CHADEMA watoke Nje vikao vyote kupinga mjadala kutopelekwa Bungeni wa Mgomo wa madaktari

ikiwa katiba mpya wameweza hili la posho dogo mbona linashindikanika??? i mean CDM watoke njee ya ukumbi washinikize mfumo wa posho serikalini ufutwe.

Mimi nishaanza kuhisi CDM wanaongea kukataa posho huku wakijua kwa 100% posho zipo yaan wanaulaghai umma kuwa hawazitaki huku wakujihakikisha posho zitaendelea kuwepo

Kama CDM hawatashinikiza kisawasawa mwisho wa siku wanaonekana kama CUF a.k.a maslahi tumbo.
Asante sana Marytina!
Karibu tena kwenye jukwaa la siasa!
 
Sasa hiyo hotuba imekuja na solution zipii?..Dr Mponda acha kuchezea afya za watz,au kwakuwa wewe na wenzako mnatibiwa India?..ila 2015 sio mbali,mtapata picha kamili!

mh,2015 mbona mbali mwambieni doc wa ukweli afanye kama misri bana,maandamano yaanze
 
wasitoke bwana safari hii bora milango ifungwe zipigwe tuu, kukimbia matatizo ni upumbavu!

Hilo kuna mbunge ashawahi kupayuka bungeni kipindi cha nyuma nalo litaweza kuletea heshima
 
Yes; hii ndio silaha iliyobaki sasa; kama wamepinga Katiba wakaeleweka; kama wamepinga udhalimu mwingi wakaeleweka sasa muda ni huu; mjadala wa madaktari usipojadiliwa leo hii watoke ktk ukumbi kulazimisha jambo hilo; mimi nawasilisha

Msioipenda chadema.......mtaikataa chadema lakini ipo siku mtaikubali
 
Sasa hiyo hotuba imekuja na solution zipii?..Dr Mponda acha kuchezea afya za watz,au kwakuwa wewe na wenzako mnatibiwa India?..ila 2015 sio mbali,mtapata picha kamili!

Na baada yakuwang'oa madarakani tutawawajibisha wasifikiri hivi vifo vya ndugu zetu wakati huu wa mgomo wa madaktari labda tunaufurahia la hasha tunafikiria njia yakujakulipiza kwa njia yoyote ina na kipindi hicho watalia na kusaga meno
 
ikiwa katiba mpya wameweza hili la posho dogo mbona linashindikanika??? i mean CDM watoke njee ya ukumbi washinikize mfumo wa posho serikalini ufutwe.

Mimi nishaanza kuhisi CDM wanaongea kukataa posho huku wakijua kwa 100% posho zipo yaan wanaulaghai umma kuwa hawazitaki huku wakujihakikisha posho zitaendelea kuwepo

Kama CDM hawatashinikiza kisawasawa mwisho wa siku wanaonekana kama CUF a.k.a maslahi tumbo.

Una kiingereza kigumu mimi Maimuna sijakuelewa!
 
Suluhisho ni kuja kushtaki kwa wananchi

Wananchi wenyewe wanatuangusha kwani wakishadanganywa na kepu kanga tshirt na ubwabwa wanasahau matatizo yote ya nyuma na kuwapa kura labda wafanye kuwaamsha wananchi hasa walioko vijijini
 
magamba na spika wote wamekosa kujua kitu kinachoitwa demokrasia, yaani kitu kikiwa na upande moja lazima kiwe na upande wa pili, kama serikali imewakilisha kauli yao au msimamo wao ipo haja ya wengine nao kulezea au kujadili wanayo ona wao. ama sivyo waeeme hii serikali ya ya upande moja waache kufanya vikao tuokoe hizo 330,000.00
 
Umoja ni nguvu waTz tuungane kwa pamoja kukabiliana na hali hii mbaya inayowapoteza waTz kwa uzembe wa serikali ambayo inajiongezea posho huku hata kuwasikiliza madaktari ambao kwetu ni muhimu kuliko hata hawa wabunge
 
ikiwa katiba mpya wameweza hili la posho dogo mbona linashindikanika??? i mean CDM watoke njee ya ukumbi washinikize mfumo wa posho serikalini ufutwe.

Mimi nishaanza kuhisi CDM wanaongea kukataa posho huku wakijua kwa 100% posho zipo yaan wanaulaghai umma kuwa hawazitaki huku wakujihakikisha posho zitaendelea kuwepo

Kama CDM hawatashinikiza kisawasawa mwisho wa siku wanaonekana kama CUF a.k.a maslahi tumbo.
labda wawatimue Shibuda na Selasini kwanza
 
Chadema MPs' disposition is similar to that of a cocotte who want to service two johns a single night.
 
Tundu Lissu, mwanzoni kabisa kaishasema yeye hataki posho lakini uwa wanamuwekea kwenye akaunti yake.
 
Back
Top Bottom