mwanza_kwetu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 693
- 181
Yes; hii ndio silaha iliyobaki sasa; kama wamepinga Katiba wakaeleweka; kama wamepinga udhalimu mwingi wakaeleweka sasa muda ni huu; mjadala wa madaktari usipojadiliwa leo hii watoke ktk ukumbi kulazimisha jambo hilo; mimi nawasilisha