CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Aisee, Hahahahahahahahahahahahaha. Baada ya Matokeo msiseme kura zimeibiwa kama 2010
 
Mimi hawa matanecrow wamenikera. Wanatunyima burudani ya kumwangalia Lowasa. Kama kuna tanesko humu jueni tu kwamba mnaboa vinginevo rudisheni umeme fasta

Washenzi kweli.Shirika si liuzwe tu.Aaaaagh!
 
Tahadhari wekeni simu zenu fully charge na kama ni mawe ya radio mnunue saa yeyote tanesco watafanya yao

Nina head phone mpya nimenunua

Tanesco wakikata umeme itabidi nikampokonye bibi yangu kitambulisho cha kupigia kura kwa vile amedai atampigia Magufuri.
 
ACHA CHUKI KAKUIBIA NINI? MBONA ZA ESCROW UMEFUMBIA MACHO:glasses-nerdy:

Mkuu magamba yameshikwa.. Edo kawachoma mkuki hadi kumoyo..wameishiwa sound wamebaki na neno mwizi kumbe yenyewe ndyo majizi
 
mm nipo sate na kazi sifanyi tena mm huyooooooooooooooooooo nyumbani
 
Wanaudhi si kidogo....yan mi hapa nimekaa kimawenge nahisi watakata muda wowote na radio one huku haishiki ningetumia haka kamchina kangu aisee
Yani mi nimecharge kila kitu na power bank in case of anything nahisi hata huku wasije Fanya yao. Kuangalia live raha
 
Sitatoka ofisini kwani kuna umeme wa generator sehemu nyingine kote TANESCO wamekata umeme tangu saa 3
 
Back
Top Bottom