CHADEMA wazungumze na Zitto na ACT

CHADEMA wazungumze na Zitto na ACT

Hata Makaburu walizungumza na ANC licha ya kuwafunga na kuwaua
kuzungumza sio lazima mkubaliane...CHADEMA wanaweza kutoa 'masharti' ya kuikubali ACT ndani ya UKAWA
ikabaki kazi ya ACT kukubali au kukataa masharti
Unazungumzia context mbili to facts...

Zitto ni kirusi, chadema should avoid him kabisa... Ni dalali wa watawala
 
"Taifa limevimba. Wakulima Mahindi yanawaozea na Mpunga bei imeporomoka sababu ya mchele kutoka nje na usiolipiwa Kodi. Wahisani wamezuia misaada ( sababu ya kashfa ya #TegetaEscrow ) Kiasi Serikali haiwezi hata kujiendesha. Unapoona wanasiasa wanagawana vyeo katika nyakati kama hizi ujue Taifa halina Viongozi bali wasaka utawala. Wasaka utawala badala ya uongozi ni #WasakaTonge tu"

attachment.php
 
No, sijasema kuwa Chadema wazungumze na Zitto tu pale atakapokuwa na nguvu za kuijeruhi na kuimaliza Chadema. Tayari Zitto anaamini kuwa hizo nguvu anazo. Ninachosema ni kwamba Chadema isonge mbele without Zitto. Namfananisha Zitto na Zuberi Mtemvu 1959 alipojitoa TANU kwa kutokukubaliana na sera za TANU kuhusu uraia wa Tanganyika na kuanzisha chama chake cha Congress. Katika uchaguzi uliofuata TANU ilifunika na Mtemvu akawa history. The same fate awaits Zitto and his party.

Kuna kitu naona unakisahau
Enzi za TANU na Mtevu angala chaguzi zilikuwa fair..
enzi hizi chaguzi zina 'all dirty tricks'

Mtemvu hakuwahikushinda lolote before,Zitto kashinda twice uchaguzi
enzi hizi zenye 'all dirty tricks' na kashiriki mipango mingi ya CHADEMA iliyopelekea CHADEMA kushinda
majimbo......hate him but he is no fool....akiamua kuijeruhi CHADEMA anaweza...kuzungumza nae
kunaweza saidia sana tu.....hasa kama atapata 'a little respect' from CHADEMA...nafikiri
ni Abraham Lincoln aliwahi sema 'i destroy my enemies by making them my friends'
 
Mkuu The Boss, hii ni kitu inayoitwa busara za hali ya juu!, it is very unfortunately, Chadema haina watu wenye busara za level hii, wengi wao wanatawaliwa na chuki dhidi ya Zitto, hawataki kuchukua 'tahadhari yoyote kabla ya hatari', bali wako tayari kwa 'majuto ni mjukuu!'. Maadam umesema kuhusu wenye akili wanafanya nini na wajinga watafanya nini, sisi tukiwaita watu ni wajinga humu, tutashutumiwa tunawatukana!, nasisitiza Watanzania kama hawako tayari kuwaingiza 'wajinga' kwenye ikulu yao!.

Kuliko kuingia ikulu na ujinga wao, bora wakae na ujinga wao huko huko, mpaka watakapo pata akili ndipo tuwakabidhi ikulu yetu!.

Pasco
Pasco,
Wewe msimamo wako unajulikana. Hakuna sababu za kukujibu hapa.
 
Kwani yeye wakati ana anzisha ACT akiwa CHADEMA hakuona CUF, NCCR MAGEUZI, CCM, ADC, nk akajiunge nao?

Waongee nae nini? Kaharibu nn CHADEMA?

Mtu kakabwa koo hana pakupumlia! Muache Afe!

Watu wengine mna Myopic thinking sana!
 
Kuna kitu naona unakisahau
Enzi za TANU na Mtevu angala chaguzi zilikuwa fair..
enzi hizi chaguzi zina 'all dirty tricks'

Mtemvu hakuwahikushinda lolote before,Zitto kashinda twice uchaguzi
enzi hizi zenye 'all dirty tricks' na kashiriki mipango mingi ya CHADEMA iliyopelekea CHADEMA kushinda
majimbo......hate him but he is no fool....akiamua kuijeruhi CHADEMA anaweza...kuzungumza nae
kunaweza saidia sana tu.....hasa kama atapata 'a little respect' from CHADEMA...nafikiri
ni Abraham Lincoln aliwahi sema 'i destroy my enemies by making them my friends'
Usisahau Mtemvu alikuwa Secretary General wa TANU. Angegombea 1959 kwa tiketi ya TANU bila shaka angeshinda.
Afadhali tuhimili majeruhi ya Zitto dhidi ya Chadema kuliko kumrudisha katika ushirikiano. It is that open.
 
Unazungumzia context mbili to facts...

Zitto ni kirusi, chadema should avoid him kabisa... Ni dalali wa watawala


Sio kila 'anaeshirikiana na watawala' ni 'adui ' 'msaliti' na 'kirusi'

Raila Odinga alifungwa na Moi kwa kudai demokrasia miaka tisa jela

Vyama viliporuhusiwa akaanzisha chake.....Moi akamshawishi ajiunge KANU
akajiunga KANU na akawa katibu mkuu wa KANU....walipopishana na MOI 'some principles'
za 'demokrasia' akatoka KANU akaunda Upinzani na wengine wakamteua Kibaki wakamuingiza Ikulu
akapishana tena na Kibaki akatoka na kuunda ODM akaja kuwa PM chini ya Kibaki from Opposition

Politics sio black and white......kuna so many colors......
 
Tayari Zitto anaamini kuwa hizo nguvu anazo. Ninachosema ni kwamba Chadema isonge mbele without Zitto.
Mkuu Jasusi, suala Zitto kuamini kuwa anazo, watu wenye uwezo wa kufuatilia 'the anatomy of individual powers', Chadema haina mtu yoyote as powerful as Zitto!, hivyo Zitto kuwa na powers hizo sio suala la kuamini anazo, bali nguvu hizo anazo na zinaokena wazi kwa macho tuu!. Hapo kamwe sijamsikia Zitto akisema jambo lolote against Chadema!, by nature ya position yake ya NKM, lazima ana hold weapons of mass destruction ya Chadema ambazo ameziweka akiba 'saving the best for the last', hivyo tusibiri mshuhudie 2015 ikulu ni CCM tena!.
UKAWA wakishindwa kuingia ikulu kutokana na kugawana kura na ACT, tutawazomea kwa kushindwa kuingia ikulu kwa ujinga wao!. Kwa mnaojua hostilities kati ya CUF na Chadema ile 2010 halafu leo wameweza kukaa meza moja kujadiliana kuachiana majimbo, haya ya ACT ni madogo tuu!. Ukiangalia jinsi Kafulila alivyotimuliwa Chadema hadi kuitwa sisimizi, leo ndio Kafulila huyo huyo anaachiwa jimbo na Chadema, what is ACT compared?!.

Mimi naendelea kusisitiza, kuliko kuingiza wajinga ikulu yetu, ni bora hao wajinga wabaki na ujinga wao huko huko, mpaka watakapoacha ujinga wao, ndipo tuwakabidhi ikulu yetu!.
Pasco
 
Usisahau Mtemvu alikuwa Secretary General wa TANU. Angegombea 1959 kwa tiketi ya TANU bila shaka angeshinda.
Afadhali tuhimili majeruhi ya Zitto dhidi ya Chadema kuliko kumrudisha katika ushirikiano. It is that open.


TANU walikuwa na mtu anaitwa Julius K Nyerere....
CHADEMA wana mtu level ya Nyerere now?
Ukweli ni kwamba hatujui ni kiasi gani Zitto atamalizika after uchaguzi au kiasi gani
ataijeruhi CHADEMA after uchaguzi......mazungumzo ya kuepusha 'possibility ya kujeruhiwa' now
yana make sense....
 
Ina maana mtoa mada unawapenda sana UKAWA na ili wawe na nguvu zaidi ni' busara' wamkaribishe ACT! CCM kazini ..
 
Wacha abaki huko nje.
Ukitaka kukojoa kupitia dirishani,mkojo utamrudia na kumlowanisha yeye mwenyewe.
Ulevi umeua misuli ya njia ya mkojo,CHADEMA hawana haja ya kumwogopa mlevi kama huyu
 
Mazungumzo bila ya shaka ni wazo zuri lakini....

Unaweza kuongea na mtu anayeweza "kusikia". Sasa ameshindwa "kusikia" akiwa mwanachama na kiongozi wa CDM ndio atasikia akiwa "kiongozi mkuu" (yeye sio mwenyekiti kama Mbowe, Lipumba na Mbatia!, ni 'zaidi' yao) wa ACT?

ZZK ni mpiga zumari.........! Unless kama unataka kushauri kuwa UKAWA au CDM wapandishe dau kuzidi la CCM!:confused2:
 
Huu ushauri umetolewa na professor tena wa strategy!!
Wafuata upepo wengi watamdhihaki mtoa mada lakini ninauhakika hawatatoa hoja za kupinga ushauri tena kwa facts as he did
 
TANU walikuwa na mtu anaitwa Julius K Nyerere....
CHADEMA wana mtu level ya Nyerere now?
Ukweli ni kwamba hatujui ni kiasi gani Zitto atamalizika after uchaguzi au kiasi gani
ataijeruhi CHADEMA after uchaguzi......mazungumzo ya kuepusha 'possibility ya kujeruhiwa' now
yana make sense....
Mkuu The Boss, ili kuweza kufanya kitu kinachomake sense, kwanza, ni hao wahusika wawe na uwezo 'ability' to see that sense!, ndipo then wafanye maamuzi yanayomake that sense!, hao wenye uwezo wa kuona hiyo sense huko Chadema wapo?!. I don't think!.

Pasco.
 
Wanaojua historia ya OAU na Morocco na mgogoro wa Sahara Magharibi watakumbuka alichowaambia Nyerere viongozi wenzie wa OAU wakati ule.

Nchi ya Morocco ilikuwa inakataa kila maazimio ya OAU ikisisitiza Sahara Magharibi ni ardhi yake Viongozi wengi wakasema dawa ni kuifukuza Morocco OAU.

Nyerere alipinga na hoja kubwa ilikuwa ukishaifukuza Morocco then what? utawezaje kuidhibiti wakati
sio member wako tena?si unaipa uhuru wa kufanya lolote? nguvu ya kidhibiti Morocco ni only kama Morocco ni member wa OAU...otherwise akishakuwa sio member hatalazimika tena kuisikiliza OAU.Viongozi hawakusikia the rest is history..mgogoro haujaisha hadi leo..

Ni kama ile hadithi ya mtoto anaekojoa sebuleni halafu unamfukuza anaenda kusimama nje anakojoa mkojo akitokea nje kupitia dirishani unaingia sebuleni tena...hujafanya kitu labda uongee na huyo mtoto ujue analilia nini labda kuna pipi tu karibu akipewa its done...

Kuelekea Uchaguzi 2015 CHADEMA now ndio chama cha upinzani chenye nguvu kuna UKAWA ambapo CHADEMA ndio wenye nguvu zaidi na sauti zaidi...Sasa ingawa CHADEMA wanashikilia msimamo wao ambao ni very 'radical' wa kutoongea na Zitto na kuwaita
ACT 'wasaliti' ukweli ni kwamba njia rahisi ya kuidhibiti ACT ni kuongea nao na kujua hasa 'wanataka nini' na kuwapa masharti ya kujiunga na UKAWA na vinginevyo ACT wanaweza kabisa 'kukojoa kutokea dirishani' na the rest ikawa historia.

ACT ikiwa ndani ya UKAWA ..CHADEMA watakuwa na uhakika wa baadhi ya viti vya ubunge watu kama Tundu Lissu,Mbowe na Halima Mdee watapata 'nafuu' ya kupambana na CCM only kuikataa ACT ni kuwaruhusu ACT waweke wagombea wao wa ubunge kwa Lissu,Mdee,Mbowe na wote wengine

sio lazima hao wagombea washinde..lakini wanaweza kugawa kura...the rest will be history.

Najua wapo watu ndani ya CHADEMA wana obsession ya kummaliza Zitto....tatizo ni kwamba 'no one knows the future' .....watu wenye akili hukubali ku negotiate when they have power and are strong watu wajinga huenda ku negotiate wakiwa wameshashindwa au kujeruhiwa.

CHADEMA now they have power....wasisubiri kujeruhiwa.[/QUOTE

Kuzungumza na mchepuka wa CCM! dalili zote za kuwa mchepuko wa ccm ni wazi!!
 
Pasco,
Wewe msimamo wako unajulikana. Hakuna sababu za kukujibu hapa.
Asante na muda ukifika nitakukumbusha!, kitu kizuri kuhusu misimamo yangu ni kusimama kweli kweli moja tuu na siku zote ukweli ndio utasimama!.

Pasco
 
Mazungumzo bila ya shaka ni wazo zuri lakini....

Unaweza kuongea na mtu anayeweza "kusikia". Sasa ameshindwa "kusikia" akiwa mwanachama na kiongozi wa CDM ndio atasikia akiwa "kiongozi mkuu" (yeye sio mwenyekiti kama Mbowe, Lipumba na Mbatia!, ni 'zaidi' yao) wa ACT?

ZZK ni mpiga zumari.........! Unless kama unataka kushauri kuwa UKAWA au CDM wapandishe dau kuzidi la CCM!:confused2:

Wapo watu huwa 'hawasikii' ili mradi wako 'upande' wa 'kutakiwa kusikia na kusikiliza'
wakiwa upande wa wao pia kuzungumza na wengine kusikia..na wao wanasikiliza...
kum treat Zitto kama 'mwana CHADEMA' aliefukuzwa wakati sasa ni Kiongozi wa chama kimoja cha upinzani
ni makosa........Nakupa mfano...Timu ya mpira kama Barcelona inachukua watoto masikini kama kina Messi
ina wa train na kuwapa kila kitu hadi wanakuwa 'masuper star' wakubwa
wakishakuwa wakubwa 'hawaitwi wasaliti' wakihama timu kutafuta maslahi makubwa zaidi
au hawaambiwi chezeni bure sabababu tuliwalea na kuwatoa vijijini huko kwenye umasikini
wanawasikiliza wakiwa in their new status......big famous players...

Ni kweli huko nyuma Zitto was nothin without CHADEMA.....but times has changed
na hakuna anaejua ataidhuru vipi CHADEMA...why take the risks?
 
Wanaojua historia ya OAU na Morocco na mgogoro wa Sahara Magharibi watakumbuka alichowaambia Nyerere viongozi wenzie wa OAU wakati ule.

Nchi ya Morocco ilikuwa inakataa kila maazimio ya OAU ikisisitiza Sahara Magharibi ni ardhi yake Viongozi wengi wakasema dawa ni kuifukuza Morocco OAU.

Nyerere alipinga na hoja kubwa ilikuwa ukishaifukuza Morocco then what? utawezaje kuidhibiti wakati
sio member wako tena?si unaipa uhuru wa kufanya lolote? nguvu ya kidhibiti Morocco ni only kama Morocco ni member wa OAU...otherwise akishakuwa sio member hatalazimika tena kuisikiliza OAU.Viongozi hawakusikia the rest is history..mgogoro haujaisha hadi leo..

Ni kama ile hadithi ya mtoto anaekojoa sebuleni halafu unamfukuza anaenda kusimama nje anakojoa mkojo akitokea nje kupitia dirishani unaingia sebuleni tena...hujafanya kitu labda uongee na huyo mtoto ujue analilia nini labda kuna pipi tu karibu akipewa its done...

Kuelekea Uchaguzi 2015 CHADEMA now ndio chama cha upinzani chenye nguvu kuna UKAWA ambapo CHADEMA ndio wenye nguvu zaidi na sauti zaidi...Sasa ingawa CHADEMA wanashikilia msimamo wao ambao ni very 'radical' wa kutoongea na Zitto na kuwaita
ACT 'wasaliti' ukweli ni kwamba njia rahisi ya kuidhibiti ACT ni kuongea nao na kujua hasa 'wanataka nini' na kuwapa masharti ya kujiunga na UKAWA na vinginevyo ACT wanaweza kabisa 'kukojoa kutokea dirishani' na the rest ikawa historia.

ACT ikiwa ndani ya UKAWA ..CHADEMA watakuwa na uhakika wa baadhi ya viti vya ubunge watu kama Tundu Lissu,Mbowe na Halima Mdee watapata 'nafuu' ya kupambana na CCM only kuikataa ACT ni kuwaruhusu ACT waweke wagombea wao wa ubunge kwa Lissu,Mdee,Mbowe na wote wengine

sio lazima hao wagombea washinde..lakini wanaweza kugawa kura...the rest will be history.

Najua wapo watu ndani ya CHADEMA wana obsession ya kummaliza Zitto....tatizo ni kwamba 'no one knows the future' .....watu wenye akili hukubali ku negotiate when they have power and are strong watu wajinga huenda ku negotiate wakiwa wameshashindwa au kujeruhiwa.

CHADEMA now they have power....wasisubiri kujeruhiwa.

Naamini sijawahi kutofautiana na wewe mawazo,but kwa hili nitatofautiana na wewe kwa sababu kadhaa.
1.Mikutano yote ya ACT ilikuwa ikiratibiwa kwa karibu na makada wa CCM,hilo liko wazi na tumelishuhudia.
2.ACT imejipambanua kwamba adui yake mkubwa ni CHADEMA,kwa kauli za viongozi wake na ushahidi upo,.
3.Wanaomtetea Zitto kwa nguvu zote baada ya kuvuliwa uanachama ni makada wa CCM.:what:

Na sababu zingine kibao zipo ambazo zinaonyesha dhahiri kwamba yupo kwa ajili ya kuuvunja upinzani,na katika mikutano yake sijawahi kusikia kavuna wanachama toka CCM bali toka chadema na hata slogan yao ni "vua gwanda vaa uzalendo"ni kweli hakuna adui wa siasa wa muda wote ila kwa sasa ACT hatupaswi kumkaribisha ndani ya ukawa hasa kipindi hiki tunachoelekea kwenye uchaguzi.
 
Wao wanaamin chukiza mbowe zitawaweka pazuri, chuki za watu wawili hazitakiwi kuwa chuki za CDM na ACT, nakama wanadhan hilo nijema wasubiri watajua usaliti wa zitto ni wakughush au la
 
Back
Top Bottom