Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
View attachment 29895 hiyo hapo
asante mkuu..
View attachment 29895 hiyo hapo
View attachment 29895 hiyo hapo
View attachment 29895 hiyo hapo
unataka uone nini ndiyo uamini?Kama picha hii ni ya kweli, tz wameamka.
Kama picha hii ni ya kweli, tz wameamka.
Tunawashukuru sana kwa kutupa updates za maana naomba mwendelee hivyohivyo!!
Hivi Nape alikuwa Songea siyo Singida kama ndivyo CCM ni wachokozi kwa sababu mkutano wa Chadema ulikuwa unajulikana siku nyingi kwa nini walazimishe kufanya mkutano sehemu moja wakati Tanzania ni kubwa.Da!wakuu mkutano ulikua pouwa Dk.waukweli ameongea kwa ufupi ila kila alichokiongea kilikua ni pointi,Zitto nae naona karudi kundini coz ameongea kama mwanachadema wa kipindi kileeee, na mwisho amemalizia mbowe kwa kutupa ali halisi kwamba kabla yakugomea hotuba ya rais ile ya kwanza Bungeni kuna waziri mkuu wa zamani (akutaja awamu) alimfata na kumwomba wasitoke Bungeni coz itakua aibu kwa mkuu ila akamjibu ipi aibu kati ya kuchakachua kura za Dk.Slaa na wao kutoka Bungeni?
MAANDAMANO
Da!wakuu nadhani katika mikoa yote waliokwisha pita hii ya leo FUNIKO maana watu walikua ni wengi wazee kwa vijana kweli Mtanzania wa sasa sio wa kumtawala kwa mabavu watu hawana woga walikua tayari kwa lolote
CCM
Jana alikuja Nape kama kawaida wakakodi magari ili yalete watu ila hataivyo idadi ya watu waliofika kwa ccm jana hawakufika hata nusu ya walioandamana leo