Mtatiro na ccm b yako mna visa kweli hautaki kushirikiana na wenzako wa upinzani sababu wewe ni mshirika wa chama tawala?
Halafu inaonyesha ni jinsi gani viongozi wetu wa upinzani walivyo na mawazo mabaya kama waganga wa kienyeji na walivyo na upeo finyu hivi kweli kiongozi uliekamilika unasema kwamba tunaingiliwa kwenye ngome yetu? Kuna ngome ya chama fulani hapa nchini? Ni upuuzi wa hali ya juu na viongozi wetu ingawa wamekwenda shule lakini elimu yao haiwasaidii kabisa Mtatiro haufai kuwa kiongozi nenda ukachunge ngombe tu haufai kuwa kiongozi
Halafu inaonyesha ni jinsi gani viongozi wetu wa upinzani walivyo na mawazo mabaya kama waganga wa kienyeji na walivyo na upeo finyu hivi kweli kiongozi uliekamilika unasema kwamba tunaingiliwa kwenye ngome yetu? Kuna ngome ya chama fulani hapa nchini? Ni upuuzi wa hali ya juu na viongozi wetu ingawa wamekwenda shule lakini elimu yao haiwasaidii kabisa Mtatiro haufai kuwa kiongozi nenda ukachunge ngombe tu haufai kuwa kiongozi