Rais wa Watu, mpenda haki Doctor wa ukweli, yuko ndani ya nyumba Mjini Njombe akitema cheche; kama kawaida watu kibao.
Jamani kazi kweli kweli labda walitumwa mamng'ate Dr. Slaa, teht tehe.Ndugu wadau kuna mkutano wa cdm hapa mjin hv sasa.crew nzima ya cdm,mbowe zito,sugu nk na rais wangu wa moyon dr wa ukwel dr slaa yupo hapo.anamwaga mambo.ila kabla mkutano haaujaanza ulitumwa mizinga miwili ya nyuki uwanjani.ila wananchi wenye utaalaam wao sawa na hao walituma wamewahamisha.
Mbowe amesema hamjui mbunge wa jimbo hili hajawah kumsikia bungeni na hamjui
Ukifanya tathmini ya akina huu umati waliojiandikisha kupiga kura wanaweza kuwa chini ya mia moja
kwa nyongeza umesahau CHUPI CHAFU MATAKONIhaha,..
chama cha majini (ccm)
chama cha majambazi
chama cha majinga
chama cha misamaha
chama cha misele
chama cha mizaha
chama cha majungu
chama cha majuha
chama cha malimbukeni
chama cha .....
duh,...malizieni wenyewe
hilo nalo pia linawafaa tena sana tukwa nyongeza umesahau chupi chafu matakoni
cdm hureeee. ila humu ndani ya jf kuna watu wamejiunga baada ya kuvuana magamba wanaudhi sana. someni thread zao then tazameni joining date. sana dr wa ukweli tupo pamoja for life.
haha,..
chama cha majini (ccm)
chama cha majambazi
chama cha majinga
chama cha misamaha
chama cha misele
chama cha mizaha
chama cha majungu
chama cha majuha
chama cha malimbukeni
chama cha .....
duh,...malizieni wenyewe