Kwenye historia duniani Chadema ndio chama cha kwanza kufanya maandamano mengi yasiokuwa na tija yoyote, kwa kweli wanatumia vibaya kodi zetu Watanzania 'ruzuku' kwenye maandamano yao wastani kila maandamano wanatumia Sh. 200 milioni, pamoja na posho zao wanazogawana, Chadema kama kweli mna uchungu na hii nchi toeni fungu la fedha mnayopata japo mnunue baiskeli za vilema au mchimbe visima kwenye majimbo yenu mlioshinda Ubunge sio kukalia maandamano kila kukicha. kuna kitu mnafanya sijui kama mnajua lakini ni Endanger kabisa kwa Dk Slaa mpaka mimi binafsi nakuwa Sympahizer na Dk Slaa, mnamsumbua wakati bado anaumwa mkono na Maandamano yenu, ushahuri wangu tafuteni Mtaalamu wa tiba ya mifupa, misuli, na Viungo (Ophothopaedisti) au mpelekeni INDIA. Dk Slaa apumzike kwanza mpaka apone. nimesema hayo sababu nampenda Dk Slaa
kwenda zako uko wanatumia kodi zetu kutuelimisha