CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

Mtatiro alikuwa anawasuta CDM ambao wanasema wasichokiamini.

Wanasema maandamano ni ya wapinzani lakini yakiisha wanaiita CUF CCM B. Hicho ndicho ambacho CUF hawakitaki. Ni ujuha kukubali kutumika!

Kutumika kivipi? Kwani si kweli kwamba kiti cha spika kilihujumu wapinzani?
 
Kwa hiyo CUF sio mdau wa CCM? Maalim Sefu anafanya nini serikalini? Anafanya upinzani?
 
Kwa hiyo CUF sio mdau wa CCM? Maalim Sefu anafanya nini serikalini? Anafanya upinzani?

Kumbuka kwamba Mbowe ni miongoni mwa walioshiriki katika kutafuta Serikali ya Umoja ZNZ. Vipi na yeye? Au alikuwa hajuwi alilokuwa akilitenda?
 
Kumbuka kwamba Mbowe ni miongoni mwa walioshiriki katika kutafuta Serikali ya Umoja ZNZ. Vipi na yeye? Au alikuwa hajuwi alilokuwa akilitenda?
Alikuwa anamwingiza Seif na CUF yake choo cha kike, hawatoki humo.
 
Alikuwa anamwingiza Seif na CUF yake choo cha kike, hawatoki humo.

Kwa hiyo Mbowe ni msaliti wa wapinzani wenzake kwa kukubali kushirikiana na CCM kuiingiza CUF choo cha kike?
 
Kama poti wangu Julius Mtatiro anadhani Temeke ni ngome yao na kwamba Chadema inataka kuwatumia wao kujaza uwanja basi kesho atege macho na masikio ashuhudie namna jiji la Dar es salaam litakavyomiminika Temeke mwisho.
Tena nimkumbushe kuwa cuf haina nguvu tena temeke baada ya ADC kusomba wanachama wake wengi tu!
Kamanda Molemo sisi huku Ukonga leo tuna kikao cha dharura kutafakari namna tutakavyofanikisha na kushiriki kikamilifu maandamano na mkutano wa kesho. Baadae tutajulishana mpango mzima ukoje ili tujumuike na wanamageuzi wenzetu kutetea demokrasia ya wabumge isiendelee kubakwa na spika na naibu wake. Hao cuf achaneni nao watakuja kustuka siku ya kuifukia ccm kwakuwa sasahivi wamelewa mvinyo wa SUK Zanzibar!
 
Last edited by a moderator:
Kumbuka kwamba Mbowe ni miongoni mwa walioshiriki katika kutafuta Serikali ya Umoja ZNZ. Vipi na yeye? Au alikuwa hajuwi alilokuwa akilitenda?

Kwahiyo unataka kutuambia kwamba cuf inafanya mambo yake kwa kufuata maelekezo ya Mbowe ama ulitaka kusemaje?
Kwenye hayo majadiliano ninyi cuf mlikuwa mmeazimisha vichwa vyenu hata msiju zuri ni lipi na baya ni lipi? Subirini kesho muione nguvu ya umma. Endeleeni na fungate yenu na magamba muda si mrefu mtakuja kutulilia.
 
Chezea chadema wewe?kesho watu kama upepo.
 
Kwahiyo unataka kutuambia kwamba cuf inafanya mambo yake kwa kufuata maelekezo ya Mbowe ama ulitaka kusemaje?
Kwenye hayo majadiliano ninyi cuf mlikuwa mmeazimisha vichwa vyenu hata msiju zuri ni lipi na baya ni lipi? Subirini kesho muione nguvu ya umma. Endeleeni na fungate yenu na magamba muda si mrefu mtakuja kutulilia.

La, CUF haifanyi mambo yake kwa maagizo ya CHADEMA, ila ni pale mnapoilaumu CUF kwa kuingia SUK wakati na nyie mlikuwa mkiishabikia! Kesho mtakachofanya ni kujikusanya DAR nzima ila ukifika uchaguzi ndio utathibitisha kuwa Temeke CUF ina nguvu. Hakuna haja ya kubishana, kuna tofauti kati ya kujaza umati kwenye mikutano na kura.
 
mtatiro yupo sahihi kabisa kama hoja ni ubinafsi chadema ndio walioanza kuwabagua wapinzani pale walipo unda kambi bila kuwashirikisha,kama hoja ni uccm b,chadema ndio yenye ushahidi usio na shaka kua na katibu mkuu ndumila kuwili mara ccm mara cdm.mbona mnakua kama vile mnaishi nchi ya giningi?mnawabedha waislam lkn huwezi shinda bila kuungwa mkono na waislam.hakiiiiiiiiiiii,..........
 
mtatiro yupo sahihi kabisa kama hoja ni ubinafsi chadema ndio walioanza kuwabagua wapinzani pale walipo unda kambi bila kuwashirikisha,kama hoja ni uccm b,chadema ndio yenye ushahidi usio na shaka kua na katibu mkuu ndumila kuwili mara ccm mara cdm.mbona mnakua kama vile mnaishi nchi ya giningi?mnawabedha waislam lkn huwezi shinda bila kuungwa mkono na waislam.hakiiiiiiiiiiii,..........

Tumewashtukia hawa jamaa wa CHADEMA. Kule kigoma walishirikiana na CCM kuunda uongozi kipindi fulani hivi. CUF hawakuwaita CCM B kwa vile ni waungwana. Leo kule ZNZ imekuwa nongwa kwa vile walikuwa wanatamani ZNZ igeuke Rwanda, watu wachinjane wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom