CHADEMA vs CCM: Nani Mbabaishaji?

Ubongo wa wananchi wengi wa Tanzania ni sawa nawa Rais,ambaye hajui nini matizo la umasikini wao. Watanzania wanajua wao ni masikini lakini hawajui kwanini wao ni masikini, hivyo hawajui dawa ya kuuondoa huo umasikini.Siku watakapojua kuwa wao ni masikini kwa sababu ya kuwa na vingozi wabinafsi,wezi waliokithiri,wala rushwa waliokithiri na wasiowajibika,CCM haitakuwa na chake. Kushindwa katika uchaguzi haimaanishi kuwa CCM si chama kilichosheheni kila aina ya ubadhilifu unaoiletea nchi hii umasikini.Wanashindwa kwa kuwa watanzania hawaendi kupiga kura ili kuleta mabadiliko ila kutimiza tu wajibu na haki yao ya kupiga kura.It is the matter of time

Kweli kabisa Nyangumi,

Na hiki ndicho ccm inaficha watu wasijue. Badala ya kuacha wananchi wajue kuwa wako masikini kutokana na wizi wa viongozi wa serikali ya ccm ambayo imeongoza nchi miaka yote hii!

Wao wanaelekeza blame kwa wengine huku magazeti yakitumiwa kuua wapinzani wa serikali au mgombea kisiasa. Unakumbuka kampeni chafu kuwa CUF ni chama cha kidini?

CCM iko responsible kwa umasikini wa Tanzania. Kama uko marekani utakubaliana na mimi kuwa uongozi wa nchi unachangia sana kwenye maendeleo ya nchi - Angalia tofauti kati ya utawala wa Clinton na wa huyu Joji Kichaka>
 
Hii ndiyo JF bwana, umakini wa mtu unaisha pale tu anapokuwa na muono tofauti na washabiki,wapenzi wanachama wa CHADEMA:


My take,
I don't care chama gani kitakuwa madarakani provided kisiwe na wabunge,madiwani ambao ni zaidi ya 60%

Hata hiyo CHADEMA iwe madarakani na wabunge,madiwa/wawakilishi zaidi ya 80% itakuwa CCM B tu.
 
Baadhi ya wasomi humu wamekuwa kama watoto wadogo.Watu wako tayari kushabikia ushindi wa chama bila kujali kinakwenda kuutumia vipi ushindi huo.Hawajali wanakwenda kufanya nini kuwaondolea watanzania umasikini kama sio kuwapunguzia.Wao cha msingi ni ushindi.Nabaki najiuliza,kama msomi aliyepanuka kifikra anakuwa na ushabiki wa namna hii,ikoje kwa mwanakijiji wa Kaliua, Kintinko, Kalangalala nk??
 
Wanashindwa kwa kuwa watanzania hawaendi kupiga kura ili kuleta mabadiliko ila kutimiza tu wajibu na haki yao ya kupiga kura.It is the matter of time

Wakuu heshima mbele, hii ni hoja ya msingi sana kuhusiana na the ishu, isipokuwa kuna swali behind hii hoja, je nayo haya ni makosa ya utawala na ubabaishaji wa CCM, as opposed na umahiri na ukomavu wa Chadema?
 
CCM iko responsible kwa umasikini wa Tanzania.

Strong point mkuu, na heshima mbele, je ni chama gani cha siasa duniani ambacho ni responsible kwa utajiri wa wananchi wake?

Wananchi wa Kilimanjaro na Arusha, in your view and in general ni masikini? Hiyo mikoa miwli ndiyo inaongoza kwa elimu bongo nzima, je ni chama gani unachokijua cha siasa Tanzania ambacho ni responsible wa maendeleo hayo ya mikoa hiyo miwili?

CCM waliiba kura mikoa yote ya bongo, isipokuwa kwenye majimbo ya Zitto, Slaa, na Wangwe, maana nao ni CCM, does it make a sense!
 
Mhh Icadon,

Inawezekana labda hujui sheria za uchaguzi wa Tanzania au umeamua kufanya ya Kikwete kujifanya hajui chanzo cha umaskini wa Tanzania.

Sheria za uchaguzi zinakataza kufanya kampeni siku ya uchaguzi. viongozi wa vyama vya upinzani wasingefanya kampeni siku ya uchaguzi kama unavyoandika hapa.

Wewe na wenzako wengi sana kimekuuma sana kuona kuwa at last watu wameweka hadharani wizi wa pesa BOT ulivyofanikisha ushindi wa CCM. WEWE na wenzako hapa mnataka ku-shift blame kuwa ccm inashinda kwa vile wapinzani hawakubaliki au hawapigi kampeni siku ya uchaguzi?

Mhh nimeshangaa sana kusoma hili toka kwako maana mara nyingi huwa uko makini kiaina katika mambo mengine. AU ni panic umepata kuona kuwa taratibu wizi serikalini unawekwa wazi?

I never said I was CCM, so stop assuming "Because when you do, you make an............!!
 
CCM iko responsible kwa umasikini wa Tanzania.

Strong point mkuu, na heshima mbele, je ni chama gani cha siasa duniani ambacho ni responsible kwa utajiri wa wananchi wake?

Wananchi wa Kilimanjaro na Arusha, in your view and in general ni masikini? Hiyo mikoa miwli ndiyo inaongoza kwa elimu bongo nzima, je ni chama gani unachokijua cha siasa Tanzania ambacho ni responsible wa maendeleo hayo ya mikoa hiyo miwili?

CCM waliiba kura mikoa yote ya bongo, isipokuwa kwenye majimbo ya Zitto, Slaa, na Wangwe, maana nao ni CCM, does it make a sense!

Heshima mbele Mkuu FMES,

Kwanza naomba nijitambulishe kwamba mimi ni mwanachama wa CCM. Chama chetu kwa kweli kinayumba sana na tuko katika wakati mgumu. Inapofikia mawaziri wa serikali yetu (CCM) wanazomewa wanapotembelea/hutubia mikoani ujue hali si shwari!

Serikali (toka tulipopata uhuru ... miaka karibu 46) imekuwa ni ya chama chetu (TANU na sasa CCM). Jukumu la serikali ni pamoja na kusimamia rasilimali za Taifa mf. madini, maliasili (magogo etc.), uwindaji etc. ... ili kuhakikisha kwamba zinatumika kuwaendeleza watu wake. Ni lazima tufike mahali tukubali lawama - kwamba tumeshindwa kupanga na kutekeleza sera za kuwaendeleza watanzania. Tuna rasilimali nyingi sana na hakuna sababu za msingi za kutufanya tuwe masikini kiasi hiki.
 
1.
Kwanza naomba nijitambulishe kwamba mimi ni mwanachama wa CCM. Chama chetu kwa kweli kinayumba sana na tuko katika wakati mgumu. Inapofikia mawaziri wa serikali yetu (CCM) wanazomewa wanapotembelea/hutubia mikoani ujue hali si shwari!

Heshima mbele mkuu, hatuwezi kuwa na wakati mgumu wakati ni majuzi tu tumeshinda uongozi wa chini katika taifa letu yaani udiwani, viongozi wetu wamezomewa kwa sababu wananchi wanataka tujifunze kuheshimu sheria, tabia ambayo hatukufundishwa na Mwalimu, Baba wa Taifa letu, halafu besides rais wa jamhuri ambaye ni mwenyekiti wa CCM amewasikia wananchi kwa kutowapa uongozi wa ndani wa CCM wale wote wanaoshukiwa na ufisadi, na bado amesema aasubiri matokeo ya uchunguzi wa vyombo vya dola na vya kutoka nje, ndipo ashushe rungu, subira mkuu italeta tu heri karibuni!

2.
Serikali (toka tulipopata uhuru ... miaka karibu 46) imekuwa ni ya chama chetu (TANU na sasa CCM). Jukumu la serikali ni pamoja na kusimamia rasilimali za Taifa mf. madini, maliasili (magogo etc.), uwindaji etc. ... ili kuhakikisha kwamba zinatumika kuwaendeleza watu wake. Ni lazima tufike mahali tukubali lawama - kwamba tumeshindwa kupanga na kutekeleza sera za kuwaendeleza watanzania. Tuna rasilimali nyingi sana na hakuna sababu za msingi za kutufanya tuwe masikini kiasi hiki.

ni kweli kuna point nyingi sana kwenye maneno yako, isipokuwa kuna some gaps on what is truth behind our national misery, ukweli ni kwamba tumekuwa kwenye transition ya kutoka kwenye ujamaa na kwenda kwenye ubepari, wataalamu wa kutusaidia hatuna maana ni sisi wale wale majuzi tu tulikuwa tunaimba ujmaaa, Azimio La Arusha, na zidumu fikra za mwenyekiti, mtoto huanza kutambaaa kwanza, kabla hajaanza kutembea, ni kweli hakuna mabadiliko ambayo ni rahisi historia ya binadamu inaonyesha kuwa huwa anaridhika sana kuwa mahali pamoja, mafisadi ni lazima wafikishwe kwenye mkono wa sheria, na viongozi wote wabovu waondolewe, na rais afukuze washauri wake wote wa siasa maana hawana uwezo mkubwa wa kumshauri ndio maana sometimes anakwama, otherwise nimekusikia mkuu maneno mazito sana!
 
Lakini tusisahu kuwa siasa sometimes ni uongo mtu na propaganda. Mimi naona ubovu mwingi tu wa CCM, na ndio hapo wanapokosolewa na vyama vya upinzani. Lakini ukiangalia strategies za chandema, au TLP, au NCCR -Mageuzi, ukweli wenyewe hakuna sera nzuri zinazoweza kupita ccm. Sera za CCM ni nzuri tattizo ni watendaji wanaokwenda kinyume na sera hizo. Samething happening in CCM can happen to opposition parties if they gain power. Some of the comment they make ukizisikiliza unaona kabisa wana ndoto za mbali ambazo Mtanzania kwenye kufuatilia siasa kama sisi hapa kwenye mtandao will never believe they will run the country. Ebu kwa mfano wapinzani wachukue nchi nipeni mfano wa muundo wa serikali utavyokuwa, just few....rais, makamu, PM, Mambo ya nje, Fedha, Mwansheria Mkuu, IGP, .....just fews names from opposition who can lead these positions.
 
Wewe ulikuwa wapi wakati JK anasema kuwa hajui kwa nini Tanzania na watanzania ni masikini?

Naona somebody anahitaji kuwa objective hapa kabla ya kuanza kutoa lecture ya objectivity na kupondea gazeti la mwanahalisi.

Of all things, hizi pumba ndizo umesajili jina kama la Mtoto wa Mkulima ambaye ingawa ni mwanaccm lakini anamake sense kidogo!
Mwafrika wa kike,Kwa utamaduni wa kiafrika kulumbana na binti ni aibu ila sina budi kukuelewesha ya fuatayo,ILANI YA CCM imeainisha maeneo ya kufanyia kazi kuanzia sura ya kwanza mpaka ya nane,sura ya tisa it tells who to do wat.

Pili Mbowe unadai anaufahamu juu ya umaskini wa Watanzania nachshindwa kufahamu yy kufahamu na kukaa na knowledge yake imekusaidia ww,leo inaonyesha umegubikwa na ushabiki nenda Tanganyika library kaangalie Kitabu kinachitwa HUMAN BEING MIND utafahamu ur in which category of HUMAN MIND na itakusaidia kufaham unahitaji aina gani ya elimu kujikomboa.

Nadhani umechanganyawa na magwanda ya MBOWE na HELCOPTER ukaona Jamaa anjua umaskini wa TZ can u identify wapi mbowe (chadema) wameweza kusaidia kuondoa umaskini wanao ufaham, CCM umaskini wanao pambana nao ni wa KIFIKRA thats why wanawajengea Primary schools ktk kila kijiji,Secondary schools ktk kila KATA,helth centres ktk kila kata so that tuwasidia watu weny umaskini wa Fikra kama wewe.

Sisi wakulima tuna jengewa barabara tulete mazao yetu kwenu nyinyi msopenda kufanya kazi na kuamini ngonjera za kina zitto,slaa,na mbowe.

WORK UP LADY ina wzekana unamacho huoni,inamsikio husikii we hope kwa umasikini anao ufahamu kikwete tutakusaidia.
 
Jibaba ukweli umekukera mpaka umeanza kulialia kama katoto kanakolilia maziwa, na umeanza mipasho ya vidole juu kama 'mtoto sio rizki'. Kumbuka kwenye kampeni-Mbowe alikuwa anajenga hoja kwa muda mrefu kuhusu nini chanzo cha umaskini Tanzania, JK alikuwa akizungumza dakika chache na kusema ile ilani aliyonipa mkapa ndio ina majibu yote. Kumbuka alipoanguka jukwaani alikuwa anasema nini vile? Ur guy is empty headed. Sijui kwa nini hamkuchukua SAS, JSM au MM. Soma tena ujumbe wangu ujibu nilichohoji, sio kusema tu 'mawazo finyu'. Umeruka kama nimekufinya vile!

Acha bla bla mwanaume..

Asha
Asha u showed me kweli unajua mipasho na uminionyesha ni kwa kiwango gani unamacho huoni,HIVI HOJA kwamba mbowe alikua anatumia muda mrefu kueleza JK muda MFUPI ndo base ya hoja yako go to school my dear kweli CCM INAKAZI KUONGOZI KIZAZI KAMA CHAKO.

mbowe lazima aongee muda mrefu na kuvaa magwanda ya mgambo ili apate muda wa kujieleza JK alikua na MANEFESTO mbowe hana,JK alikua anaendeleza manefesto na dira ya ccm mbowe hana na jk aliamini anawaelewesha wenye kuelewa hakujua wapo wanaopenda aongee muda mrefu ili uweze kuelewa.

Nilipokua 1st yr chuo i was asking my self why kuna seminar clasess while nimetoka kwenye lecture na kuna vitabu sikujua kuana watu hawawezi kusoma vitabu reason ya JK kuongea kwa muda mfupi ni bcs anagawa ilani ili ww asha usome inahitaji tuwe na seminar ili watu kama ww wapate muda wa kuelewa zaidi.

MAISHA bora ulitegemea ulitewa kwako (kwenu)or ulidhani haya hitaji maandalizi? JK has the right ya kushangaa why kuna umaskini bcs ana ongoza watu kama ww ambao hawawezi kuelewa kilico andikwa bali wanahitaji kusikiliza zaidi.

ASHA GO TO SCHOOL pia inawezekana walioandika kua JK anshangaa umaskini walichukua kipengele cha maneno yake ili kiweze kuwafurahisha wapenda mipasho kama ww thats why my first comment ulifananisha na mipasho inawezekana ikaw ni intrest yako.

Ukitazama ur comment utaona umeweka neno (MIPASHO,SIO RIZKI na jina lako ni ASHA) UHUSIANO WA KAULI HIZO JINA NA TABIA HIZO vinaendana na aina ya comment na kuamini kila unacho sikia bila kufikiri hainishangazi ila nakupa USHAURI NASHA jitahidi mara nyingi usiongee kauli zenye kufanana na jina na mienendo flani kwani analyst kama sisi wakulima hua kwanza tunasoma jina na kuangalia kauli kujua ni mtu wa aina gani nae ongea nae.

So nimegundua naongea na mvivu wa kufikiri na kuelewa kitu ambacho ni hatari.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Mwafrika wa kike,Kwa utamaduni wa kiafrika kulumbana na binti ni aibu ila sina budi kukuelewesha ya fuatayo,ILANI YA CCM imeainisha maeneo ya kufanyia kazi kuanzia sura ya kwanza mpaka ya nane,sura ya tisa it tells who to do wat.

Pili Mbowe unadai anaufahamu juu ya umaskini wa Watanzania nachshindwa kufahamu yy kufahamu na kukaa na knowledge yake imekusaidia ww,leo inaonyesha umegubikwa na ushabiki nenda Tanganyika library kaangalie Kitabu kinachitwa HUMAN BEING MIND utafahamu ur in which category of HUMAN MIND na itakusaidia kufaham unahitaji aina gani ya elimu kujikomboa.

Nadhani umechanganyawa na magwanda ya MBOWE na HELCOPTER ukaona Jamaa anjua umaskini wa TZ can u identify wapi mbowe (chadema) wameweza kusaidia kuondoa umaskini wanao ufaham, CCM umaskini wanao pambana nao ni wa KIFIKRA thats why wanawajengea Primary schools ktk kila kijiji,Secondary schools ktk kila KATA,helth centres ktk kila kata so that tuwasidia watu weny umaskini wa Fikra kama wewe.

Sisi wakulima tuna jengewa barabara tulete mazao yetu kwenu nyinyi msopenda kufanya kazi na kuamini ngonjera za kina zitto,slaa,na mbowe.

WORK UP LADY ina wzekana unamacho huoni,inamsikio husikii we hope kwa umasikini anao ufahamu kikwete tutakusaidia.

Mjadala mzuri,,, naomba tu mu-stick kwenye hoja,,, msije mkaenda kwenye mipasho ya Asha Abdallah!!!
 
Jamani naomba mnisaidie.Hizo sera nzuri mnazoziimba za CCM ni zipi ambazo haziwaondolei Watanzania au kuwapunguzia umasikini.Kama ni serra zilizokuwa zinapangwa na kutekelezwa ziliisha mwaka 1985
 
NADHANI DADA YANGU UMEGUBIKWA NA MAWAZO FINYU YALIYO BARIKIWA NA KAULI ZA WAANDISHI WA MWANAHALISI ULICHO ONYESHA NI PURE MAWAZO -VE YA WALIOPOTEZA DIRA NA MUELEKEO.NANI KASEMA MBOWE ANAJUA HUO UMASKINI MNAONGELA NANI KASEMA JK HAJUI HUO UMASKINI WA WATANZANIA?KUENI OBJECTIVE ACHENI BLA BLA ZA WATU KAMA NDIMARA ALIEANDIKA MAKALA KTK MWANAHALISI LA 28TH NOV.


Mipasho ulianza wewe jamani, hebu soma maneno yako hapa

Asha
 
Asha u showed me kweli unajua mipasho na uminionyesha ni kwa kiwango gani unamacho huoni,HIVI HOJA kwamba mbowe alikua anatumia muda mrefu kueleza JK muda MFUPI ndo base ya hoja yako go to school my dear kweli CCM INAKAZI KUONGOZI KIZAZI KAMA CHAKO.

mbowe lazima aongee muda mrefu na kuvaa magwanda ya mgambo ili apate muda wa kujieleza JK alikua na MANEFESTO mbowe hana,JK alikua anaendeleza manefesto na dira ya ccm mbowe hana na jk aliamini anawaelewesha wenye kuelewa hakujua wapo wanaopenda aongee muda mrefu ili uweze kuelewa.

Nilipokua 1st yr chuo i was asking my self why kuna seminar clasess while nimetoka kwenye lecture na kuna vitabu sikujua kuana watu hawawezi kusoma vitabu reason ya JK kuongea kwa muda mfupi ni bcs anagawa ilani ili ww asha usome inahitaji tuwe na seminar ili watu kama ww wapate muda wa kuelewa zaidi.

MAISHA bora ulitegemea ulitewa kwako (kwenu)or ulidhani haya hitaji maandalizi? JK has the right ya kushangaa why kuna umaskini bcs ana ongoza watu kama ww ambao hawawezi kuelewa kilico andikwa bali wanahitaji kusikiliza zaidi.

ASHA GO TO SCHOOL pia inawezekana walioandika kua JK anshangaa umaskini walichukua kipengele cha maneno yake ili kiweze kuwafurahisha wapenda mipasho kama ww thats why my first comment ulifananisha na mipasho inawezekana ikaw ni intrest yako.

Ukitazama ur comment utaona umeweka neno (MIPASHO,SIO RIZKI na jina lako ni ASHA) UHUSIANO WA KAULI HIZO JINA NA TABIA HIZO vinaendana na aina ya comment na kuamini kila unacho sikia bila kufikiri hainishangazi ila nakupa USHAURI NASHA jitahidi mara nyingi usiongee kauli zenye kufanana na jina na mienendo flani kwani analyst kama sisi wakulima hua kwanza tunasoma jina na kuangalia kauli kujua ni mtu wa aina gani nae ongea nae.

So nimegundua naongea na mvivu wa kufikiri na kuelewa kitu ambacho ni hatari.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI


Ukaendelea kuacha kujibu hoja na kutukandia sisi wakina Asha tulioishia darasa la saba kama vile nasi si watanzania. Kumbuka sisi ndio wapiga kura tulio wengi

Hivi unataka kutudanganya kwamba CHADEMA haikuwa na ilani? Mbona tuliisoma ilichapishwa yote kwenye gazeti la Rai wakati huo?

Bahati nzuri pamoja na kuwa hatujafika chuo kikuu tunajua kusoma na kuandika. Ni wa darasa la saba waadilifu kuliko wasomi mafisadi.

Ndio maana nikasema unaendekeza mipasho, ona sasa UMENIPASHA mimi na hata kizazi changu.

Inaelekea wewe na wenzako mmelewa utawala....

Asha
 
Afadhali Mbowe alikuwa anajua chanzo cha umasikini wa watanzania kabla hata ya kwenda kusoma zaidi. Kikwete hata baada ya kusoma na kukulia serikalini bado haielewi kwa nini Tanzania ni masikini. Kuendelea kumuacha pale ikulu ni kuendelea kuwatukuna watu wote wenye akili Tanzania. Kila siku unapigia kelele ushindi wa asilimia 80 kuhalalisha uwepo wake pale ikulu, unachosahau ni kuwa ushindi ule umepatikana kwa mizengwe- hauendani kabisa na uwezo wake wa kiasiasa pale kikwete. Asilimia 80 si kipimo cha imani ya watanzania kuhusu uwezo wa Kikwete, labda matumaini waliyolishwa kwa ahadi hewa tu ambayo sasa yamesalitiwa na wameanza kumnyooshea vidole. Ukipiga kura za maoni huru sasa hata asilimia 20 atapata kwa tabu. Ushindi wa Kikwete=Propanda za Mtandao toka 1995(za kuwabomoa wakina Malecela, Salim, Mwandosya na za kuficha udhaifu wa JK)+ Udhaifu wa upinzani(mara baada ya 1995 hususani kupomoromoka kwa NCCR Mageuzi)+ Kampeni za Rushwa( yeye mwenyewe amekiri+ Mahakama imethibitisha kwa kufuta takrima)+chama Dola(Mkapa alitangaza hadharani+ Tume ya uchaguzi ikatekeleza maeneo mbalimbali). Sasa anza kutoa kimoja hadi kimoja utaona kwamba huyu jamaa kama alikuwa anakubalika kwa asilimia 80 au la.

Kikwete ni mzigo kwa taifa! period

Kama CCM mtaendelea kudhani ni tumaini lilirojea mtandelea kuwakatisha tamaa watanzania na hakika Kikwete ataondoka na kina Rostam na Lowasa wake lakini Tanzania itasimama milele.

FMES, kwani Kikwete na JSM au SAS nani bora?

Asha


Hii ndio ilikuwa hoja yangu, wala haikuwa mipasho. Mbona hujaijadili?

Nimeeleza kwamba Kikwete hajui kwanini Tanzania ni masikini. Kweli si kweli?

Nimeeleza kwamba CCM haikubaliki kwa wananchi kwa asilimia 80. Kweli si kweli?

Mwisho nimeuliza kati ya Kikwete na mmoja kati ya hawa Salim, Malecela na nikaoongezea Mwandosya. Kwamba hawa yoyote kati yao angekuwa bora kuliko Kikwete. Kweli au si kweli?

Jadili hoja, acha kuendekeza mipasho. Ukianza mipasho hapa kwa Asha ndio kwenyewe, mtoto wa jang'ombe!

Asha
 
Hii ndio ilikuwa hoja yangu, wala haikuwa mipasho. Mbona hujaijadili?
Dada ukiona katika membe wote wa JF, wewe ndio unaambiwa ni wa mipasho nadhani kuna kitu cha kujifunza hapo, kwa hiyo tulia lifanyie kazi.

Nimeeleza kwamba Kikwete hajui kwanini Tanzania ni masikini. Kweli si kweli?
Simply hata utoe maelezo gani other than mipasho haileweki.


Nimeeleza kwamba CCM haikubaliki kwa wananchi kwa asilimia 80. Kweli si kweli?
It is unfortunate that upigaji kura ndio the only kipimo,,, kama ilivyo mashuleni mwanafunzi mwenye akili ni yule anayefaulu,,, vipimo vingine sio official na unaweza kuremba na kuweka mipasho kadiri unavyotaka,,, lakini kwa sasa hilo liko hivyo!!!

Mwisho nimeuliza kati ya Kikwete na mmoja kati ya hawa Salim, Malecela na nikaoongezea Mwandosya. Kwamba hawa yoyote kati yao angekuwa bora kuliko Kikwete. Kweli au si kweli?
Again unalinganisha machungwa na machenza,,, huwezi kuwalinganisha kwa kuwa hawako kwenye nafasi moja (urais) kwa wakati mmoja na mazingira mamoja, ndio maana si rahisi pia kulinganisha marais wawili wa vipindi tutofauti,,, uchambuzi wowote utaishia kwenye hisia ambazo eventually huzaa mipasho..

Jadili hoja, acha kuendekeza mipasho. Ukianza mipasho hapa kwa Asha ndio kwenyewe, mtoto wa jang'ombe!
Swadakta kuanzia leo wewe ni Prof. wa Mipasho wa JF
 
Dada ukiona katika membe wote wa JF, wewe ndio unaambiwa ni wa mipasho nadhani kuna kitu cha kujifunza hapo, kwa hiyo tulia lifanyie kazi.


Simply hata utoe maelezo gani other than mipasho haileweki.



It is unfortunate that upigaji kura ndio the only kipimo,,, kama ilivyo mashuleni mwanafunzi mwenye akili ni yule anayefaulu,,, vipimo vingine sio official na unaweza kuremba na kuweka mipasho kadiri unavyotaka,,, lakini kwa sasa hilo liko hivyo!!!


Again unalinganisha machungwa na machenza,,, huwezi kuwalinganisha kwa kuwa hawako kwenye nafasi moja (urais) kwa wakati mmoja na mazingira mamoja, ndio maana si rahisi pia kulinganisha marais wawili wa vipindi tutofauti,,, uchambuzi wowote utaishia kwenye hisia ambazo eventually huzaa mipasho..


Swadakta kuanzia leo wewe ni Prof. wa Mipasho wa JF
Kilitime THAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANK YOUUUUUUUUUUUU.

Asha i hope umejibiwa ina wezekana nilikua najaribu kukujibu ktk lugha usoelewa kwa hili nadhani umeelewa
 
Ukaendelea kuacha kujibu hoja na kutukandia sisi wakina Asha tulioishia darasa la saba kama vile nasi si watanzania. Kumbuka sisi ndio wapiga kura tulio wengi

Hivi unataka kutudanganya kwamba CHADEMA haikuwa na ilani? Mbona tuliisoma ilichapishwa yote kwenye gazeti la Rai wakati huo?

Bahati nzuri pamoja na kuwa hatujafika chuo kikuu tunajua kusoma na kuandika. Ni wa darasa la saba waadilifu kuliko wasomi mafisadi.

Ndio maana nikasema unaendekeza mipasho, ona sasa UMENIPASHA mimi na hata kizazi changu.

Inaelekea wewe na wenzako mmelewa utawala....

Asha
HAPA AGAIN NATAKA NIKUKUMBUSHE ILANI INAYO CHAPISHWA KTK GAZETI LA RAI UMESAHAU KUJIULIZA WATANZANIA WANGAPI WANUWEZO WA KUNUNA GAZETI?

Pia nataka ujiulize kuna watu zaidi ya milioni 30 ktk nchii hii PRINT ODER YA RAI ni copy 30 elfu mpaka 40 elfu je ni ratio ya watu wangapi kwa kopi moja?

Pia hapa uone ni aina ya viongozi gani hao wanachadema walio fikiria kutoa ilani ktk GAZETI ili watanzania wasome? utazame uwezo wao,fikra kama walikodi helkopta wakashindwa kugawa ilani wana matatizo.

Jiulize rai linafikaje kwetu KANTARAMBE,au SHIRATI,MASIKE,NYAKARERE,INGRI,KIROGO etc ambako ilani ya ccm imefika through ofisi za matawi au through mabalozi wa nyumba kumi.

DADA YANGU POLENI SANA
 
.

Ndugu zangu naomba nitumie fursa hii kujitambulisha kama msomaji wa magezeti na mfatiliaji wa maswala ya kisisasa ya nchi hii hasa Gazeti la MWANAHALISI.

Mara nyingi nimekua nikiaangalia makala nyingi ziznazo andikwa ktk gazeti hili la mwanahalis nakugunua kua waandishi kama KUBENEA wana tatizo la ufinyu wa fikra na mawazo au kutofahamu tafsiri sahihi ya uzalendo.

Tatumia makala ambazo Kubenea amekua akiziandika na kuzionyesha ktk jamii kua alivo mzalendo. Mfano makala aliotoa au uchambuzi aliofanya baada ya uteuzi wa sekretarieti ya ccm na kuendelea wiki hii ktk Gazeti la Mwana Halisi ktk kichwa cha habari “KIKWETE AMETEKWA NA MTANDAO MASLAHI” imenionyesha ni jinsi gain alivo na ufinyu wa mawazo.

Kuwepo kwa NGELEJA,KARAMAGI ktk wizara ya Nishati ni hoja ambayo ametumia kudai kua wizara imebinafsishwa hapa najifunza either hajui maana halisi ya ubinafsishaji au anaelewa bali anatafuta umaarufu kwa kutumia kalamu yake hovyo ili jamiii imuone amesema kitu.

Kubenea na Gazeti hili wameshindwa kuonyesha wapi kikwete ametekwa ukiangalia hoja kua ROSTAM,MAKAMBA,LOWASA kushinda na hoja kua Mtandaao wameshiriki ktk uteuzi wa kamati ya madini na peter machunde kua Mjumbe havionyeshi ni wapi JK ametekwa na mtandao maslahi hoja hizi zisizo kua na JUSTIFICATION,kwa statistics,au ushahidi wa aina yoyoyete ndo hoja za kuandikwa na MHARIRI wa Gazeti? Hoja hizi za kitoto ndo alizotumia TINDU LISU ktk mdahalo siku ya higher learning pale DCC kua machunde hafai ktk kamati bcs aliwahi kukaribishwa bungeni na karamagi only that ndo ilikua base ya hoja yake.

Leo 21st century tuna waandishi kama kubenea ambae anaandika mawazo yake na kufanya ndo mawazo ya watanzania,Ukiangalia yeye na mchangiaji mwezie YUSUPH BUGENZI wanadai kua KUNA MINONG’ONO KILA MAHALI KUA URAISI UMEBINAFSISHWA KWA MTANDAO MASLAHI, hoja haina mifano halisi ningemuelewa kua anaelalamika ni yeye anaposema kila mahali anawakilisha wingi wingi amabao anashindwa kujustify kwa mifano hai au kusema anaglau alifanya survey aina flani na kuhoji watu namaba flani wakasema hayo anayo taka sisi watanzania tuamini.

Kubenea katika makala hiyo anadai hajui VIGEZO vya kumteua DK Rashid TANESCO anatak tuamini kua Rashid ameteuliwa kwa urafiki wake na ROSTAM hapa inaonyesha hajui historia ya DK Rashid,uzoefu wake inaonyesha pia kubenea anatatizo la usahaulifu kua huyo mtu anaeuliza uzoefu wake alishakua GAVANA wa BOT,utendaji wa Dk Rashid unafahamika,FIKA NMB uliza uwezo FIKA BOT uliza lakini hakuna mfatiliaji wa mabo anaeweza kujiuliza anachjiuliza kubenea kwani HISTORIA ya DK Rashidi inafahamika,Anaetakiwa kuulizwa uwezo na vigezo ni kubenea UHARIRI ameupataje? ELIMU, UZOEFU,UELEWA,UWEZO WA KUCHAMBUA

MAMBO,KUMBUKUMBUvYOTE HIVI TUNAJIULIZA kama unavyo inatia shaka juu ya uwezo wako na si DK RASHIDI,hivi kweli taaluma yako inakufanya uhoji matangazo yaneenda wapi umefanya uchunguzi kiasi gain kuona kua matangazo ya Tanesco yanenda Habari Corporation zaidi kuliko magazeti mengine?Uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo umekufanya ushindwe kutambua kua Mkurugenzi hahusiki na utoaji wa matangazo labda nikuambia kama unataka matangazo Tanesco nenda kamuone PR wa Tanesco DDk Rashidi hafanyi hiyo Kazi.

Labda nikusaidie kubenea na wenzio wanaodhani watanzania hatuwezi kufikiri, KIKWETE si JINI ni MTU ana marafiki na hoja zenu za ROSTAM LOWASA na wengine kua marafiki wa kikwete kama mnavodai haina maana kua RAISI wa NCHI basi anakosa haki ya kua na marafiki.

Hivi Kubenea tukuhukumu na wewe tuseme kua umetekwa na Marafiki zako inawezekana unacho andika si mawazo yako that’s why unaamini kua maamuzi ya RAIS ni maamuzi ya marafiki zake,naamini kua hivo sivo alivo kama angekua aametekwa na Mtandao Maslahi ambao unaowataja mara kwa mara kama ulivoandika ktk makala zako basi leo asingemchagua MSEKWA,MKUCHIKA,asingemteua SALIM, asinge mpendekeza KIGODA,SUMAYE inawezekana ukawa ni wale wenye macho hawaoni,Wenye masikio hawsikii,UWEZO WAKO umeudhihirishia UMMA wa kitanzania kua u mtu wa aina gain.


Ufike wakati Hoja iwe na justification nachokiona ni either kutufanya wote tunaosoma magazeti hatuna akili kwa kutuletea taarifa,makala uchambuzi usiokua na kichwa wal miguu mistake mawazo yenu yawe mawazo ya watanzania.

Imekua ni agenda yako binafsi kila ukiandika bila kutaja KIKWETE LOWASA ROSTAM MAKAMBA gazeti halijaenda kiwandani Tazama Kichwa cha HABARI KUA IKULU KWAFUKUTA MOTO.ukisoma kilichoandikwa hakina kitu cha msingi huo moto unaongelewa humo ni upi? Kilichovuja kutufikia wanachi ni kipi? IFIKE MAHALI VYOMBO VYA HABARI NCHI HII VIKEMEE waandishi kama KUBENEA nachojiuliza kubenea na UZALENDO WAKE anafanya kazi ya nani?ni vizuri kufaham hilo ili tuweze kumuelewa je anachofany ni kile tunachokiona ktk siasa za JAMBO FORUM? Kama ndicho ambacho tunakiona huko basi sishangai ila nawasikitikia wenye TAALUMA ya uandishi wa habari kwamba kuna mtu anawachafulia taaluma yao kwa kuandika mawazo yake binafsi na kutaka kufanya haya ndio mawazo yetu wanachi,kwa kutaka yeye afikri kwa niaba yetu watanzania.

Labda nikuambie watanzania tungeona ww ni mzalendo kama hoja zako zingekua zinalenga kutusaidia wengi 80% ya watanzania kwasas ni wakulima tembelea kwetu vijijimi andika kuhusu matatizo yetu wakuliama usilifanye gazeti lako kua plate form ya wanasiasa walioshindwa kuja kwetu wananchi kutueleza wantaka kutufanyia nini badala yake wamebaki na hoja za mtu na si issues.

Tazama za watu kama STEPHEN RAMADHANI “ na makala NGOMBALE WAMPOTOSHA JK” Mtazame NDIMARA TEGAMBWAGE na Makala SEREKALI INAFICHA UKWELI mtu kama huyu anafikia mahali anasema RAISI wa ni mjinga kwa hoja kua alihoji anashangaaa why nchi masikini hilo nilitegemea yeye nae ajiulize na kama anajua why nchi yetu ni maskini anagetoa reasons,Hivi watu kama hawa STEPHEN anaesema mzee NGOMBALE anafanya Biashara amefanya utafiti wapi kugundua hilo au bcs gazeti muhariri na team yao hawajali juu ya aina ya maoni yanayotolewa basi huandika tu? Stephen jenga hoja yenye substance iwe na vigezo si kukurupuka na kuvunjia watu heshima zao FIKA BRELA ujifunze nani anmiliki hisa ktk kampuni unayo dai kua ya kingunge.

Nachojifunza ni kwamba NDIMARA hajui LOWASA alipokua anaongea aliongea kama WAZIRI MKUU na si LOWASA bali TAASISI kwahiyo namna ya kufanyia kazi jambo alilosema kuna utaratibu na si KAULI za watu kama kiana SLAA na MWANAHALISI NDO kusema kua taarifa wanazo ifike mahali watu kama NDIMARA wamesahau walishindwa kuendesha TAASISI ( NCCR) leo haipo ni kivuli.

Ndugu zangu fikieni mahali uzalendo usitafsiriwe vibaya nashauri KUBENEA na watu kama STEPHEN RAMADHANI,NDIMARA kueni more objective kujenga TAIFA hili na specifically kubenea nakua na shaka na elimu au uwezo wa kufikiri na kama unatumiwa angalia usije kuharibu UTU wako .

Watanzania tunaona,tunasikia,tunaelewa,tunafahamu,na tunaweza kuchambua that’s why nimekaa muda mrefu kuangalia trend ya gazeti lako na uandishi wako ulivo na kunifanya nijiulize maswali, JE ELIMU NDOGO?,UFAHAMU MDOGO?,UWEZO WAKUELEWA MDOGO?,HUJUI MAJUKUMU YA MUHARIR?I,JE HII NI TAALUMA YAKO?,UNA AJENDA GANI?,UMETUDHARAU WATANZANIA KIASI HIKI KUTUFANYA TUAMINI UNACHOFIKIRI?UNATUMIWA NA NANI NA KWA MASLAHI YA NANI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom