Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
The boss uko vizuri bg up kwa logical argument
Mshakula posho ya zzk
The boss uko vizuri bg up kwa logical argument
Mkuu The Boss, ili kuweza kufanya kitu kinachomake sense, kwanza, ni hao wahusika wawe na uwezo 'ability' to see that sense!, ndipo then wafanye maamuzi yanayomake that sense!, hao wenye uwezo wa kuona hiyo sense huko Chadema wapo?!. I don't think!.
Pasco.
Mkuu The Boss, hii ni kitu inayoitwa busara za hali ya juu!, it is very unfortunately, Chadema haina watu wenye busara za level hii, wengi wao wanatawaliwa na chuki dhidi ya Zitto, hawataki kuchukua 'tahadhari yoyote kabla ya hatari', bali wako tayari kwa 'majuto ni mjukuu!'. Maadam umesema kuhusu wenye akili wanafanya nini na wajinga watafanya nini, sisi tukiwaita watu ni wajinga humu, tutashutumiwa tunawatukana!, nasisitiza Watanzania kama hawako tayari kuwaingiza 'wajinga' kwenye ikulu yao!.
Kuliko kuingia ikulu na ujinga wao, bora wakae na ujinga wao huko huko, mpaka watakapo pata akili ndipo tuwakabidhi ikulu yetu!.
Pasco
Mkuu angalau wewe umeona kitu ambacho watu wa CHADEMA hawataki kuona
kama Zitto anawahitaji UKAWA now kuliko wao wanavyomuhitaji basi ndio wakati wa kuzungumza nae
kumpa masharti ya kushirikiana....wasisubiri ifike siku wao UKAWA wakawa wanamuhitaji Zitto
kilichopo hapa ni 'assumptions' tu kwamba Zitto atamalizika kisiasa....
what if hii assumptions ni very wrong?
what if akiweza kupata viti viwili vitatu na CHADEMA wakapoteza watu muhimu kama Lissu?
kutazama future kwa mahaba na vyama sio sahihi....
Who is Zito after all!Pointless.
we mkuu unajifanya unajua sana then kibaya unadharau sana
Soma vizuri sijasema atamuweka mtu ashinde
nimesema kura za upinzani zinaweza kupungua jimbo likapotea
kurudi CCM.....
Mkuu The Boss yaani nimekudharau kabisa unaposema eti Zitto anaweza weka mtu jimboni kwa Lissu eti akamshinda Lissu....dude what are u drinking?
Yaani kwa utashi wako unaona kuna mtu yeyote,narudia yeyote,anaeweza kuchukua jimbo la Lissu Tanzania ya leo hii??Stop smoking man!
Wanaojua historia ya OAU na Morocco na mgogoro wa Sahara Magharibi watakumbuka alichowaambia Nyerere viongozi wenzie wa OAU wakati ule.
Nchi ya Morocco ilikuwa inakataa kila maazimio ya OAU ikisisitiza Sahara Magharibi ni ardhi yake Viongozi wengi wakasema dawa ni kuifukuza Morocco OAU.
Nyerere alipinga na hoja kubwa ilikuwa ukishaifukuza Morocco then what? utawezaje kuidhibiti wakati
sio member wako tena?si unaipa uhuru wa kufanya lolote? nguvu ya kidhibiti Morocco ni only kama Morocco ni member wa OAU...otherwise akishakuwa sio member hatalazimika tena kuisikiliza OAU.Viongozi hawakusikia the rest is history..mgogoro haujaisha hadi leo..
Ni kama ile hadithi ya mtoto anaekojoa sebuleni halafu unamfukuza anaenda kusimama nje anakojoa mkojo akitokea nje kupitia dirishani unaingia sebuleni tena...hujafanya kitu labda uongee na huyo mtoto ujue analilia nini labda kuna pipi tu karibu akipewa its done...
Kuelekea Uchaguzi 2015 CHADEMA now ndio chama cha upinzani chenye nguvu kuna UKAWA ambapo CHADEMA ndio wenye nguvu zaidi na sauti zaidi...Sasa ingawa CHADEMA wanashikilia msimamo wao ambao ni very 'radical' wa kutoongea na Zitto na kuwaita
ACT 'wasaliti' ukweli ni kwamba njia rahisi ya kuidhibiti ACT ni kuongea nao na kujua hasa 'wanataka nini' na kuwapa masharti ya kujiunga na UKAWA na vinginevyo ACT wanaweza kabisa 'kukojoa kutokea dirishani' na the rest ikawa historia.
ACT ikiwa ndani ya UKAWA ..CHADEMA watakuwa na uhakika wa baadhi ya viti vya ubunge watu kama Tundu Lissu,Mbowe na Halima Mdee watapata 'nafuu' ya kupambana na CCM only kuikataa ACT ni kuwaruhusu ACT waweke wagombea wao wa ubunge kwa Lissu,Mdee,Mbowe na wote wengine
sio lazima hao wagombea washinde..lakini wanaweza kugawa kura...the rest will be history.
Najua wapo watu ndani ya CHADEMA wana obsession ya kummaliza Zitto....tatizo ni kwamba 'no one knows the future' .....watu wenye akili hukubali ku negotiate when they have power and are strong watu wajinga huenda ku negotiate wakiwa wameshashindwa au kujeruhiwa.
CHADEMA now they have power....wasisubiri kujeruhiwa.
Wanaojua historia ya OAU na Morocco na mgogoro wa Sahara Magharibi watakumbuka alichowaambia Nyerere viongozi wenzie wa OAU wakati ule.
Nchi ya Morocco ilikuwa inakataa kila maazimio ya OAU ikisisitiza Sahara Magharibi ni ardhi yake Viongozi wengi wakasema dawa ni kuifukuza Morocco OAU.
Nyerere alipinga na hoja kubwa ilikuwa ukishaifukuza Morocco then what? utawezaje kuidhibiti wakati
sio member wako tena?si unaipa uhuru wa kufanya lolote? nguvu ya kidhibiti Morocco ni only kama Morocco ni member wa OAU...otherwise akishakuwa sio member hatalazimika tena kuisikiliza OAU.Viongozi hawakusikia the rest is history..mgogoro haujaisha hadi leo..
Ni kama ile hadithi ya mtoto anaekojoa sebuleni halafu unamfukuza anaenda kusimama nje anakojoa mkojo akitokea nje kupitia dirishani unaingia sebuleni tena...hujafanya kitu labda uongee na huyo mtoto ujue analilia nini labda kuna pipi tu karibu akipewa its done...
Kuelekea Uchaguzi 2015 CHADEMA now ndio chama cha upinzani chenye nguvu kuna UKAWA ambapo CHADEMA ndio wenye nguvu zaidi na sauti zaidi...Sasa ingawa CHADEMA wanashikilia msimamo wao ambao ni very 'radical' wa kutoongea na Zitto na kuwaita
ACT 'wasaliti' ukweli ni kwamba njia rahisi ya kuidhibiti ACT ni kuongea nao na kujua hasa 'wanataka nini' na kuwapa masharti ya kujiunga na UKAWA na vinginevyo ACT wanaweza kabisa 'kukojoa kutokea dirishani' na the rest ikawa historia.
ACT ikiwa ndani ya UKAWA ..CHADEMA watakuwa na uhakika wa baadhi ya viti vya ubunge watu kama Tundu Lissu,Mbowe na Halima Mdee watapata 'nafuu' ya kupambana na CCM only kuikataa ACT ni kuwaruhusu ACT waweke wagombea wao wa ubunge kwa Lissu,Mdee,Mbowe na wote wengine
sio lazima hao wagombea washinde..lakini wanaweza kugawa kura...the rest will be history.
Najua wapo watu ndani ya CHADEMA wana obsession ya kummaliza Zitto....tatizo ni kwamba 'no one knows the future' .....watu wenye akili hukubali ku negotiate when they have power and are strong watu wajinga huenda ku negotiate wakiwa wameshashindwa au kujeruhiwa.
CHADEMA now they have power....wasisubiri kujeruhiwa.
Cue matusi, kejeli, na upuuzi mwengine mwiiingi kutoka kwa watu wasiojua kujadili hoja.
Umeongea la maana, tuliwaambia CHADEMA wasimfukuze Zitto toka akiwa bado CDM hawakusikia. Sasa ni Kiongozi Mkuu wa ACT with free roam to do what he wants and we have already seen what he can do with just a few meetings. Entire CHADEMA leadership had to get out of the office to cool down whenever he passed. Zitto is an unstoppable political force, that needed cooler heads to handle. It's one of those situation, where you would not want a certain figure to be on the opposing side.
Similar way to Liverpool not willing to sell Sterling to Arsenal. They would rather have him rundown his contract and let him walk free.
CHADEMA should have kept Zitto in CDM and tolerate his rebellious nature and even learn a few things from that.But they did not. 2015 Elections will tell a very different story.let's all wait and see how that plays out
ZZK ana jeuri, labda aje CHADEMA apige magoti aombe msamaha, lakini pia katika dakika hizi za lala salama CHADEMA hawawezi kushirikiana nae. Tofauti na mnavyofikiri wanachama na wafuasi wengi wa CDM hawamuhitaji, yeye kashaanzisha safari yake kwa dharau kibao kwa CDM. Pengine ZZK ana influence lakini Jeshi la mtu mmoja haliwezi kuangusha Jeshi la Kubwa kama CDM. ZZK ana chuki binafsi na Mbowe, hawawezi kuwa sehem moja kwa sasa labda baadae sana. Tumia 'common sense' usitumie 'wisdow without intelligence'
Unachokishauri sasa ni sawa na kukunja ngumi wakati ugomvi umeisha. CHADEMA ilishafanya majaribio kadhaa ya kuzungumza na huyo jamaa, badobjamaa akawa haaambiliki , ikafikia hatua wakaatumia busara zaidi kwa kuliondoa duala lake nje vikao na kumkabidhi kwa Orif. Baregu na mama wa huyo jamaa, busara hii nayo ikashindwa.
Sasa unaposhauri sijui unashauri CHADEMA ifanye kipi kingine ambacho haijafanya!!
Mkuu The Boss, hii ni kitu inayoitwa busara za hali ya juu!, it is very unfortunately, Chadema haina watu wenye busara za level hii, wengi wao wanatawaliwa na chuki dhidi ya Zitto, hawataki kuchukua 'tahadhari yoyote kabla ya hatari', bali wako tayari kwa 'majuto ni mjukuu!'. Maadam umesema kuhusu wenye akili wanafanya nini na wajinga watafanya nini, sisi tukiwaita watu ni wajinga humu, tutashutumiwa tunawatukana!, nasisitiza Watanzania kama hawako tayari kuwaingiza 'wajinga' kwenye ikulu yao!.
Kuliko kuingia ikulu na ujinga wao, bora wakae na ujinga wao huko huko, mpaka watakapo pata akili ndipo tuwakabidhi ikulu yetu!.
Pasco
Ndugu hiyo dhana ya kufikiria kwa sasa haina nafasi, hapa tunaangalia wafuasi kwa hio wafuasi lazima waichague ukawa kwakuwa itakuwa mjumuiko na ACTMOTOCHINI &@The Boss mkae mkijua MaCCM wameninginiza kaloti ZZK na ACT yake ili UKAWA waimeze kujimaliza!!Walijaribu tokea ndani ZZK akatemwa, wametegeshea kwa njeUKAWA msijaribu sumu inauwa, Zito ni sumu kazi kwisha!!
Mkuu The Boss, hii ni kitu inayoitwa busara za hali ya juu!, it is very unfortunately, Chadema haina watu wenye busara za level hii, wengi wao wanatawaliwa na chuki dhidi ya Zitto, hawataki kuchukua 'tahadhari yoyote kabla ya hatari', bali wako tayari kwa 'majuto ni mjukuu!'. Maadam umesema kuhusu wenye akili wanafanya nini na wajinga watafanya nini, sisi tukiwaita watu ni wajinga humu, tutashutumiwa tunawatukana!, nasisitiza Watanzania kama hawako tayari kuwaingiza 'wajinga' kwenye ikulu yao!.
Kuliko kuingia ikulu na ujinga wao, bora wakae na ujinga wao huko huko, mpaka watakapo pata akili ndipo tuwakabidhi ikulu yetu!.
Pasco
Sasa kumbe umeona mwenyewe nshu ni uenyekiti, sasa je uenyekiti tatizo? haya kashaondoka cdm kwanin muendeleze chuki? mnataka haki kwann katibayenu haitambui mahakama inamaana cdm inaongozwa na miungumtu ambao hawatakuja kukosea?Mbowe sio kila kitu CDM, sio Kiongozi wa Chama mwenye mamlaka kama Zitto. Lakini pia CDM ilikuwa na wenyeviti kabla ya Mbowe, kwa sababu ilianza zamani. Kelele zote za Zitto ni baada ya kutochaguliwa kuwa Mwwnyekiti wa CDM, anapenda madaraka huyo jamaa. Watu wangapi wapo CDM vichwa lakini hawajaenda kuanzisha vyama vyao, ingekuwa hivyo tungekuwa na vyama vya siasa kama MIA. Kiukweli inaonekana hujasikia Afande Sele anavyoongelea CDM kwenye mikutano ya ACT