Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
Mistake acknowledged....................The Citizen halimilikiwi na CCM..mmliki wake ni Nation Media Group ya Kenya, ambayo inamilikiwa na His Highness Aga Khan
Mistake acknowledged....................The Citizen halimilikiwi na CCM..mmliki wake ni Nation Media Group ya Kenya, ambayo inamilikiwa na His Highness Aga Khan
Haki raia wa Tanzania imeporwa na wageni hili si jambo la kuficha tena mpaka sasa.Lazima tuwe wawazi bila hivyo wasomi wa Tanzania watakuwa wakulaumiwa mpaka mwisho.
Serikali wao wapo tayari kwa CHADEMA kufuata taratibu za kiserikali na sio wao wanavyotaka. Na mbowe ameisha sema wao hawasemi uchaguzi urudiwe na wala Slaa atangazwe kuwa Rais. Hii ina maana kuwa wameisha kubali kuwa JK ndio Rais. Na hapa maneno ya JK yanaanza kutimia kuwa' WATAKWENDA WATARUDI KWAKE KWANI YEYE NDIO MWENYE MAMLAKA YA KUWATIMIZIA HAYO WAYATAKAYO'
Serikali wao wapo tayari kwa CHADEMA kufuata taratibu za kiserikali na sio wao wanavyotaka. Na mbowe ameisha sema wao hawasemi uchaguzi urudiwe na wala Slaa atangazwe kuwa Rais. Hii ina maana kuwa wameisha kubali kuwa JK ndio Rais. Na hapa maneno ya JK yanaanza kutimia kuwa' WATAKWENDA WATARUDI KWAKE KWANI YEYE NDIO MWENYE MAMLAKA YA KUWATIMIZIA HAYO WAYATAKAYO'
Serikali wao wapo tayari kwa CHADEMA kufuata taratibu za kiserikali na sio wao wanavyotaka. Na mbowe ameisha sema wao hawasemi uchaguzi urudiwe na wala Slaa atangazwe kuwa Rais. Hii ina maana kuwa wameisha kubali kuwa JK ndio Rais. Na hapa maneno ya JK yanaanza kutimia kuwa' WATAKWENDA WATARUDI KWAKE KWANI YEYE NDIO MWENYE MAMLAKA YA KUWATIMIZIA HAYO WAYATAKAYO'
Nadhani CHADEMA wako kwenye move nzuri mpaka sasa,hawajakosea mahali popote.wasiojua sheria na katiba ndo wanaoropoka hovyo humu.
Ila kazi tunayo ya kuhakikisha tunawaelimisha watu wote ambao Katiba na Sheria ya Tanzania inawapiga chenga na ndio walio wengi sana Tanzania.
Shida kubwa imeanza kwenye kujua HAKI YA KILA RAIA.
Haki raia wa Tanzania imeporwa na wageni hili si jambo la kuficha tena mpaka sasa.Lazima tuwe wawazi bila hivyo wasomi wa Tanzania watakuwa wakulaumiwa mpaka mwisho.
Ruta,Tatizo la Chadema ni kutotafuta ushauri wa kisheria juu ya tafsir sahihi ya Ibara ya Na. 41(5) ambayo imeitaka NEC kuhakikisha inafuata taratibu zote zilizoainishwa kwenye sheria ya uchaguzi wakati wanamtangaza Raisi ili Mahakama au chombo kinginecho kiweze kuzuiwa kuwa kuhoji matamshi ya NEC ya kumtangaza Raisi..........................
Mimi ninaanza kuwa na wasiwasi wa kuwa huenda chadema hawana ushahidi wa kuhoji NEC kama kweli ilifuata au haikufuata sheria ya uchaguzi katika kumtangaza JK kuwa Raisi na ndiyo maana wanagwaya kwenda mahakamani
Would you use your brain even for few minutes?Waongee nini na serikali? Si waend wakaongee bungeni, serikali ya ccm sasa hivi iko bize katika kutimiza majukumu yake, haina time, wangoje bunge lijalo au wapayuke humu JF.
Would you use your brain even for few minutes?
You are intelligent than that!
Tatizo la Chadema ni kutotafuta ushauri wa kisheria juu ya tafsir sahihi ya Ibara ya Na. 41(5) ambayo imeitaka NEC kuhakikisha inafuata taratibu zote zilizoainishwa kwenye sheria ya uchaguzi wakati wanamtangaza Raisi ili Mahakama au chombo kinginecho kiweze kuzuiwa kuwa kuhoji matamshi ya NEC ya kumtangaza Raisi..........................
Mimi ninaanza kuwa na wasiwasi wa kuwa huenda chadema hawana ushahidi wa kuhoji NEC kama kweli ilifuata au haikufuata sheria ya uchaguzi katika kumtangaza JK kuwa Raisi na ndiyo maana wanagwaya kwenda mahakamani kwa visingizio vya katiba Ibara ya 41(7) ndiyo kikwazo kwao.................kama kweli wana matokeo yote kutoka vituoni na ambayo yalitangazwa na Wasimamizi wa majimbo nchi nzima na NEC hawakuyafuata katika kumtangaza JK kuwa ni Raisi na hivyo kukiukwa Ibara ya 41 (5) ya katiba yetu........hivi ni nini kinawazuia kwenda mahakamani......wakati matokeo ambayo hayawezi kuchunguzwa na Mahakama ni yale tu ambayo yametangazwa kwa kuzingatia Ibara nzima ya 41 na hii Ibara ndogo ya 41(5) imo?
Hawa chadema are playing with us but the question has to be for how long?
kinananiiii???"watarudi"