Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Kuongea na ACT ni kama kuongea na CCM ili wawachie baadhi ya wizara katika serekali yao,kitu ambacho hakiwezekani.
Kwa kuwa ACT wamejionyesha wazi kabisa kuwa wako kwa ajili ya kupambana na wapinzani na hasa CHADEMA.
Ni bora wakaendelea kubaki kama jinsi walivyo,huku vyama vya upinzani vikiendelea kupambana na CCM na mfuasi wake ACT.
Kwa kuwa ACT wamejionyesha wazi kabisa kuwa wako kwa ajili ya kupambana na wapinzani na hasa CHADEMA.
Ni bora wakaendelea kubaki kama jinsi walivyo,huku vyama vya upinzani vikiendelea kupambana na CCM na mfuasi wake ACT.