CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

_84518320_obamakenya.jpg



[TD="bgcolor: #ffffff"]"Africa doesn't need strongmen, it needs strong institutions': Obama

[/TD]

[TD="bgcolor: #ffffff"]ACCRA, Saturday, (AFP) - US President Barack Obama on Saturday condemned tyrants who enrich themselves and urged Africans to demand stronger governments as the son of an African immigrant made a landmark trip to the continent

HATUMUITJI MAGUFULI AKIWA CCM TUNAMWITAJI LOWASA AKIWA UKAWA

[/TD]
 
Weraaa weraaa kumekucha...magamba yanaruka na kukanyagana....!!!
 
Kwa mujibu wa jamaa yangu wa karibu sana pale TBC1 ni kwamba tukio hilo litaonyeshwa LIVE bila chenga na kinara wa tiivii Tanzania TBC1 ifikapo saa kumi kamili tarehe mosi mwezi agosti. Hakikisha umelipia king'amuzi chako usikose uhondo huo.
 
Arusha tatizo umeme wakuu..

Lowassa aanze kuisafisha tanesco mwezi novemba.
 
Nchi inatikisika. Mwenyewe kaambiwa rudi nyumbani mambo magumu yeye kakuta bembea Australia anabembea tuu
 
Weka hapa jamvini hilo tangazo ambalo ili uwe uthibitisho wa source of information

Jf ni mtandao wa ajabu sana !! Nashangaa kama huyu alie changia sijui alikuwa kalala? Lakini analala saa hizi kweliii !! Hatariiiiiiii!!!!
 
Nasikia na mwanashilia mkuu wa zanzibar wa bunge la katiba atatambulishwa. Othuman.
 
Saa ya ukombozi naiona hiyoooooooooooooooooooooooo inakujaaaaaaa
 
Leo ndio siku tanganyika inaenda kujipatia uhuru wake kiuchumi rasmi
Leeeeo ni leooo,
Leo ni leooooooo
Mtauona mpambanoo kama si ukweli?

NAPITA KUSALIMIA NAELEKEA MWEMBE YANGA
 
Big up lowassa heshima kwako mafuriko hayazuiwi kwa mkono Bali kwa kutumia mabwawa nakumbuka tva USA walijenga dams kucontrol floods.

✅Kuhusu kudaiwa kodi za mizengwe kwenye biashara usihofu hao makamishna wenyewe hawawezi kufanya huo upumbavu,Kama wakimwaga ugali nawe mwaga mboga.
 
Back
Top Bottom