwa ya kufanya) kuliko vyama vingine ukiacha CCM.
Last edited by a moderator: