Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Gazeti la the Citizen linatupasha ya kuwa uongozi wa Chadema upo tayari kuongea na serikali juu ya kumaliza mgogoro wa kisiasa uliotokana na mapungufu ya uchaguzi wa Uraisi...................gazeti hilo limeweka kichwa cha habari kisemacho....................."Chadema now ready to talk to government."
Pia katika ufumbuzi hizo ni pamoja na kuitunga upya katiba yetu..........tume huru ya uchaguzi.....serikali nayo ipo tayari kwa masharti ya Chadema kufuata taratibu zilizopo.......
Pia katika ufumbuzi hizo ni pamoja na kuitunga upya katiba yetu..........tume huru ya uchaguzi.....serikali nayo ipo tayari kwa masharti ya Chadema kufuata taratibu zilizopo.......