cdm hureeee. ila humu ndani ya jf kuna watu wamejiunga baada ya kuvuana magamba wanaudhi sana. someni thread zao then tazameni joining date. sana dr wa ukweli tupo pamoja for life.
cdm sasa mnapoteza muelekeo maswla akina mwakiembe na sitta huo ni umbea sasa ongeeni issue ni jinsi gani zera zenu mbadala zinaweza kuwakomboa wananchi achaneni na kuongelea watu
Kapandb dr.slaa.kaanza na ishu ya ccm na kujivua gamba.dr.wa ukweli katoa gamba la nyoka live ndani ya gwanda.nyoka aina ya koboko,yule mwenye sifa ya kukimbiza watu.katoka nalo songea mbinga.anaanza uchambuzi.kama kawa kaanza na data.
chama cha mashuzi
Hilo nyomi ndo linawaumiza kichwa magamba.
Nape ni kiboko ya cdm, jamaa kila wakisimama jukwaani wanamuwazia huyu kijana wamfanye nn kwani ameisha mwaga mboga tayari
Nape ni kiboko ya cdm, jamaa kila wakisimama jukwaani wanamuwazia huyu kijana wamfanye nn kwani ameisha mwaga mboga tayari
Ha ha haaaa mpenda zoe aliisha bugi stepu bana ! kujitoa cdm ndiko aliji maliza wenyewe, na asivyo na akili akapoteza mafao yake ya ubunge. Wakina Shibuda walilamba kwanza ndipo wakatoka
Rais wa Watu, mpenda haki Doctor wa ukweli, yuko ndani ya nyumba Mjini Njombe akitema cheche; kama kawaida watu kibao.