CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

Hivi ina maana Mtatiro hajui chama kilichowatoa jasho magamba hapo tmk katika uchaguzi uliopita???Aache propaganda chafu zisizo na tija.
 
Mtatiro anaweza kusema ile mikutano Arusha waliyofanya ilikua ya nini? AU Arusha ni ngome ya CUF?
 

Mtatiro ameuliza tangu lini Chadema imegundua CUF siyo CCM B?
.
Imenikumbusha kuwa mwanzoni Sir Elton John alikuwa anakana yeye siyo shoga, hadi baadae sana.Hongera Mtatiro kwa kukiri hili...
 
Kumekuwepo na madai kwamba cdm niwabinafsi na hawataki kushirikiana na wapinzani wenzao.sasa kwahili wamejisafisha.

Nadhani CHADEMA wamechemsha badala ya kujisafisha, wametuaminisha kwamba CCM ni chama kisichofaa kabisa, na kwamba CUF nacho kwa kuungana na CCM Zanzibar nacho hakifai kabisa, wakakataa ushirikiano na CUF katika kutengeneza baraza la mawaziri kivuri, sasa kama anavyouliza mtatiro, ni lini CUF imeacha kuwa CCM B kwenye macho ya CHADEMA mpaka wawaalike kwenye maandamano. inamaana na CHADEMA imeanza undumilakuwili?
 
ndo aina ya vingoz wetu watz tuna wategemea watuletee maendeleo
 
Mbona yeye alikuja kugombea Ubungo hali akijua sio ngome yao? in short huyo jamaa ni shingi tupu, hanma kichwa hapo.
 
Imenikumbusha kuwa mwanzoni Sir Elton John alikuwa anakana yeye siyo shoga, hadi baadae sana.Hongera Mtatiro kwa kukiri hili...

Nkilog in JF I never get bored hahahahaa
 
TMK sio Pemba muzee, hata huko Pemba tunakuja kuwashika, Lindi-Mtwara tumeshawashughulikia, Tanga tumeshawazika, Tabora ni historia, bado Pemba huko ndo tunaenda kuwafuta kabisa kwenye uso mwa dunia. M4C kanyaga

....haswaaa mkuu,nimeipenda hii,baelezee baelewee
 
Mtatiro anaweza kusema ile mikutano Arusha waliyofanya ilikua ya nini? AU Arusha ni ngome ya CUF?

...hata mi nashangaa,kweli mtatiro hazitoshi!hivi anafikiri cdm wanawategemea wao?ss asubiri kimbunga chake!!
 
CUF mke wa mtu. Na mke wa mtu ni sumu!

Kumbe na wewe unalijua hilo lakini kuna watu wanaishi na wake za watu kama vile katibu mkuu wa .................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tatizo la Mtatiro anawaza mambo yale yale ya kijinga ya udini.Mtatiro anajiaminisha kwamba CUF ni ya Waislam na kwa Dar Waislam wengi wapo Temeke kwa hiyo Chadema haiwezi kuungwa mkono.

Mawazo ya kijinga na ya kipuuzi kweli haya!

Haya yametoka wapi tena ndugu yangu. Kwani CHADEMA ni ya wakristo? Unaweza kujadili bila kuleta udini. Utatumaliza kaka!
 
Mtatiro anapaswa kujua kwamba kwenye uchaguzi mkuu uliopita mgombea ubunge wa Chadema Temeke alizoa kura zaidi ya 20,000
Tatizo la Mtatiro hajui CUF ilipotoka,ilipo na inapoelekea!
 
Hili gazeti ni sawa na gazeti la uhuru. Yanaandika habari za upande mmoja hayana maana yeyote.
 
Back
Top Bottom