CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Taarifa kutoka jukwaa la wahariri ni kwamba wahariri wameitwa Bahari Beach kesho saa 9:00 kuzungumza na uongozi wa Chadema. Hadhari imetolewa. Wahariri wote wapeleke taarifa ili wapewe kadi maalum za kuhudhuria mkutano huo. Ulinzi ni mkali. Yawezekana ndo wakawa wanamtangaza mwanachama mpya.

Chanzo: Katibu Jukwaa la Wahariri, Neville Meena usiku huu

wakuu mwenye updates atujuze kinachojiri kwenye huo mkutano ,sasa ni saa tano na nusu.
 
Je kuna mtu humu ndani ana kipimo cha furaha!!????

I want to measure my happiness!!!!!
 
Ila mimi huyu Lowassa simwelewi.

Jamaa mwenyewe dizaini mgonjwa huyu.

Haya masiasa ya nini tena?

Kwa nini asikae atulie ale tu mahela yake.

Au kama vipi anaweza akanipa mimi Richie Mugizi aka Nyani Ngabu halisi teh teh teh.

Mugizi Richard hapa kuna vitu viwili muhimu:
1. Huyu mhs EL amedahalarishwa sana na Chama chake. Hiki kitendo ni kibaya sana kwake na ndiyo maana moyo wake utatulia atakpo onyesha kuwa haikutakiwa kuwa hivyo. Hata wewe ungelikuwa ktk nafasi yake nafikiri ungefanya hivyo.
2. Ni kutaka kujustify kosa kubwa alifanya mwenyekiti wa CCM taifa. Kwa nchi za wenzetu mwenyekiti wa taifa hakutakiwa tena kuudhuria kampeni zitakazo anza kwani watu watakumbuka yale aliyo mtendea EL

MWISHO
Hapa ni kweli hawakufanya uchunguzi wa kutosha kuhusu swala hili. Sasa wewe angalia kama kuwepo watu kama mzee Mkapa pale Dodoma, halafu eti bora tatu zingekuwa (mhs Membe, Migiro na huyo mama wa Zanzibar), ni wazi Membe angelipita. Sasa imagine Membe angepitishwa halafu hii issue ya EL itokee! Basi isingekuwepo haja ya kuhesabu kura tena.
 
Mkuu mbona unataka kuwa conservative ivi upo wap kwanza nije kukuona unamkumbuka everlenk, cute b, atoto kiwatengu watakucheka unaaibisha timu yetu

Conservative indeed.....sijazoea kupelekwa tu ka gari bovu
 
Back
Top Bottom