CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CCM ilikuwa lazima ife hata kwa sumu ili ile mana, yaani chakula cha kutoka juu kiwafikie watanzania wote bila kujali tofauti zao .Lowasa hongera kuwa raisi wa Tanzania awamu ya Tano kupitia ukawa.
 
ili wakamtangaze mtu waliyekuwa wanamuita fisadi kuwa ndo anapeperusha bendera ya chadema? Wakwende huko kura yangu kwa magufuli


furaha kubwa ya wana ccm ilikuwa ni kumuona lowasa akiamia chama kidogo ili tugawanye kura waendelee kupeta.............hali ni tofauli sasa, mbowe na wanamageuzi wasingekubali kuona lowasa akienda chama kingine, ili kura zetu zigawanye....sasa wamezijumlisha, ndio mnaangaika na vijembe
 
Siyo mwanachama ni mmiliki.Chadema wamefanya kosa kubwa sana kumuuzia chama yule jamaa.utaniambia tuko hapa.yote hii ni tamaa ya fedha ya Mbowe na Mzee Mtei unaweza kufikiri ni utani lakini ni ukweli tupu mkuu watu wamefanya biashara hapo.

Wakati wenzenu wako serious kuingoa ccm madarakani nyie mmebakiwa na maneno matupu na ya shombo na propaganda za kizamani.. tulia mlambishwe dawa kijana
 
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu bado anamuamini Mbowe na ka group kake ka wapiga dili kweli!!?

Wapo watz wengi sana wana imani na viongozi wa ukawa..na nia ni moja kudondosha icho chama ajuza madarakani, na iwe ndyo mwisho wa utawala dhalimu
 
CCM bwana! Wanajitekenya then wancheka wenyewe, wanajifinya then wanalia wenyewe. Poleniiii.....
 
Nawakumbusha tu wanaccm wasisahau kumhimiza mkandaras wa ujenzi wa magereza, maake wafungwa ni wengi baada ya october, mafisadi haooooooo.

mkuu, ccm watanyooka mwaka huu. maskini magufuli katupiwa gunia la misumari angaike nalo
 
Wapo watz wengi sana wana imani na viongozi wa ukawa..na nia ni moja kudondosha icho chama ajuza madarakani, na iwe ndyo mwisho wa utawala dhalimu

Unaangusha utawala dhalima unauhamishia kwenye utawala mpya! si unawajua team yake huyo jamaa aliyeinunua chadema!!
 
El apewa Othman Masoud kuwa mgombea mwenza.
Masoud ni mwanasheria mkuu wa Zanzibar aliefukuzwa kwa kukataa katiba ya chenge.
Ni kijana msomi na makini
Timu imetimia na mechi imenogaa

Mkuu angalia usiue watu kwa pressure hyo combination ni hatarii
 
Manyerere jacton vipi mbona taarifa zako nyimgi zinakuwaga chenga
 
Back
Top Bottom