Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
- Thread starter
- #41
Wenye kuelewa siasa wameelewa nilichokisema, wasiojua siasa ndio mwakimbilia kuangua vilio. Jibu langu ni moja, kama hukuhama chama ulichokuwa mwanzonii kwa hiari, ukasubiri kuangushwa kwenye kura za maoni au maamuzi ya vikao cha chama wewe ni sawa na Mzoga=Makapi=Pumba=Makombo!
Hufai kwenda kwingine ila huko huko walikokukataa!
Hufai kwenda kwingine ila huko huko walikokukataa!