CHADEMA wakiwa na Dr Slaa ndani ya Njombe

CHADEMA wakiwa na Dr Slaa ndani ya Njombe

Rais wa Watu, mpenda haki Doctor wa ukweli, yuko ndani ya nyumba Mjini Njombe akitema cheche; kama kawaida watu kibao.

attachment.php
Ukifanya tathmini ya akina huu umati waliojiandikisha kupiga kura wanaweza kuwa chini ya mia moja
 
Nasikia Dk. kazungumzia kuhusu uwepo wa spika ambaye si mbunge nakubaliana na hoja hiyo ya mabadiliko ya katiba. Ndiyo mambo tunayotaka CHADEMA wawaeleze wananchi pamoja na athari zake kwa Taifa changa kama Tanzania, Je kuhusu katibu wa BUNGE kuteuliwa na Raisi , jamani si kuingilia uhuru wa mhimili mwingine? Bunge ni lazima lionekane kuwa huru bila kuingiliwa na dola. Thnx Dk. Umenigusa kwa hilo la jana endeleza mapambano
 
Nasikia Dk. kazungumzia kuhusu uwepo wa spika ambaye si mbunge nakubaliana na hoja hiyo ya mabadiliko ya katiba. Ndiyo mambo tunayotaka CHADEMA wawaeleze wananchi pamoja na athari zake kwa Taifa changa kama Tanzania, Je kuhusu katibu wa BUNGE kuteuliwa na Raisi , jamani si kuingilia uhuru wa mhimili mwingine? Bunge ni lazima lionekane kuwa huru bila kuingiliwa na dola. Thnx Dk. Umenigusa kwa hilo la jana endeleza
 
Nape, shigela, bashi, ridhiwani ...... Magamba chipukizi
 
Mpendazoe anatema cheche, anasema NAPE, SITA, MWAKYEMBE na yeye ni miongoni mwa waliokua wameanzisha CCJ baada ya kuona CCM haijari masilahi ya Watanzania sasa anashangaa kwanini waliendelea kung'ang'ania huko kwenye magamba.

sasa kauli kama hii ya Mpendazoe inamsaidia nini mtanzania wa kawaida ambaye ana shida kubwa sana ya chakula, hospitali, shule na maisha kijumla.

nafikiri ni wakati muafaka viongozi kuacha kuzungumzia historia na mambo binafsi bali wajikite katika kutoa ufumbuzi wa matatizo ya mwananchi wa kawaida
 
sasa kauli kama hii ya Mpendazoe inamsaidia nini mtanzania wa kawaida ambaye ana shida kubwa sana ya chakula, hospitali, shule na maisha kijumla.

nafikiri ni wakati muafaka viongozi kuacha kuzungumzia historia na mambo binafsi bali wajikite katika kutoa ufumbuzi wa matatizo ya mwananchi wa kawaida

inamsaidia kujua wanasiasa wasio na msimamo kama kina sitta, kwanza hafai kushika wadhifa wowote serikalini. Kama alitaka kukihaini chama chao leo hii anaweza kuongoza dola? ndiyo hawa viongozi wanaotuingiza kwenye matatizo mengi yasiyo na msingi, hawakawii kuiuza nchi yetu sababu ya misimamo weak.

Mpendazeo nampa 100%, mwanaume ukishaamua kwamba its X badaya ya Y, hakuna haya kurudi nyuma tena, kurudi kwako nyuma unakuwa huna msimamo na hufai kuwa kiongozi wa umma.
 
Rais wa Watu, mpenda haki Doctor wa ukweli, yuko ndani ya nyumba Mjini Njombe akitema cheche; kama kawaida watu kibao.

attachment.php

Hizi picha zinaleta raha ndani ya roho! Picha hizi zinatukumbusha Kampeni za uchaguzi mwaka jana 2010 jinsi umati wa Wa-tz ulivokuwa ukifurika kwenye mikutano ya CDM kuthibitisha kuwa Chama hiki KINAKUBALIKA!

Hii inathibitisha kuwa KURA ZA CHADEMA ZILIIBWA kwa nguvu na hivyo kuikosesha CDM ushindi halali. Msajili wa Vyama John Tendwa amekiri juzi kwa kauli yake mwenyewe kuwa CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka jana walibanwa na CHADEMA kiasi cha CCM KUKIUKA TARATIBU NA SHERIA ZA UCHAGUZI!

KAULI YA JOHN TENDWA haina maana nyingine zaidi ya CCM KUIBA KURA!!!!!!!!!!!!!!!!
Je, itakuwaje 2015?????

 
Viva Chadema,wa magamba wakiona hii wanaumia roho sn ukichanganya na uchakachuaji walioufanya ktk uchaguzi 2010!!!!!CHADEMA PEOPLES POWER endeleeni kuwaelimisha wananachi kuhusu elimu ya uraia.
 
Nmesafiri toka mbeya kuja makambako kwa ajili ya mkutano wa chadema! Watu nyomi! Zito amewasalimu watu amerudi njombe kuendeleza kuwapa dawa amesema 2in 1!
 
Duh! Leo ni makambako. Very good. People's poweeeeeers!
 
Mbowe amesema hamjui mbunge wa jimbo hili hajawah kumsikia bungeni na hamjui
 
Duh! Leo ni makambako. Very good. People's poweeeeeers!

Zitto weka kambi kwa mama Makinda waelimishe wana-njombe jinsi yule mama alivyo msaliti wa demokrasia.BOMOA BOMOA KAMA YA MAGUFURI
 
Zitto weka kambi kwa mama Makinda waelimishe wana-njombe jinsi yule mama alivyo msaliti wa demokrasia.BOMOA BOMOA KAMA YA MAGUFURI
amekuja amewasalimu watu na kasema anaenda njombe, na slaa wamesema yupo makete wanakuita ! Wamesema wanavamia kote kote na kutwanga kotekote
 
Back
Top Bottom