Nilichojifunza ni:
1. Tundu Lissu ana upungufu wa akili (mpaka itakapothibitishwa).
2. Dr. Slaa ana matatizo ya kurukwa na akili (Mpaka itapothibitishwa)
3. Mbowe ni mwizi na muendesha chama kama saccos (hii haihitaji uthibitisho kwani kalamba bil 10)
4. Wafuasi wa CHADEMA ni wavivvu wa kujisomea na wana matatizo ya mtindio wa ubongo (uthibitisho upo wa matusi kwa kila anayesema Lowassa ni fisadi ila kipindi alipokuwa CCM tulikuwa tukisema fisadi na kusema wanamsingizia walitutukana na kusema tunamlinda...refer Mnyika).
5. Kitila Mkumbo na Zitto walihongwa na Lowassa (halihitaji kuthibitisha ona wanavyomsifia fisadi Lowassa)
Mrejesho ni October 25 2015 atakapo angukia pua Lowassa na ukawa. Na ndipo atakapo pata pressure numba 2, na CHADEMA itapotea kama alivyokuwa ametabili Mzee mzima Wasira!