Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 368,994
- 853,690
- Thread starter
- #261
‼️MPANGO WA JESHI LA POLISI DHIDI YA CHADEMA‼️
Kama mtakumbuka siku kadhaa zilizopita ilisambaa taarifa kuhusu Jeshi la Polisi kuvamia nyumbani kwa Yoramu Mbyela (Huyu kwenye picha) ambae ni mfanyabiashara anaeuza vifaa vya CHADEMA ikiwemo matisheti, bendera, madera, kombati, n.k
Siku kadhaa zilizopita Polisi wakiwa na gari aina ya FUSO walivamia nyumbani kwa Mbyela, wakamlazimisha mke wa Mbyela afungue mlango wa duka, kisha wakaingia dukani, wakabeba na kuondoka na mzigo wote wa vifaa vya CHADEMA ambao waliukuta dukani kwake.
Mke wa Mbyela pamoja na Wakili wake wamefuatilia huo mzigo wa sare za CHADEMA, Polisi wakarudisha baadhi ya vitu lakin mzigo mkubwa wakakataa kurudisha mpaka leo bado wamebaki nao.
Sasa nimejulishwa kwamba Jeshi la Polisi wamebaki na huo mzigo wa sare za CHADEMA kwasababu wanampango wa kuutumia kufanikisha mpango wao OVU dhidi ya CHADEMA, hii ni kutokana na hofu waliyonayo kuhusu Maandamano ya 7/7 yani Julai 7, 2026.
Wamepanga kuwapeleka porini watu wao ambao ni Green guard (UVCCM) na baadhi ya mgambo kisha watawavalisha nguo za CHADEMA badae Polisi watasema kwamba wamevamia eneo hilo la pori baada ya kupata taarifa kiintelijensia, Polisi watautangazia umma kwamba Vijana wa CHADEMA wamekamatwa huko porini wakiwa wanapewa mafunzo ya kijeshi kwa ajili ya kujiandaa na Maandamano ya Julai 7, 2026 lengo la kufanya ivo ni kutisha watu ili waogope.
Lakin pia Jeshi hilo limepanga kwamba litakuwa linawavalisha UVCCM izo nguo za CHADEMA kisha wanawatuma kwenye mikutano ya hadhara ya CHADEMA kufanya fujo ili ionekane CHADEMA wanagombana wao kwa wao.
Sasa ni muhimu sana Wanachama wenzangu mnapoenda kwenda Mikutano, hakikisha unamtambua mtu ambae umekaaa nae jirani ukiona kuna mtu/watu huwaelewi toa taarifa kwa Viongozi wa CHAMA, hawa wahuni wakivamia mikutano yetu inatakiwa muwape HAKI YAO YA KIKATIBA.
Kama mtakumbuka siku kadhaa zilizopita ilisambaa taarifa kuhusu Jeshi la Polisi kuvamia nyumbani kwa Yoramu Mbyela (Huyu kwenye picha) ambae ni mfanyabiashara anaeuza vifaa vya CHADEMA ikiwemo matisheti, bendera, madera, kombati, n.k
Siku kadhaa zilizopita Polisi wakiwa na gari aina ya FUSO walivamia nyumbani kwa Mbyela, wakamlazimisha mke wa Mbyela afungue mlango wa duka, kisha wakaingia dukani, wakabeba na kuondoka na mzigo wote wa vifaa vya CHADEMA ambao waliukuta dukani kwake.
Mke wa Mbyela pamoja na Wakili wake wamefuatilia huo mzigo wa sare za CHADEMA, Polisi wakarudisha baadhi ya vitu lakin mzigo mkubwa wakakataa kurudisha mpaka leo bado wamebaki nao.
Sasa nimejulishwa kwamba Jeshi la Polisi wamebaki na huo mzigo wa sare za CHADEMA kwasababu wanampango wa kuutumia kufanikisha mpango wao OVU dhidi ya CHADEMA, hii ni kutokana na hofu waliyonayo kuhusu Maandamano ya 7/7 yani Julai 7, 2026.
Wamepanga kuwapeleka porini watu wao ambao ni Green guard (UVCCM) na baadhi ya mgambo kisha watawavalisha nguo za CHADEMA badae Polisi watasema kwamba wamevamia eneo hilo la pori baada ya kupata taarifa kiintelijensia, Polisi watautangazia umma kwamba Vijana wa CHADEMA wamekamatwa huko porini wakiwa wanapewa mafunzo ya kijeshi kwa ajili ya kujiandaa na Maandamano ya Julai 7, 2026 lengo la kufanya ivo ni kutisha watu ili waogope.
Lakin pia Jeshi hilo limepanga kwamba litakuwa linawavalisha UVCCM izo nguo za CHADEMA kisha wanawatuma kwenye mikutano ya hadhara ya CHADEMA kufanya fujo ili ionekane CHADEMA wanagombana wao kwa wao.
Sasa ni muhimu sana Wanachama wenzangu mnapoenda kwenda Mikutano, hakikisha unamtambua mtu ambae umekaaa nae jirani ukiona kuna mtu/watu huwaelewi toa taarifa kwa Viongozi wa CHAMA, hawa wahuni wakivamia mikutano yetu inatakiwa muwape HAKI YAO YA KIKATIBA.