Kama ni kweli haya uliyoyaandika hapa! Naomba nikuchalenj je Hiyo NAKALA unayodai mmesambaza Misikitini na MAMA yako pia Umempatia????tatizo la chadema hawaheshim taaluma za watu,ndio maana aki na zzzk na arfi wanapigwa vita,kwa chadema ni kuhakikisha uongozi wa nchi unageuzwa kuwa parokia,waislam walielewa hili na ndio mana wako tayari nchi isitawalike kwa lengo la kulinda mtaguso wa vatikan,waislam naamini wataiwajibisha uchaguzi ujao siri imesha fichuka.watu wanayo barua ya mbowe kwenda kwa adrinali pengo.imesmbazwa miskiti yote tanzania.
Na je Unadhani hizo unazoziita sijui NAKALA zitawasaidia CUF kujinasua kutoka ktk NDOA ya Mkeka walioifunga na CCM Msikitini????
MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!